Dkt. Tizeba vs Nchemba

Qualcomm

Senior Member
Nov 27, 2013
177
138
Naiona tofauti kubwa kiutendaji ktk wizara ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi kati ya Waziri Nchemba na Dkt.Tizeba.

Kwa kipindi alichokaa ktk wizara hiyo Nchemba alitembelea maeneo mengi kikazi lakini hakuchukua hatua kwa viongozi wazembe na wavivu nachokumbuka alionekana sana ktk picha kwenye matukio akivalia kombati wakati fulani alivamia machinjio saa nane usiku . Sasa kipindi cha sakata la sukari Waziri huyu alikaa kimya na kumwachia mh.Rais akahangaika na mafisadi wa sukari mpaka mwisho tulishuhudia mengi mnakumbuka.

Waziri Tizeba ameonekana kithubutu na kuwasimamisha kazi viongozi wazembe na wavivu hadharani na kukemea kwa nguvu zote vitendo vya hovyo hovyo. Naona Waziri huyu akifanya mambo mazito ukilinganisha na Waziri Nchemba ktk wizara hiyo ambaye alipenda sana kupiga picha kuliko kazi.

Tizeba akielndelea kwa mwendo huu naona wizara itaubeba uchumi uliolala ktk sekta ya kilimo.
 
It's obvious uwezi kulinganisha performance ya senior politician ambaye ni Dr. Na Kiongozi mwingine yoyote kwenye level ya SIASA Kwa Nchi hii. Msomi ambaye hajaunga unga shule lazima mtaona matokeo chanya kwenye utendaji wake.
 
Tutake tusitake Wizara ya Kilimo imeoza. Huwezi pewa wizara ile leo na ukaona kila kitu kiko sawa. kuna uozo usiovumilika. Mimi nilikuwa nashangaa Wazir aliyepita kama kweli alikuwa serious. Kwa upande mwingine nilikuwa nafikir anamkomoa Rais kwa kuwa alikosa uteuzi wa kupeperusha bendera. Hata yule wa Mazingira nae nafanya nini. Mji mchafu na sasa hasikiki kabisa. Si kumkomoa rais nini basi. Bora JPM awaondoe maana hawafanyi chochote. Tizeba safisha kilimo. Wote wanaosimamia maghala ya chakula wameoza hasa pale makambako. Ufisadi mtupu. Nenda vyuo vya kilimo hali ni mbaya. Umwagiliaji ndo kabisaaa. Ondoa wote kazi ianze upya. Ongeza kasi Daktari, Kilimo ni chanzo cha umskini kwa watz
 
Tizeba wa wapi huyo,mbona hatumfahamu?.

Yaani unalinganisha field marshal na kuruta?
 
Yule anayependa kuvaa tai zenye rangi ya bendera ya Tanzania, anapenda sana kupost taarifa kwenye facebook. Utadhani anatoa taarifa ya kazi kwa mtu fulani. Ndio ni ulimwengu wa teknolojia lakini sometimes inaweza kuonekana kama vile ni ushamba fulani hivi.
 
kigezo cha kuongeza performance ktk kazi ni kufukuza mtumishi elimu ya wapi hii???
ukiweza ku identify viongozi wazembe au wezi au wasio waaminifu ukawafukuza ukaweza ku identify viongozi wachapa kazi waaminifu ukawaweka in place utakuwa umeziba gap kubwa sana na bila shaka ukisimamia vizuri perfomance itakua juu sana ikihanikizwa na maslahi mazuri
 
Tizeba wa wapi huyo,mbona hatumfahamu?.

Yaani unalinganisha field marshal na kuruta?

Elungata, kiutendaji na hata uzoefu nategemea uongozi systematic zaidi chini ya Tizeba kuliko Mwigulu. Sina maana Mwigulu hafai, la hasha, bali kwa background zao Tizeba atafanya kazi kwa weledi zaidi ukilinganisha na Mwigulu.

Tizeba ametayarishwa kufanya kazi kama kiongozi wa serikali na mwanasiasa pia kitu ambacho Mwigulu anakikosa hasa uongozi wa serikali.

Tizeba amekuwa mhandisi serikalini na kupanda hadi kufikia Mhandisi wa Mkoa, then DC, Mbunge, waziri mdogo, na sasa waziri kamili. Kwa uzoefu huo nina hakika ana nafasi ya kufanya vizuri zaidi ya Mwigulu.

Mwigulu anaweza akaendelea kujijenga na kuwa waziri mzuri hapo baadae bali Tizeba ni 'ready made minister' akiwa anajua tayari systems za serikali zinavyofanyakazi na anaweza kubalance majukumu yake kama waziri kwa upande wa uongozi kiserikali na pia kama mwanasiasa.

Pamoja na ukweli kuwa kiutendaji katibu mkuu ndio mwenye dhamana, maamuzi ya mambo yote wizarani ya kisera na utendaji ni ya waziri mwenye dhamana. Hivyo uzoefu na uelewa wa systems za serikali (operations and procedures) ni muhimu katika kufanikiwa kama waziri, kwa mtazamo wangu.
 
Ok,mda utaeleza,nachojua tangu tupate uhuru,kwa mara ya kwanza tunaelekea mwezi wa nane wakulima wa pamba hawajui wakauze wapi pamba,wakati miaka mingine msimu unaanza mwezi june,kafanya nini mpaka sasa kuaddres hii ishu?
 
