Do you know Clouds Media Group?

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,629
Hii ndiyo kampuni pekee inayojiamini kuwa imeshikilia music industry na entertainment ya bongo kwa ujumla lakini do you know that hawa jamaa ndio waliofanikisha kuua ile project ya Shigongo ya 'mkali wa rhymes'?

Walifanikiwa kwa kuwahonga baadhi ya wasanii waliokuwa nyota ili wajitoe katika mashindano hayo ili wao wapate nafasi ya kushika soko vilivyo that's why wakaanzisha Fiesta.

These guys pia ndio wameichakachua ile 'ZINDUKA' ya Sugu. And finally tunawaona wakimwandalia birthday bwana JK. Hivi leo ndio maana tunaweza kuwasikia wakina Kibonde wakiongea mambo wanayoona wao hata kama ni ujinga na nobody can say fyuuu! It pains!

Nawasilisha
 
Hii ndiyo kampuni pekee inayojiamini kuwa imeshikilia music industry na entertainment ya bongo kwa ujumla lakini do you know that hawa jamaa ndio waliofanikisha kuua ile project ya Shigongo ya 'mkali wa rhymes'? Walifanikiwa kwa kuwahonga baadhi ya wasanii waliokuwa nyota ili wajitoe katika mashindano hayo ili wao wapate nafasi ya kushika soko vilivyo that's why wakaanzisha Fiesta.These guys pia ndio wameichakachua ile 'ZINDUKA' ya Sugu. And finally tunawaona wakimwandalia birthday bwana Jk. Hivi leo ndio maana tunaweza kuwasikia wakina kibonde wakiongea mambo wanayoona wao hata kama ni ujinga na nobody can say fyuuu! It pains! Nawasilisha
 
hawa waaache wasiendelee kutupotezea muda.......nasikia kussaga yule mkurugrnzi wa clouds alipewa pesa nyingi sana na ccm na mafisadi na aliyepata mgawo mkubwa ni kibonde ili wamwage sumu na kuwatukana watz huku wakijaribu kukejeri juhudi zetu sisi wanamapinduzi.......wanafiki sana hawa na clouds tusipoendelea kuwakemea ni moja ya chombop cha habari hatari sana na kina vijana washamba sana na wanaojifanya wajuaji wakati ni wapotoshaji wa hali ya juu...........
 
Binafsi tangu kampeni nilipoona clouds wanaeneza ujinga na hasa kibonde sijawahi tena kuifungulia ....kwanza nilipofikiria kwa kina sikuona wana nini cha zaidi ya redio makini zingine zilizopo ambazo zinz vipindi murua na si kicheni pati za kibonde na akina pj.................wanafiki sana.............wanatafuta kuonewa huruma na kikwete kmakina salva rweyemamu walivyopata..............naanza kuhamasisha watu wasisikilize clouds kwani kuna redio zingine makini......mimi sijapungukiwa na chochote kwa kutosikiliza clouds....
 
kumdiscuss mtu kama kibonde na pj ni kupoteza muda sana,hawa watu wanafahamika kabisa kua wanamatatizo ya akili,mabingwa wa kujipendekeza na hasa kibonde,tena na hivyo vipindi wangepewa mabint wavitangaze maana vingewwafaa zaidi.
 
hakuna dola isiyo na kikomo...
Alikuwapo mtawala aliyeitwa Kaisari ambaye pesa ilikuwa na Sura yake...


Yuko wapi Saddam na kundi la makamanda wake kama Udey na Qusey?
Kina chemical Ally, Taleq Azziz, Naji Sabri Ahmed na makamanda wengine wa chama cha Baa'th Arab?
 
kumdiscuss mtu kama kibonde na pj ni kupoteza muda sana,hawa watu wanafahamika kabisa kua wanamatatizo ya akili,mabingwa wa kujipendekeza na hasa kibonde,tena na hivyo vipindi wangepewa mabint wavitangaze maana vingewwafaa zaidi.

who are those guys?
 
Kibondeeeeeeeeeeeeeeee simpendi kabisaaaaaaa anaona watu wengine hawana akili na anachokisema yeye ndio mwisho
 
Nyambafu zake anafikiri tupo kwao ileje.............aache ujinga kwani watu wanahasira na maisha na wanajari zaidi maslahi ya taifa na sio ubinafsi wake km anaouonesha.............kaja juzijuzi tu tulikuwa tunampa nauli saaizi anajifanya naye anaweaza kuongea hata kama ni pumba................jiangalie kibonde na vifuata upepo vyenzako akina jp

kibondeeeeeeeeeeeeeeee simpendi kabisaaaaaaa anaona watu wengine hawana akili na anachokisema yeye ndio mwisho
 
Clouds hawana lolote. Hata slogan wanashindwa kubuni yao wanaiga za stesheni za Marekani. Eti wanajiita "the people's station"......acheni kuiga iga nyie
 
Ndio maana huwa nampa bigup sugu,kwani yeyehusema pale anapotaka kusema,na aliwachana vilivyo,ebwana hii ndiyo bongo kila mtu yupo kwa maslahi yake binafsi.ingekuwa ni usa mtu kama kibonde na ruge sasa wangekuwa ni niagieni kama pac,ila kwa kuwa wapo bongo na tunahuruma na kuwalinda acha watambe ni wakati wao

mapinduziiiiii daimaaaaa
 
Clouds is purposely for enterteiment... n watz love entertainment than work... n they av taken ful advantage of the situation... No matter how stupid/genious their whole team is... Whoever they outmuscle, thatz how business works!!
Stop whining..stop hate...think f how they can be put aside in media business.
NOTE: There's no humanity in business!!
 
ETI...................Whoever they outmuscle.SHAME ON U

WAKAGOMBEE UBUNGE WAONE, SUGU KAWAONYESHA HE IS ANOTHER LEVEL. SUGU NIKAMA MVUA HUWEZI KUZUIA MVUA. HUYU JAMAA NI JESHI LA MTU MMOJA HATUMII NGUVU YA DOLA WALA CHOMBO CHA HABARI.

ALIKWISHA WAAMBIA LAKI MOJA NANUSU KITU GANI YEYE ALIKUWEPO TOKA ENZI ZA AM ENZI DAVID WAKATI MKURUGENZI RTD.

ACHANA NA HAO WASHAMBA SIKU YAO INAKUJA SIKU AMBAPO GHARIKA ITAWACHUKUA WENYE HARUFU YA UFISADI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom