mawaridi
Member
- Aug 30, 2015
- 47
- 123
Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita, Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM ametangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametangazwa kupata kura 37,591 katika nafasi ya pili.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametangazwa kupata kura 37,591 katika nafasi ya pili.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia