Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau wa JF.
Mheshimiwa Naibu Spika Dr Tulia Ackson amezindua Tamasha la Kiutamaduni - Tulia Traditional Dances Festival 2019 Mkoani Mbeya.
Hongera sana Mheshimiwa kwa kuenzi, kuendeleza na kuheshimu Tamaduni zetu.
Mheshimiwa Naibu Spika Dr Tulia Ackson amezindua Tamasha la Kiutamaduni - Tulia Traditional Dances Festival 2019 Mkoani Mbeya.
Hongera sana Mheshimiwa kwa kuenzi, kuendeleza na kuheshimu Tamaduni zetu.