The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Naibu spika amesema kuwa "ujenzi wa uwanja wa ndege wa msalato utafanyika hata kama haupo kwenye bajeti maana rais ameshasema na neno lake ni sheria" mwisho wa nukuu.
Ole Sabaya alikuwa akitekeleza amri za bosi wake Hayati John Magufuli. Mfano Magufuli aliwataka watendaji wake wahakikishe mapato yanakusanywa kwa namna yoyote ikiwemo uporoji wa TRA, wapinzani wanahujumiwa kwa namna yoyote.
Nani alikuwa anamkosoa MAGUFULI? Mwanaccm yupi alipinga mawazo ya JPM? Acheni double standard. Kama mwanasheria anasema neno la rais ni sheria je SABAYA anakosa gani?
Ole Sabaya alikuwa akitekeleza amri za bosi wake Hayati John Magufuli. Mfano Magufuli aliwataka watendaji wake wahakikishe mapato yanakusanywa kwa namna yoyote ikiwemo uporoji wa TRA, wapinzani wanahujumiwa kwa namna yoyote.
Nani alikuwa anamkosoa MAGUFULI? Mwanaccm yupi alipinga mawazo ya JPM? Acheni double standard. Kama mwanasheria anasema neno la rais ni sheria je SABAYA anakosa gani?