Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment 2089469
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani

Pamoja na mambo mengine pia kama kuu imempongeza Rais Samia kwa ujenzi wa vyumba vya MADARASA nchi nzima

USSR
1642134344494.jpg

Haka karoho kamadaraka deal done!!😀😀
 
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani

Hili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...

Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...

Pili, imekuwa kama ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..

Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
 
Aliyekuwa Naibu Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson Mwansasu amepitishwa na Kamati Kuu ya CCM Chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


-----

Dr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.

Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.

Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.

Kazi Iendelee.
Kura ya Nini Sasa???
 
Hili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...

Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...

Pili, ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..

Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
bado mama anateua jaji mwanamke mbowe ajiandae hata akikata rufaa baada ya hii hukumu ya maisha jela aje adunde
 
Muendelezo wa ujinga wa Ndugai tena uliozidi maana huyu anajifanya anaijua sana sheria. Bunge la kidikteta na uonevu linaendelea.
 
Hili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...

Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...

Pili, ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..

Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
Eti uzoefu.. sema mambo mengine.

Tunasubiria kusikia nini kilifanyika hadi kufikia kumpata yeye.
 
Back
Top Bottom