Dkt. Tulia Ackson: Mshahara wa Mbunge ni Tsh milioni 4.6 na sio vinginevyo

Bila shaka wewe sio salaried worker. The more you earn the higher the taxes. Yes, kuna watu wanalipa PAYE zaidi ya 30%.
 
Naibu spika wa JMT amesema mbunge anakatwa kodi.
Na kwa figure ya mshahara wa mbunge alioutaja ambao ni 4.6 minions na kodi ikuwa ni 1.5 milions kwa hesabu ya haraka tu unakuja kuona kuwa kodi anayokatwa mbunge ni zaidi ya 30% au tufupishe tuseme tu ni 30%.
Hivi tuna wabunge wazalendo kiasi hiki?
Miaka yote wainyamazie tu kodi kubwa inayogusa mfupa wao kiasi hiki?
Note: Mkitaka kuwadanganya wananchi basi tafuteni uongo mtakatifu.
Aweke salary slips za wabunge wazalendo tuzione
Usiwe unabisha ndugu kama hufahamu omba watu wakueleweshe. Kodi kwa mishahara iliyo chini ya 1,000,0000 hukatwa kwa asilimia, mfano kima cha chini kodi ni 9%. Lakini mshahara wowote unaozidi 1,000,000 kodi huwa ni 130,000 + (30%x inayozidi kwenye 1,000,000). Mfano kama mshahara ni 4,500,000 basi kodi itakuwa 130,000 +(30%x4,500,000)=130,000 + (0.3x4,500,000)=130,000 +1.350,000=1,480,000 ambayo ni karibu na 1.5 milion.
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
MMH. Sijaelewa. Hivi hayo makato yao ni tofauti na PAYE?? Maana nikipiga kodi ya kipato cha TZS 4,600,000/- ni TZS 1,070,000/- (Hapo less NSSF). Tukisema hawakatwi NSSF kodi ni TZS 1,208,000/-. Namheshimu Naibu Spika lakini hapa unatupotosha….

Nimetumia verified calculator ya TRA.
 
Nimemsikiliza akiongea anaonekana kuwaaminisha watu wabunge hawapati kingi kama wakurugenzi wengine kwenye mashirika ya umma.

Lakini anasahau kwa idadi ya wabunge mara hizo posho na mishahara bado hesabu inakuwa kubwa, amesema wabunge pamoja na waziri mkuu wanafika 395 ukipiga mara hizo figure utaona wanavyolifanya taifa kuzidi kuwa masikini.

Kigezo kingine alichotumia ku-justify hizo posho zao amesema hata wafanyakazi wengine wa umma wakisafiri hulipwa pesa za usafiri na gharama nyingine.

Lakini tunaona hawa wafanyakazi huwa wanacheleweshewa posho zao wakati mwingine hawapati mpaka wanafika vituo vyao vya kazi, na hata mishahara huchelewa, hili kwa wabunge haliwezi tokea.

Issue nyingine aliyozungumzia kuhusu wabunge 19 waliokuwa wa Chadema, anasema Chadema ndio wanatakiwa kumaliza taratibu zao ndani ya chama ndio bunge liwaondoe au lah.

Hapa Tulia anajua fika mtu akishaadhibiwa adhabu yake huanza kutekelezwa pale inapotolewa, sio mpaka atakapokata rufaa either akishinda ndio asiadhibiwe, au akishinda ndio aadhibiwe, na KM wa Chadema alishawaandikia barua kuwajulisha kuhusu hilo, lakini nashangaa bado wanakuwa wagumu kuelewa.
Nilichokiona kwanza ITV haina watangazaji wazuri wa kuuliza maswali, pia huyu bibi anaongea kama vile watanzania wote ni wajinga kama waliopo jimboni kwake.
 
Milioni zote hizo kwaajili ya kupiga makofi tu na kusifia sifia , wakati daktari binmgwa anayecheza na makamasi yao wakati wanaumwa analipwa milioni moja na nusu, sawa bwana waendelee tu , wao ni wateule
 
Hilo fungu la mshahara wa Katibu wa mbunge na dereva wanakatwa kodi?

Kwanini Bunge linalipa mshahara wa watumishi wa mbunhe ambao mchakato wa ajira zao haujapitia kwao?
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Mwamba Ngoma..
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Atuambie tu serikali inatoa kiasi gani kwa mwezi kulipa wabunge wote? Hapo tutagawanya wenyewe namba haidanganyi. Aliebuni namba moja kwa moja peponi.
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.

