Dkt. Tax shirikiana na Waziri Simbachawene kukagua Uhamiaji; punguzeni kamatakamata za Waethiopia mikoani

Naomba nimshukuru Mungu kwa uteuzi mzurii na pia iukupongeza kwa uteuzi bora kabisa

Tunaamini kuwa na wewe mipaka yetu itakuwa salama zaidi

Binafsi nahuzunika sana kuonaa kila siku ati Mbeya Morogoro nk wamekamata Waethiopia wasio na vibali

Mama yetu haya mamboo yalisahaulika kabisa huko nyuma yameanza tena, kupitishwa kwa watu toka nje wasio na vibali hawa Immigration wanahusika 💯

Wakati muafaka sasa kuamini kama.wanapita bila vibali mipaka yetu haiko salama tena

Tunaomba mfuatilie na mtoe mfano kama nilivyoona waethipia wamekamatwa mbeya

Hawa hawajaja na ndege mpakaa wanakamatwa wamekutana na hawa jamaa Immigration/polisi pale boda na wakapita bila vibali

Wakati muafakaa sasa kudili na wahusika wanaowapitisha hawa Waethiopia nk na je wana nia gan nanchi yetu?

KAENI NA BOSS MKUU WA IMMIGRATION FUATILIENI CHENI NZIMA WALIOHUSIKA NA MPAKA BODA WALIZOPITA UKWRLI MTAWEKA HEESHIMA IKIWEZEKANA PELEKENI MAHAKAMANI FUNGENI KABISA HAWA NI WAHUNI WANAOPITISHA WATU BODA BILA VIBALI

Mwisho nawatakia kazi njema na Mungu awatangulie
Uwiii! Habari za huko Ugiriki umerudi lini? Baada ya wewe kuondoka huyu mama Tax aliteuliwa kuwa waziri wa ulinzi, yeye kampuni yake haina pingu.
 
Jamii Forums imejaa mizuzu inajadili mamno bila kufikiri, yenyewe kila jambo liwe sawa au limekosewa ni sawa tu!
Uhamiaji haihusiani na jeshi la ulinzi, iko mambo ya ndani na ina waziri wake.
 
Wakimbizi ni watu gani!?
Ni hali yeyote ile inayomsibu Binadamu/wanyama Wapya/wageni!! waliokimbia/kutoroka kutoka sehemu moja yeyote ile iwayo ya hatari kwa maisha yao kutoka ktk...
Mataifa yao husika
Familia/koo zao za kichawi, kufanyiwa tohara/ kuolewa wadada vigori bila ridhaa zao! kubakwa,kuchukiwa bila sababu, kuangaliwa sana ajili ya uzuri wako mpaka unahisi mtu anataka kukutafuna ivi!, Mateso ya kimwili km kunyimwa naniliu maksudi tu bila sababu....

Kazi zao! km hazilipi, Boss anakuonea tuu! sababu unatoka ukoo wa Nyerere!

na hii mara nyingi kuliko zote ni kwa muktadha wa sababu mbalimbali za kibinadamu ambazo ziko beyond humanity comprehensions km vile za '

kiuchumi ,
kisiasa, na
kiutamaduni!

Lengo likiwa ni kupata mahali salama ajili ya Maisha muhusika, na wapendwa wao! kwa mujibu wa sheria za haki za Binadamu za Umoja wa Mataifa ya mwaka 1648'' wana haki hiyo ya kulindwa na kuheshimiwa bila ushawishi!! na kuchagua wao mahali salama!

NB; ni kosa la jinai kumuomba mkimbizi chochote cha mwilini!! hata km akikukubalia! au akikubembeleza vipi! ukikubana saana kimbia! kwa usalama wako, au muite polisi aliye karibu!!!..... pia unatahadharishwa usimtumbulie macho aliye mbioni ukimbizini!! bali tizama chini!....ivo!
 
Back
Top Bottom