Do you feel LOVED?

AshaDii

Platinum Member
Apr 16, 2011
16,190
18,076
Habari wana JF....

Naamini most of mliopo na wasiokuwepo hapa... your weekend ilikua ni nzuri na your Loved ones are well and good...

Katika mahusiano ya Mapenzi kila moja hu wish kua angeweza kuingia rohoni ama nafsi ya Mpenzi wake huyo ili kujua/kuona ni kiasi gani his/her whole being imetawala …..Bahati mbaya saana ama nzuri HAIWEZEKANI… However kuna matendo/dalili ambazo huweza kukupa hints za nafasi yako kwa huyo Mpenzi wako… Hivo baadhi ya matendo ya Mpenzi wako ndio relient kwa mhusika Kusikia if s/he is LOVED...

Tips za kutambua kua Mpenzi wako is not in to you….


  • Mawasiliano..
Siku hizi njia za mawasilano ni nyingi saana aidha muwe karibu ama mbali mbali na Mpenzi wako… Hoever ni kwamba kila ukiwasiliana na Mpenzi wako… wee ndio unamuanza la sivyo yaweza pita days or weeks na hana habari… labda tu apige akiona mda umepita saaana – or else ni Kimya….

  • Ushirikiano…
The only Ushirikiano S/he knows ni Sex… nje ya hapo ni kulazimishwa ama kwenda kujirusha…(na mara nyingi hii ni kutaka tu kuonana na wewe kwa rafiki zake ama vijiwe); Ukipata matatizo kama sickness, msiba ama tatizo lolote linalo hitaji uwepo wake…. Always yupo busy…

  • Ndugu na Jamaa
Mna uhusiano ambao ni six months onwards but hajawahi kukutambulisha kwa ndugu yake yeyote Yule – kajitahidi saana ni friends wa hapa na pale; nao sababu tu mnakutana outings or vijiwe vyake…

  • Sweet Haven…
Hajawahi hata siku moja kukukaribisha kwake na hali anaishi peke yake (au alikupeleka kupaona – or maybe just kuonesha level yake iko vipi) but hata siku moja hamjawahi spend faragha hapo na uhusiana una more than six months…. Zaidi it is your place or motel (hii hasa kwa guys…); Na uking'ang'ania saana huishia kununa but still in short hapendi wewe u-spend mda kwake…

  • Jealousy….
Wivu katika Mapenzi ni moja ya aspect muhimu… But hata hivo viwango vya wivu ni muhimu saana kua observed kati ya Wapenzi wahusika… Wivu wa kukithiri katika Mapenzi; from my observation katika jamii, husababisha madhara makubwa kama kufanya kitu wawza jutia… Kuua (Mpenzi ama mwizi wa mpenzi) na hata kujiua mhusika… Mbaya saaana hii…

However Wivu Mno ni mbaya… ila Wivu at minimal katika Mapenzi ni muhimu for hua kama chachu ya hao wapenzi.. Wivu ni moja ya njia ya kujua kua Mpenzi wako anakupenda ama lah! (Sina maana ufurahie mtu wako akiwa over possessive! No - Ila reasonably possessive)


  • Material Needs…
Kila akionana nawewe lazima akupige mzinga… (tena usipompa anakununia kama vile aliwekeza kwako…); Haishi ku demand nataka hiki mara kile… mara shida ya cash ya hiki ama kile… and the like… For the one who is in to you hata kama yupo dependent kwako – kuna nidhamu kidogo katika uombaji wake ; nayo pia hua once in a while…


  • Name Calling…
Kuna names ambazo kweli sio heshima kabisa kumuita Mpenzi wako… let alone mbele yake.. Kama huyo mpenzi wako hakueshimu to the extent ya kuweza kuita names ambazo hazifai… then S/he is not into you… I hate the name ‘dame' naamini Mpenzi akupendae hawezi sema hilo neon – for kama muelewa then hapo hapo ni kwamba anaharibu uhusiano delibatately…


  • Public appearances…
Hataki kabisa wala hata siku moja kuonekana yupo pamoja na wewe…. Mkitembea kwa miguu mmoja mbele mmoja nyuma… au kutembea ndani ya gari tu toka mlipotoka mpaka muendapo… Daima hakuna watu huwaona pamoja.. labda kama wale baki ambao hawawezi wafahamu… On top of that kila mkionana ni gurantee s/he needs a shag… hakuna intimacy kati yenu zaidi ya sex…

  • Saying "I Love you"
Ukimwambia I love you… anakujibu "Thank you" OR kutumia phrases za kijanja kama "I love the way you say you love you" na kuishia hapo na kukupotezea (the good thing ni kua at least s/he is frank…lol)

  • Speacial Romantic Moment….
Hii ni Courtesy ya Mwanajamii1 (MJ1)… imeonekana wazi kua katika Mapenzi kuna SRMs hazihitaji gharama kubwa na sometimes yoyote ile… Hivo basi kama uko nae for long but hata hajawahi kukufanyia (create an environment) ya SRM.. then he is not it to you… kuhusu hili waweza pata zaidi katika hii LINK ya SRM Courtesy ya MJ1.


