Hi to all wadau wa kiringe hiki chenye wataalam wa uchambuzi wa mambo kadha wa kadha. Naomba mfungue attachment niliyotuma muweze kuona jinsi wawakilishi wetu pale Bungeni Dodoma wanavyotupigania au kutuangusha. Swali la tafakari; Je, wapiga kura ambao ndio waajiri wao wanajua haya? Je, kuna namna yoyote ya kuweza kuwawajibisha wale ambao hawawakilishi wananchi wao kwa dhati? Tufanye nini ili tuwahamasishe wananchi wa kawaida kufuatilia shughuli za Bunge hususan katika kipindi cha Bajeti pamoja na kipindi cha maswali na majibu?
Karibuni tutafakari pamoja.
Karibuni tutafakari pamoja.