Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,929
miye simo ngoja nikae mkao wa kumuangalia Oprah...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miye simo ngoja nikae mkao wa kumuangalia Oprah...
We must admit that sometimes the intended message might be misunderstood kwa sababu la lugha. So, lugha is important na wanaokosoa hapa wasionwe wabaya.
Tukiamua kujadili content, nadhani lack of morals si tatizo la viongozi pekee. Hivi tumewahi kujiuliza values za watanzania ni zipi na zinazingatiwa na watu wengi (maana si rahisi kuwa wote).
I do believe that most tanzanians hawana habari na kitu kinaitwa values. In such a state we can hardly have the morality it takes to make a nation which we desire
Tatizo hapa linatokana na ainisho kwamba ili tuendelee tunahitaji.
WATU
ARDHI
SIASA SAFI
NA UONGOZI BORA.
Kadri ya ainisho hili Viongozi wako kwenye kundi tofauti na watu, viongozi si sehemu ya watu.
Mimi nadhani tunahitaji
WATU NA ARDHI
Siasa na Uongozi bora ni mazao ya watu, kwa hiyo uchambuzi wa MH hapo juu ni sahihi tukizingatia kwamba viongozi si sehemu ya watu ila ni viumbe (Alien) waliokuja Tanzania kutawala tu.