Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,808
- 11,973
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi amesema kuwa ana uhakika Chama cha Mapinduzi kitaibuka kidedea katika Jimbo la Mbeya Mjini.
Tulia amesema hayo alipojitokeza kupiga kura, ambapo amesema kuwa amezunguka katika vituo takribani 40 na hali katika vituo hivyo ni shwari na wananchi wameitika wito.
Aidha amebainisha Changamoto ambazo zimejitokeza kuwa ni baadhi ya wapiga kura wamekata tamaa ya kushiriki zoezi hilo baada ya kutafuta Majina yao na kuyakosa katika vituo ambavyo walitarajia kupigia kura.
Tulia amesema hayo alipojitokeza kupiga kura, ambapo amesema kuwa amezunguka katika vituo takribani 40 na hali katika vituo hivyo ni shwari na wananchi wameitika wito.
Aidha amebainisha Changamoto ambazo zimejitokeza kuwa ni baadhi ya wapiga kura wamekata tamaa ya kushiriki zoezi hilo baada ya kutafuta Majina yao na kuyakosa katika vituo ambavyo walitarajia kupigia kura.