DISCLAIMER…..

Note that kuna watu wamejaliwa roho ya Imani… aweza baadhi ya mambo hapo juu kikamilifu kabisa kama inavotakiwa but still akawa not in to you…


Kumbuka kua naweza kua Wrong katika assumptions zangu... hivo basi naomba Comments zenu iwe ni opinion/masahihisho/addition ama lolote lile.... Karibuni.


UPDATES.... [Mambo muhimu yaloongezeka katika thread tokana na michango...]

Courtesy ya Klorokwin

Sex Drive...
man's perspective ya hii issue pia naona kama tayari iko included kwenye hii post, labda tofauti kubwa nadhani itakuja kwenye sex drive While kwa mwanamke ni ngumu kusex outside relationship na kumaintain same sex speed kwa partner wake (hii itamfanya aanzishe migogoro zembe katika mahusiano ili kuficha anachofanya) , kwa mwanamme anakuwa capable ya kumaintain sex speed ndani ya mahusiano yake hata kama ana kimada pembeni. Nakusudia kusema kwamba ni rahisi sana kumnotice mwanamke ambae hayuko into you as far as sex cheating is concerned kulikoni mwanaume



Courtesy of Tulizo....

[maelezo yangu yali base saana katika mahusiano awali.... ya Tulizo ni more in the line ya WANDOA.... thou mengine mahusiano ya Awali pia Sababu sio woote hupata nafasi ya kusoma the Whole thread Naamini itakua helpful nikii add hapa.. ]

At glance..

Mawasiliano..
Naamini mawasiliano ni translation ya kwanza ya Human Feelings and Reaction. Naamini jinsi gani tunavyopeleka message kwa wapenzi wetu ndio tunaonyesha jinsi gani tunavyowapenda. Binafsi sipendi artificial feelings na Lugha za ki-uwongo toka kwenye video na magazeti..yaani "darling" ya uwongo ya kila mara.. Napenda kusikilizwa na kusahihishwa. Lakini kama Mwanaume nina kasumba yangu ya uanaume yaani inabidi Mama amwage data ili nikubaliane na ushauri wake.. Lakini mara kwa mara napokubaliana na ushauri wake nadhani nae anajisikia kupendwa. To be loved ni kusikilizwa, to be loved ni kuheshimiwa na to be loved ni kusahihishwa pale unapokosea na sio kuogopwa kwa sababu wewe unaleta mkate na chakula nyumbani..Mapenzi ya woga ni sumu ya maisha.


Ushirikiano…
Katika ushirikiano.. To be loved ni pale mwenzako anapokuamini. Utakuta watu wanajenga hadi nyumba inafika juu lakini mwenzake hajui.. Wengine hawajui hata Payroll ya baba ikoje? Mnasema eti mnapendana… Mtapendana vipi bila kuaminiana? Yaani kila mtu mshahara wake anaujua mwenyewe.. Kama mnafichana payroll ..mtawezaje kupanga bajeti ya nyumba? Kama unamficha mpenzi wako Investments zako..Ukifa unataka nani afuatilie? I believe, Kama mtashirikiana katika mambo ya uchumi na jamii, mtaweza onyesha what is really love..kwani mapenzi ni kuaminiana .. Mapenzi ni Sacrifice yaani usiogope kumwonyesha vitega uchumi vyako kwa mke wako hata kama ni mtani wangu wa jadi toka kule Machame, Moshi..Mwamini kwa sacrifice..litakalotokea na litokee.. Mungu yupo!

