Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
babab v unafikiri wale watoto wote ni wako??na wewe unadhani ni mtoto halali wa baba yako ??haya mambo yaacheni wanaume mtalia kama mbwa huko njiani wachaneni we songesha maisha yaende ilhali hakuna aliyekuja dai mtoto we lea tu atakufaa mbeleni
Sasa mie nimeshasomesha wengine wamemaliza chuo kikuu nafanyaje niwakane? na kwa nini akina mama zetu mnatufanbyia hivi jamani!?
kuthibitisha ukweli wa vipimo vya DNA, we pima mama na mtoto wake bado havitakubaliana pia. Hii DNA ni DuNiA au?
Wengine huwa hatuhitaji hiyo kitu kwa sababu tukifyatua
watoto utafikiri tuliingizwa kwenye fotocopy machine yaani
Kwa mama anachukua rangi tu lakini vingine vyote ni mimi
mwenyewe.
Hivi kule Maternity Ward, huwa hakuna uwezekano wa watoto kukosewa na kupewa mama mwingine?...najua huwa kuna alama wanafungwa watoto mikononi
mkemia mwenyewe kabambikiwa mtoto
Hivi kule Maternity Ward, huwa hakuna uwezekano wa watoto kukosewa na kupewa mama mwingine?...najua huwa kuna alama wanafungwa watoto mikononi
Mkuu ukiniita mjinga Hunitukani hivyo usiogope kuliandikawa..nga ndio waliwao nenda kapime wacha kubweteka
Mwali Mimi sio bingwa Wa statistics lakini nimeliona hilo na kufanya moyoni kuhoji hiyo 55%? Kama ilivyotolewa kwenye ripoti.Lahaula wallahquattah!
Ila naomba kuwauliza wataalam wa statistics kama kina snochets hivi...
Ikiwa unachukua random sample of the population and test their DNA
Au ukichukua people who have reasons to doubt and who need confirmation
Si lazima ile sample ya watu wenye legitimate doubt watakua na asilimia kubwa na negative test?
I think we should read these result the other way round:
Asilimia 55 ya watu wanao dhani watoto sio wao wanakuta ni wao kweli
Only less than half of them were right and were found not to be parents.
...Hili sijambo la kufanyiwa mzaha ... kuna uwezekano mkubwa na kwa sababu mbalimbali ...hata kubadilishiwa mtoto kwa msingi ya jinsia nk.
Jmabo la kufanya. Kama Mama anahakika HAKUTOKA ... na DNA test tayari inamzengua? Testi ifanywa kwa kuhusisha wazazi wote ... inawezekana Mama akaokoka kwa kukuta mtoto sio Baba wala sio Mama!!!
Ndugu yangu Azimio Jipya
Kwa jinsi ninavyojua mimi, yanapotokea malalamiko kama hayo na kupelekea kupima DNA ya mtoto, wanatakiwa kupimwa wazazi wote wawili pamoja na mtoto.
Kuna wakati kaka yangu alikuwa na kesi kama hii hivyo tukaenda kwenye ofisi ya mkemia mkuu wa serikal ili tuweze kupata kipimo DNA ndo tukapewa hayo maelezo hayo. Tena kupima ni Tshs laki moja na nusu kwa kila mtu.