Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,277
Hivi Pasco mwendazake alikupandishia vioo hata mama hujaweza kumshawishi kukupa hata uDC au hata uDED.Mchezo Umekwisha!,
Jina Moja ni Dr. Tulia Akson!
Paskali.
Hivi Pasco mwendazake alikupandishia vioo hata mama hujaweza kumshawishi kukupa hata uDC au hata uDED.Mchezo Umekwisha!,
Jina Moja ni Dr. Tulia Akson!
Paskali.
View attachment 2089469
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani
Pamoja na mambo mengine pia kama kuu imempongeza Rais Samia kwa ujenzi wa vyumba vya MADARASA nchi nzima
USSR
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani
Kura ya Nini Sasa???Aliyekuwa Naibu Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson Mwansasu amepitishwa na Kamati Kuu ya CCM Chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
-----
Dr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.
Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.
Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.
Kazi Iendelee.
Hivi kweli mkuu, kuna nani wewe unadhani anaweza kupingana na executive? nchi hii Tanzania. kwa uhalisia kabisa.Afai atatii maagizo
Kumbeeee!!!!siye twara lahaaaaa chadema mntaishia mahakamani tuuu uongozi ziiiiiiiiiiiiiiiiiiii
bado mama anateua jaji mwanamke mbowe ajiandae hata akikata rufaa baada ya hii hukumu ya maisha jela aje adundeHili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...
Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...
Pili, ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..
Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
Mnufaika mwenzaoHivi kweli mkuu, kuna nani wewe unadhani anaweza kupingana na executive? nchi hii Tanzania. kwa uhalisia kabisa.
Binafsi, ningeshangaa sana kama wasingempitisha Dr. Tulia.
Eti uzoefu.. sema mambo mengine.Hili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...
Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...
Pili, ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..
Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
Ebana shosti inakuwaje pande hizo. Well for Everything is fine I can't complain.Wanawake wote juuuuu.
Wanaume mtajua tu wenyewe mko wapi sitaki ugomvi.