Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,005
- 20,303
CCM tuna kiburi na kujiona nchi ni yetu, ubatili mtupuhamia burundi bado kuna nafasi
CCM tuna kiburi na kujiona nchi ni yetu, ubatili mtupuhamia burundi bado kuna nafasi
Hakika ni uteuzi, kura asingepita.Hongera Tulia Ackson kwa kupata Uteuzi.
Kuwa kada tunalijua hili? Sema kizazi hichi kitakwisha.Mimi pia ni kada wa CCM, baada ya uamuzi wa mwisho wa chama, mjadala ule umefungwa, sasa tunakwenda na chaguo la chama.
P
Safi sanaaaa anafaa chadema watakomaaa
Ila hii nchi hatuko serious na maisha kabisa
Afai atatii maagizo
The best choice and we suspected ref Pascal Mayalla
Hivi kweli mkuu, kuna nani wewe unadhani anaweza kupingana na executive? nchi hii Tanzania. kwa uhalisia kabisa.
Binafsi, ningeshangaa sana kama wasingempitisha Dr. Tulia.
WALE WANAOSHINDA KISUTU NA GAIDIHongera TULIA ..
Ila bungeni kwako mbona hamna upinzani. Ni chama.kimoja tu cha CCM. au unazungumzia chadema iliyo ndani ya CCM..
Hiyo ndoto unaiota mda ganiCCM inazidi kugawanyika vipande vipande
Sawa ulipigania saba fisadi na kibaka Andrew Chenge awe spika yote maisha poa tu mtetea wezi na mafisadi akina ChengeMimi pia ni kada wa CCM, baada ya uamuzi wa mwisho wa chama, mjadala ule umefungwa, sasa tunakwenda na chaguo la chama.
P
Hii kesi Tundu Lissu hatakuja kuisahau maisha yake yoteKati ya kazi nzito alizofanya akiwa Mwanasheria Mkuu ni kuongoza jopo la mawakili wa Serikali katika kesi maarufu kwa jina la mita 200, kwani kulitokea mvutano baina ya vyama vya upinzani na Serikali katika kutafsiri sheria ya umbali wa wananchi kukaa mara baada ya kupiga kura.
Ulikuwa mjanja sana ile michata yako kwenye nyumba lakini naona njaa imekufanya uwe upande wa wadhalim!Utashikana mashati na nani ww bwana mdogo!!!
sana utaambiwa binuka juu