Ok,mda utaeleza,nachojua tangu tupate uhuru,kwa mara ya kwanza tunaelekea mwezi wa nane wakulima wa pamba hawajui wakauze wapi pamba,wakati miaka mingine msimu unaanza mwezi june,kafanya nini mpaka sasa kuaddres hii ishu?
Nafikiri kiongozi mahiri ataanza kwanza kuaddress issues Kwa kutafuta lasting solution na sio kuzima moto tu. Wizara ya kilimo ina challenges nyingi kana wana jf wslivyoainisha. Kwa mtizamo wangu, kiongozi wa kariba ya Tizeba atajipa muda kuelewa changamoto zilizopo na siyo kuanza kutoa matamko na baadae kujiuliza kama yanatekelezeka. Ni vizuri akachelewa kuliko kuparamia kwa ajiri ya political popularity na kisha tatizo likajirudia kama ulivyosinisha. Tumpe muda na anatakiwa kujipa muda!
 
It's obvious uwezi kulinganisha performance ya senior politician ambaye ni Dr. Na Kiongozi mwingine yoyote kwenye level ya SIASA Kwa Nchi hii. Msomi ambaye hajaunga unga shule lazima mtaona matokeo chanya kwenye utendaji wake.
Kuunga shule maana yake nini? Kati ya Magufuli na Jk nani aliunga shule?Na unadhani nani mtendaji mzuri?Je wewe hukuunga shule?Unaweza kuniambia kidogo tu maana ya jina lako la mwanzo?Dickson!

Naiona tofauti kubwa kiutendaji ktk wizara ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi kati ya Waziri Nchemba na Dkt.Tizeba.

Kwa kipindi alichokaa ktk wizara hiyo Nchemba alitembelea maeneo mengi kikazi lakini hakuchukua hatua kwa viongozi wazembe na wavivu nachokumbuka alionekana sana ktk picha kwenye matukio akivalia kombati wakati fulani alivamia machinjio saa nane usiku . Sasa kipindi cha sakata la sukari Waziri huyu alikaa kimya na kumwachia mh.Rais akahangaika na mafisadi wa sukari mpaka mwisho tulishuhudia mengi mnakumbuka.

Waziri Tizeba ameonekana kithubutu na kuwasimamisha kazi viongozi wazembe na wavivu hadharani na kukemea kwa nguvu zote vitendo vya hovyo hovyo. Naona Waziri huyu akifanya mambo mazito ukilinganisha na Waziri Nchemba ktk wizara hiyo ambaye alipenda sana kupiga picha kuliko kazi.

Tizeba akielndelea kwa mwendo huu naona wizara itaubeba uchumi uliolala ktk sekta ya kilimo.

Hii fukuza fukuza hivi kumbe ndio utendaji mzuri au ndio kipimo cha utendaji??? Mliosema div 5 imetumaliza nakubaliana kabisa...kinachotakiwa na matokeo ya kazi sio kutishia au kufukuza hovyo...

Tutake tusitake Wizara ya Kilimo imeoza. Huwezi pewa wizara ile leo na ukaona kila kitu kiko sawa. kuna uozo usiovumilika. Mimi nilikuwa nashangaa Wazir aliyepita kama kweli alikuwa serious. Kwa upande mwingine nilikuwa nafikir anamkomoa Rais kwa kuwa alikosa uteuzi wa kupeperusha bendera. Hata yule wa Mazingira nae nafanya nini. Mji mchafu na sasa hasikiki kabisa. Si kumkomoa rais nini basi. Bora JPM awaondoe maana hawafanyi chochote. Tizeba safisha kilimo. Wote wanaosimamia maghala ya chakula wameoza hasa pale makambako. Ufisadi mtupu. Nenda vyuo vya kilimo hali ni mbaya. Umwagiliaji ndo kabisaaa. Ondoa wote kazi ianze upya. Ongeza kasi Daktari, Kilimo ni chanzo cha umskini kwa watz
 
Naiona tofauti kubwa kiutendaji ktk wizara ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi kati ya Waziri Nchemba na Dkt.Tizeba.

Kwa kipindi alichokaa ktk wizara hiyo Nchemba alitembelea maeneo mengi kikazi lakini hakuchukua hatua kwa viongozi wazembe na wavivu nachokumbuka alionekana sana ktk picha kwenye matukio akivalia kombati wakati fulani alivamia machinjio saa nane usiku . Sasa kipindi cha sakata la sukari Waziri huyu alikaa kimya na kumwachia mh.Rais akahangaika na mafisadi wa sukari mpaka mwisho tulishuhudia mengi mnakumbuka.

Waziri Tizeba ameonekana kithubutu na kuwasimamisha kazi viongozi wazembe na wavivu hadharani na kukemea kwa nguvu zote vitendo vya hovyo hovyo. Naona Waziri huyu akifanya mambo mazito ukilinganisha na Waziri Nchemba ktk wizara hiyo ambaye alipenda sana kupiga picha kuliko kazi.

Tizeba akielndelea kwa mwendo huu naona wizara itaubeba uchumi uliolala ktk sekta ya kilimo.

Huo sasa umbea na chuki binafsi dhidi ya nchemba. nakumbuka watu wa machinjio walivyosimamishwa kazi kwa uzembe na upotevu wa fedha za serikali, hukuona kule iringa kwenye vyama vya wakulima na kule Mara???

Acha chuki, kama huna hoja kaa kimya.labda tafuta jingine ambalo lina make sense-kwa hapo umedunda.
 
NYANZA ilikuwa imepata meneja jembe, sasa huyu tizeba kakurupuka kumfukuza
 
Yule anayependa kuvaa tai zenye rangi ya bendera ya Tanzania, anapenda sana kupost taarifa kwenye facebook. Utadhani anatoa taarifa ya kazi kwa mtu fulani. Ndio ni ulimwengu wa teknolojia lakini sometimes inaweza kuonekana kama vile ni ushamba fulani hivi.
Fidel Castro wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom