Do they work for Us

Hosida

Member
Oct 21, 2008
71
12
Hi to all wadau wa kiringe hiki chenye wataalam wa uchambuzi wa mambo kadha wa kadha. Naomba mfungue attachment niliyotuma muweze kuona jinsi wawakilishi wetu pale Bungeni Dodoma wanavyotupigania au kutuangusha. Swali la tafakari; Je, wapiga kura ambao ndio waajiri wao wanajua haya? Je, kuna namna yoyote ya kuweza kuwawajibisha wale ambao hawawakilishi wananchi wao kwa dhati? Tufanye nini ili tuwahamasishe wananchi wa kawaida kufuatilia shughuli za Bunge hususan katika kipindi cha Bajeti pamoja na kipindi cha maswali na majibu?

Karibuni tutafakari pamoja.
 

Attachments

  • Do they work for us - 8 facts about MPs (2).pdf
    794.4 KB · Views: 147
Kila mkoa mwaka huu wanataka waongezewe majimbo hata Dar wanataka waongeze mengine manne ili yawe 11! Huduma za jamii ziko hoi bin taaban tunataka kuongeza wabunge. Bunge lenyewe ndio hilo. Kuongeza Wabunge maana yake ni kuongeza ruzuku kwa vyama na hasa CCM.
 
Over-analysis of futility trying to measure futility index. of the futile system.

Ok u have my tafakari..

Yes wanakula nchi and there is nothing u can do about it.
 
Mafisadi wakuu (EL and RA) wanaongoza kwa kutotoa mchango wowote Bungeni na huyu Hussein Mwinyi bado sijiridhishi kwa nini watu wengi wanahisi ndio atakuwa mrithi sahihi wa JK akimaliza muda wake?

attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • image002.jpg
    image002.jpg
    43.4 KB · Views: 171
  • image004.jpg
    image004.jpg
    37.5 KB · Views: 175
Hi to all wadau wa kiringe hiki chenye wataalam wa uchambuzi wa mambo kadha wa kadha. Naomba mfungue attachment niliyotuma muweze kuona jinsi wawakilishi wetu pale Bungeni Dodoma wanavyotupigania au kutuangusha. Swali la tafakari; Je, wapiga kura ambao ndio waajiri wao wanajua haya? Je, kuna namna yoyote ya kuweza kuwawajibisha wale ambao hawawakilishi wananchi wao kwa dhati? Tufanye nini ili tuwahamasishe wananchi wa kawaida kufuatilia shughuli za Bunge hususan katika kipindi cha Bajeti pamoja na kipindi cha maswali na majibu?

Karibuni tutafakari pamoja.

Kwa kuanzia ni analysis nzuri tu. Kama kungekuwa na uwezekano ningependa analysis hii ingehusisha pia vigezo vifuatavyo:

(1) Umri wa wabunge
(2) Kiwango cha elimu cha wabunge

Bahati mbaya wapiga kura wengi hawajui haya. Nadhani vyombo vya habari pamoja na asasi za kiraia vinaweza kutoa mchango mkubwa sana kwenye hili. Sisi paia kama individuals pia tunaweza kuwa na mchango mkubwa kwa kujitolea kufanya hizi tafiti na kusambaza matokeo ya tafiti hizi.
 
The Bunge, Tanzania's Parliament, is one of the most important institutions in the country. Its importance is reflected in the resources allocated to it. For 2009/10, Tanzania's Parliament was allocated Tshs 62 billion. Since Parliament comprises of 320 members, this amount averages to Tshs 194 million per MP.
 
MP wa UK wanapata salary, allowance and other expenditures kama ifuatavyo;

Summary of current rates with effect from 1 April 2009
Members' parliamentary salary £64,766 from 1 April
Allowances
Staffing Expenditure Maximum of £103,812
Administrative and Office Expenditure (AOE) £22,393
Personal Additional Accommodation Expenditure (PAAE) £24,222
London Costs Allowance £7,500
Winding‐up Expenditure £42,068
Communications Expenditure Maximum of £10,400
Motor Mileage allowance 40p per mile (for first 10,000 miles)
25p per mile (after 10,000 miles)
Motorcycle allowance 24p per mile
Bicycle allowance 20p per mile
 

Attachments

  • UK_MPs_Pay_Pension_Allowances.pdf
    154.8 KB · Views: 59
Mambo yanaingiliana hapa. Mawaziri wote ni wabunge, hivyo waziri kuwa mchangiaji kama mbunge inakuwa haiwezekani kwani yeye ni sehemu ya srikali inayokuwa inahojiwa mara nyingi, Ingekuwa bora kutenga taarifa ya uchangiaji kwa upande wa wabunge na mawaziri. Amabpo kwa uwaziri ingeweza kuwa ni waziri yupi anayetoa majibu yanayokata kiu ya wabunge na ni yupi anaejibu hovyo hovyo!

Lakini kizuri zaidi ni kuwanyanganya mawaziri wote ubunge (mawaziri wasiwe wabunge). Hapa moto tungeuona na mafanikio yangekuja Tanzania kwa kasi zaidi, sio kwa mwendo wa kusuasua kama treni iendayo kigoma. Tunataka kama mkuki wa kichina!
 
Back
Top Bottom