Sweet Haven…
Kumkaribisha mpenzi wako kwako hata kama ni jalalani maana yake ni kujifunua. Maana yake umemwamini nae aone uko vipi. Mara nyingi nyumba inaficha siri nyingi. Tabia ya mtu utaijua nyumbani. .. Msafi.. Mchafu… mkarimu kwa majirani.. Ni kweli..To be loved ni kujivua gamba la kwenda hotelini na kujikita nyumbani kwako hata kama kuna panya, viroboto, na uswazi! Home sweet heaven..Ukifanya hivyo mpenzi wako atakupenda jinsi ulivyo na wala sio kama alivyokuona siku ile pale Kilimanjaro kempinski..

Jealousy….
Watu wanasema wivu ni dalili ya mapenzi.. Binafsi napinga. Utawekaje wivu kwa binadamu ambaye hujui ndani ya moyo wake anafikiri nini. Utafikiri vipi kuwa mimi nin-cheat wakati kama nin-cheat siwezi kukwambia? Wivu ni waste of time na psychological torture. Kama hujui..sahau!

Material Needs…
Chochote mnachotumia pamoja ni chenu..lakini kama mmoja anampiga "mzinga" mwenzake kila mara.wakati anazo ..hizo ni dalili mbaya za kwamba hakuna mapenzi ya kweli zaidi ya kutoaminiana.na biashara. Kama mnapendana ..au to be loved ni kuwa..kabla hajaomba utajua anataka na hana msaaada!


Name Calling…
Inategemea mnaishi mazingira gani na mmekulia katika mazingira gani.. Nenda kwa Morani kwa kimasai na shujaa halafu mwite "baby".. atasema..aisee mama nanii inaita mimi toto..ni dharau.. Nenda kwa mmasai huyo huyo aliyezaliwa na kukulia kule sehemu sehemu ..ambako wanaitana "baby" yaani atafurahi ukimwita "baby".. To be loved ni kuitwa vile unapenda wewe.. na si vile kama inavyoandikwa kwenye kitabu..

Public appearances…
Ukiona mpenzi wako anakukimbia ..basi ujue hapo hakuna mapenzi ila biashara! Kama wewe ni "kibosile" umesoma na mke/mume/Partner wako ni maimuna toka shule za kanumba.. Kama ukiweza kumchukua kwenda katika minuso ya vibosile....na ukamtambulisha na kumwambia huyu ni mke wangu..Yaani atajisikia..kuthaminiwa, kuaminiwa, na kupendwa.. Public appearances ni translation ya vitu hivyo..Thamani ya mtu, uwazi, na kujiamini..Ukiona mtu anakwepa public appearances..hujue anakwepa hivyo nilivyosema hivyo wewe tafuta mlango uliowazi na uondoke..


@Tulizo, Tatizomda, Eiyer and Nyumba kubwa [Mnaamini wivu in the above sense; i.e Tulizo alivoeleza... IMO Wivu ni the way ulivoelezewa hapa chini.... Naomba mjustify nje ya hapo, why iwe considered kutojiamini???]

Courtesy of Kaizer...

Naona tu kuna kipengele ambacho bado kipo contentious:WIVU
For wengine wanaona kuwa wivu haufai, wwengine wanaona wivu kama chachu ya mapenzi
I understand kuwa tumeshajadili sana role ya wivu kwenye mapenzi na hata kuitofautisha na ghubu nk

Lakini kwa upende wangu nadhani wivu wa kiasi ni muhimu...na sio lazima eti ionyeshe kuwa hujiamini au humpendi mwenzi wako..hapana...mi nadhani its something that comes NATURALLY unapompenda mwenzako KIUKWELI. Kwa sababu mapenzi ya ukweli huwa na some degree of possessiveness, kutaka chako kiwe chako peke yako, lakini pia kikitaka chako kisjisikie kuwa ni chako na kipo protected (nadhani kina dada/mama hapa mnanipata).



Pamoja Saaana

AshaDii [ADI]




 
AshaDii kwa kweli naomba nikuamkue (kusalute) hii thread imebeba ujumbe mzima wa mapenzi! Big Up.
To me, I do feel loved kiasi kwamba sideserve vile na hii inaniletea woga sometimes!!


MJ1 Asante saana Dear... Na the type of person you are (at least from your threads ) ni dhahiri you deserve hayo mapenzi unapata.... Hivo HONGERA saaana, ila hakikisha you live the moment.... huna haja wa woga i think... Thanks kwa acknowledgement....
 
kuna mtu aliimba
heri niwe peke yangu mama .......+
heri niwe peke yaaangu...... Inabidi ifike mahali kila mtu aheshimu status yake kwenye mahusiano
huwa sioni sababu ya kumngangania mtu? Kama penzi alibalance sio penzi ilo.


