masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,170
Barabara za Mbeya na hata Songwe zimo kwenye ilani kwa miaka zaidi ya 20 , lakini hakuna kinachofanywa.Matapeli bana huwa wana tabia ya kujichanganya sana. Serikali ni matapeli, na ccm wazee wa ilani ya kurasa 300 nao ni matapeli. Sasa wameanza kushikana uchawi.
Hivyo ilani ya CCM kwa kweli kwa mikoa hiyo kuhusu miundombinu ni upuuzi mtupu.