subiri bwana wako mbowe aje akuambie. maana umeshikiwa kila kitu ikiwa ni pamoja na akili zako.
Wamaechanganyikiwa hao, huo umeme upo wapi?
Kama Dar kwenyewe umeme ni mgao hizo m zipo wapi?
Mabox yamewazidi ok uraia pacha wamefikia wapi?