Kua peke yako daima bila mahusiano ni nzuri ndio.... But once in a while inafika wakati unahitaji mtu (for upweke hatimaye ushinda).... Hivo basi ni kweli uwe peke yako mahusiano yatapokushinda but sio kua always.... ni kazi saaana.

Kingine ni kwamba Bebii amini usiamini kuna watu wanafanyiwa yalo hapo above but still haoni wala hagundui kua huyo mtu anampotezea mda... aidha sababu kapenda saana... ama sababu tu kapuziia hajaunganisha one and one... au sababau zingine kibao....
 
Kua peke yako daima bila mahusiano ni nzuri ndio.... But once in a while inafika wakati unahitaji mtu (for upweke hatimaye ushinda).... Hivo basi ni kweli uwe peke yako mahusiano yatapokushinda but sio kua always.... ni kazi saaana.

Kingine ni kwamba Bebii amini usiamini kuna watu wanafanyiwa yalo hapo above but still haoni wala hagundui kua huyo mtu anampotezea mda... aidha sababu kapenda saana... ama sababu tu kapuziia hajaunganisha one and one... au sababau zingine kibao....
lakini sis wasichana wengi wanapenda kungangania sana wanaume sijui ni material support au nini? kweli unakuta dalili zote za kutopendwa zinaonekana wazi lakini mtu yupo tu .watu wanadhani kuachana hadi kwa ngumi na matusi labda ila dalili moja tu unatakiwa uchukue hatua.
 
lakini sis wasichana wengi wanapenda kungangania sana wanaume sijui ni material support au nini? kweli unakuta dalili zote za kutopendwa zinaonekana wazi lakini mtu yupo tu .watu wanadhani kuachana hadi kwa ngumi na matusi labda ila dalili moja tu unatakiwa uchukue hatua.


Bebii hao hapo juu... siwezi walaumu kwa kweli... hao mabinti wa hivo wako katika makundi matatu (my assumptions...)

  1. Mwanume alonae yupo presentable kwa marafiki zake... for hawaishi msifia kua she has nailed it... anaona bora ajikaze nae kuliko ionekane kaachana nae - just for the sake of appearance lakini deep down hata yeye anaelewa kua hafai....
  2. Mwanaume alonae as much as ana mapungufu hayo hapo juu.... Ndio tegemezi kubwa saana kwake.... yaani in short pesa ya matumizi haikosi kabisa... Hivo hata siku ambayo the guy akimtoa.. anamtoa kweli - starehe inakua sio ya kudimba dimba....
  3. She is deeply and intensively in love.... Hakuna utachomwambia akakuelewa kua huyo mpenziwe hafai....
Lakini at the end of the day... Kwa yule dada ambae ni mtambuzi na tayari akajitambua kua nini anataka from the guy... then hayo ni muhimu ku observe.
 
Bebii hao hapo juu... siwezi walaumu kwa kweli... hao mabinti wa hivo wako katika makundi matatu (my assumptions...)
  1. Mwanume alonae yupo presentable kwa marafiki zake... for hawaishi msifia kua she has nailed it... anaona bora ajikaze nae kuliko ionekane kaachana nae - just for the sake of appearance lakini deep down hata yeye anaelewa kua hafai....
  2. Mwanaume alonae as much as ana mapungufu hayo hapo juu.... Ndio tegemezi kubwa saana kwake.... yaani in short pesa ya matumizi haikosi kabisa... Hivo hata siku ambayo the guy akimtoa.. anamtoa kweli - starehe inakua sio ya kudimba dimba....
  3. She is deeply and intensively in love.... Hakuna utachomwambia akakuelewa kua huyo mpenziwe hafai....
Lakini at the end of the day... Kwa yule dada ambae ni mtambuzi na tayari akajitambua kua nini anataka from the guy... then hayo ni muhimu ku observe.
Kweli wewe ni mkali sis mimi mtu akiniboa siku moja tu huwa natimua zangu sina roho ya chuma mie
 
Kweli wewe ni mkali sis mimi mtu akiniboa siku moja tu huwa natimua zangu sina roho ya chuma mie


Asikudanganye mtu... hakuna mwenye roho ya Chuma katika mapenzi.... uchungu ni ule ule Mmoja.... wanadamu twapishana ustahimilivu, uamuzi ama matendo ya kufanya baada/wakati wa kuumia - Hata hivo Bebii inabidi usiwe na maamuzi ya haraka... siku nyingine omba space na upime lipi bora... kubaki?? kusepa?? For only you know the answer to that as long as kalisha na tafakari kabla ya hatua....
 