Kwamba?

"Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake."

Kwani ujumla ni ngapi basi? Au nayo ni siri kama agenda za Mrema?

Hizo hela zinapita tu kwa mbunge si zake bali za dereva, katibu wabunge nk. Hivyo hawa ndiyo hawalipi kodi au kichaka cha kukwepea kodi chenyewe?

Hiiiiii bagosha!
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Nilikuwa Mbeya juzi juzi kwa kweli anasumbua sana na misafara yake kila mara,Mbeya yenyewe mjini barabara ni moja tu inayoingia mjini.
 
Kwanini alipwe pesa za mfuko wa jimbo (za umma) ziwekwe kwenye akaunti ya mtu binafsi (mbunge mwenyewe). Kwanini mbunge amlipe katibu wake kwa kwa kutumia pesa za umma huku hiyo nafasi upatikanaji wake hauwi wa ushindani? na huyo dereva wa mbunge huwa anapatikana kwa mchakato upi wa ajira?
Wanafikiria wanaongoza ma nyumbu, Kwa mtu mwenye upeo timamu hawezi elewa mauchafu aliyoyazungumza.
Aweke salary slip yake na bank statement ndo tujue ukweli sio hizi porojo za kuzungumzia basic salary tu na akati kuna marupurupu kibao yanaingia kwa akaunti binafsi afu mnasema pesa za jimbo sijui kumlipa dereva, bulls**t.
Watu tunakatwa PAYE kwa hesabu ya gross pay yaani maumivu makali p*****v u zao.
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Huyu "Naibu" ni mwanasheria nguri lakini anatumia "tekinikalitizi" kujitetea kuhusu hoja ya Mhe. Jerry Silaa. Ndugu zangu watanzania tutumie elimu zetu kusaidia nchi yetu. Huu utetezi sio sahihi. PAYE kwenye mshahara wa mfanyakazi haikatwi kwenye Basic Salary tu bali kwenye Gross Salary. Huu ndio ukweli na kama kuna watu wa TRA au watalaamu wa kodi watusaidie sio wabunge kuja kujitetea.

Ameongelea kuhusu mashirika mengine kulipwa zaidi. Ni kweli lakini hicho kikubwa wanacholipwa kinakatwa kodi chote. Yaani karibu mshahara wote unarudi serikalini kama PAYE! Kama ulipwa fuel, rent allowance, sijue responsibility allowance zote hizi zinachanganywa zote na Basic Salary yako na kukatwa PAYE yaani "kodi ya mapato kwa jinsi unavyopata".

"Naibu" anasema mbunge analipwa kila mwezi posho ya dreva, posho ya mafuta, posho ya wasaidizi wa mbunge, posho ya jimbo....na hazikatwi kodi! Hapa ndio kuna matatizo na wametumia neno "posho" makusudi! Haya yote ni mapato kwa mbunge ni lazima yakatwe kodi. Tujiulize swali kidogo hizo posho za dreva na wasaidizi wake akiwapa anawakata PAYE au kodi maana kama hawakati ina maana wanapokea mapato ya mwezi bila kulipa kodi. Hapo bado hatujaongelea posho za vikao kwa siku hizo sijui shs 120,000 kwa siku! Kinachonisikitisha sana ni kwamba tuna waandishi wa habari ambao kwa mtazamo wangu hawatendi kazi zao kiweledi.
 
Kwanini alipwe pesa za mfuko wa jimbo (za umma) ziwekwe kwenye akaunti ya mtu binafsi (mbunge mwenyewe). Kwanini mbunge amlipe katibu wake kwa kwa kutumia pesa za umma huku hiyo nafasi upatikanaji wake hauwi wa ushindani? na huyo dereva wa mbunge huwa anapatikana kwa mchakato upi wa ajira?
Haya maswali ya msingi hawayataki kujibu wanakazana kuwapa wanaodiriki kusema adhabu...Are they for public or for their personal interests?

Hivi nikiwaza hii inaweza kuwa aina fulani hivi ya institutionalized corruption ili kupunguza makali ya wao kusimamia maslahi ya waliwachagua nitakuwa nimewaza vibaya?
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.
Kodi ya mshahara wa shs 4,600,000 ni shs 1,208,000 na kabla ya July 2021 ilikuwa shs 1,210,500. Je kwa nini katoa hesabu isiyo sahihi?
 
Back
Top Bottom