Asikudanganye mtu... hakuna mwenye roho ya Chuma katika mapenzi.... uchungu ni ule ule Mmoja.... wanadamu twapishana ustahimilivu, uamuzi ama matendo ya kufanya baada/wakati wa kuumia - Hata hivo Bebii inabidi usiwe na maamuzi ya haraka... siku nyingine omba space na upime lipi bora... kubaki?? kusepa?? For only you know the answer to that as long as kalisha na tafakari kabla ya hatua....
poa sis
 
MJ1 Asante saana Dear... Na the type of person you are (at least from your threads ) ni dhahiri you deserve hayo mapenzi unapata.... Hivo HONGERA saaana, ila hakikisha you live the moment.... huna haja wa woga i think... Thanks kwa acknowledgement....
am trying my sisy am trying lol
 
am trying my sisy am trying lol


Na reject hio above statement MJ1... Utanisamehe for ushatoka katika group ya "trial and error".... error ukiipata saizi inakua ni lazima uliitazamia, ila tu roho zetu dhaifu hizi hugoma kabisa saa ingine kuendana na logic....lol... tatizo lipo kwa hawa mabinti wadogo kabisa (na baadhi ya wadada ambao hawajajitambua bado...)
 
Dah umesema ukweli ila hii inetokana na experience uliyonayo pole kama yamekukuta ila huo niukweli tosha kwa wanaume inatuhusu sana 100% hasa pale unapokuwa umemchoka mpenzi wako au umeshakuwa na mahusiano mengine na nimzuri zaidi ya uliye naye!
 
Dah umesema ukweli ila hii inetokana na experience uliyonayo pole kama yamekukuta ila huo niukweli tosha kwa wanaume inatuhusu sana 100% hasa pale unapokuwa umemchoka mpenzi wako au umeshakuwa na mahusiano mengine na nimzuri zaidi ya uliye naye!


Ni kweli nimepita mengi... kikubwa namshukuru Mwenyezi Mungu nimejifunza saaana tokana na hayo... Na Kiiza naomba nikushukuru kwa niaba ya wakaka kua ume acknowledge kwa asilimia 100%....
 
Ni kweli nimepita mengi... kikubwa namshukuru Mwenyezi Mungu nimejifunza saaana tokana na hayo... Na Kiiza naomba nikushukuru kwa niaba ya wakaka kua ume acknowledge kwa asilimia 100%....
Asante na Karibu Nimefuatilia kwa umakini sana hii thread yako imenigusa sana inauma ila naona nikutojitambua wanawake hawasomi alama za nyakati
 
Asante na Karibu Nimefuatilia kwa umakini sana hii thread yako imenigusa sana inauma ila naona nikutojitambua wanawake hawasomi alama za nyakati


Hio group inayoongoza kwa hio in blue ni mabinti young ambao mara nyingi kama kweli society ingekua na proper morals.... wasinge hata watongoza for bado she is young and on top of that naive in most cases.... Sad.
 
Thanks for useful post AD as usual! Itawasaidia sana wadada ambao wako kwenye searching for serious relationship.

Nimependa zaidi hapo kwenye kumwambia mtu I love you yeye anajibu thanks; inahu. Mimi ndo zangu nikimpigia hubby simu namwambia I love you kupima yuko na nani sikubali hata kidogo jibu la thank you na akinijibu hivyo ntarudia tena aisee.

Habari wana JF....

Naamini most of mliopo na wasiokuwepo hapa... your weekend ilikua ni nzuri na your Loved ones are well and good...

Katika mahusiano ya Mapenzi kila moja hu wish kua angeweza kuingia rohoni ama nafsi ya Mpenzi wake huyo ili kujua/kuona ni kiasi gani his/her whole being imetawala …..Bahati mbaya saana ama nzuri HAIWEZEKANI… However kuna matendo/dalili ambazo huweza kukupa hints za nafasi yako kwa huyo Mpenzi wako… Hivo baadhi ya matendo ya Mpenzi wako ndio relient kwa mhusika Kusikia if s/he is LOVED...

Tips za kutambua kua Mpenzi wako is not in to you….


  • Mawasiliano..
Siku hizi njia za mawasilano ni nyingi saana aidha muwe karibu ama mbali mbali na Mpenzi wako… Hoever ni kwamba kila ukiwasiliana na Mpenzi wako… wee ndio unamuanza la sivyo yaweza pita days or weeks na hana habari… labda tu apige akiona mda umepita saaana – or else ni Kimya….

  • Ushirikiano…
The only Ushirikiano S/he knows ni Sex… nje ya hapo ni kulazimishwa ama kwenda kujirusha…(na mara nyingi hii ni kutaka tu kuonana na wewe kwa rafiki zake ama vijiwe); Ukipata matatizo kama sickness, msiba ama tatizo lolote linalo hitaji uwepo wake…. Always yupo busy…

  • Ndugu na Jamaa
Mna uhusiano ambao ni six months onwards but hajawahi kukutambulisha kwa ndugu yake yeyote Yule – kajitahidi saana ni friends wa hapa na pale; nao sababu tu mnakutana outings or vijiwe vyake…

  • Sweet Haven…
Hajawahi hata siku moja kukukaribisha kwake na hali anaishi peke yake (au alikupeleka kupaona – or maybe just kuonesha level yake iko vipi) but hata siku moja hamjawahi spend faragha hapo na uhusiana una more than six months…. Zaidi it is your place or motel (hii hasa kwa guys…); Na uking’ang’ania saana huishia kununa but still in short hapendi wewe u-spend mda kwake…

  • Jealousy….
Wivu katika Mapenzi ni moja ya aspect muhimu… But hata hivo viwango vya wivu ni muhimu saana kua observed kati ya Wapenzi wahusika… Wivu wa kukithiri katika Mapenzi; from my observation katika jamii, husababisha madhara makubwa kama kufanya kitu wawza jutia… Kuua (Mpenzi ama mwizi wa mpenzi) na hata kujiua mhusika… Mbaya saaana hii…

However Wivu Mno ni mbaya… ila Wivu at minimal katika Mapenzi ni muhimu for hua kama chachu ya hao wapenzi.. Wivu ni moja ya njia ya kujua kua Mpenzi wako anakupenda ama lah! (Sina maana ufurahie mtu wako akiwa over possessive! No - Ila reasonably possessive)


  • Material Needs…
Kila akionana nawewe lazima akupige mzinga… (tena usipompa anakununia kama vile aliwekeza kwako…); Haishi ku demand nataka hiki mara kile… mara shida ya cash ya hiki ama kile… and the like… For the one who is in to you hata kama yupo dependent kwako – kuna nidhamu kidogo katika uombaji wake ; nayo pia hua once in a while…


  • Name Calling…
Kuna names ambazo kweli sio heshima kabisa kumuita Mpenzi wako… let alone mbele yake.. Kama huyo mpenzi wako hakueshimu to the extent ya kuweza kuita names ambazo hazifai… then S/he is not into you… I hate the name ‘dame’ naamini Mpenzi akupendae hawezi sema hilo neon – for kama muelewa then hapo hapo ni kwamba anaharibu uhusiano delibatately…


  • Public appearances…
Hataki kabisa wala hata siku moja kuonekana yupo pamoja na wewe…. Mkitembea kwa miguu mmoja mbele mmoja nyuma… au kutembea ndani ya gari tu toka mlipotoka mpaka muendapo… Daima hakuna watu huwaona pamoja.. labda kama wale baki ambao hawawezi wafahamu… On top of that kila mkionana ni gurantee s/he needs a shag… hakuna intimacy kati yenu zaidi ya sex…

  • Saying “I Love you”
Ukimwambia I love you… anakujibu “Thank you” OR kutumia phrases za kijanja kama “I love the way you say you love you” na kuishia hapo na kukupotezea (the good thing ni kua at least s/he is frank…lol)

  • Speacial Romantic Moment….
Hii ni Courtesy ya Mwanajamii1 (MJ1)… imeonekana wazi kua katika Mapenzi kuna SRMs hazihitaji gharama kubwa na sometimes yoyote ile… Hivo basi kama uko nae for long but hata hajawahi kukufanyia (create an environment) ya SRM.. then he is not it to you… kuhusu hili waweza pata zaidi katika hii LINK ya SRM Courtesy ya MJ1.


DISCLAIMER…..

Note that kuna watu wamejaliwa roho ya Imani… aweza baadhi ya mambo hapo juu kikamilifu kabisa kama inavotakiwa but still akawa not in to you…


Kumbuka kua naweza kua Wrong katika assumptions zangu... hivo basi naomba Comments zenu iwe ni opinion/masahihisho/addition ama lolote lile.... Karibuni.



Pamoja Saaana

AshaDii [ADI]

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom