Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,652
- 22,250
Uwiii! Habari za huko Ugiriki umerudi lini? Baada ya wewe kuondoka huyu mama Tax aliteuliwa kuwa waziri wa ulinzi, yeye kampuni yake haina pingu.Naomba nimshukuru Mungu kwa uteuzi mzurii na pia iukupongeza kwa uteuzi bora kabisa
Tunaamini kuwa na wewe mipaka yetu itakuwa salama zaidi
Binafsi nahuzunika sana kuonaa kila siku ati Mbeya Morogoro nk wamekamata Waethiopia wasio na vibali
Mama yetu haya mamboo yalisahaulika kabisa huko nyuma yameanza tena, kupitishwa kwa watu toka nje wasio na vibali hawa Immigration wanahusika 💯
Wakati muafaka sasa kuamini kama.wanapita bila vibali mipaka yetu haiko salama tena
Tunaomba mfuatilie na mtoe mfano kama nilivyoona waethipia wamekamatwa mbeya
Hawa hawajaja na ndege mpakaa wanakamatwa wamekutana na hawa jamaa Immigration/polisi pale boda na wakapita bila vibali
Wakati muafakaa sasa kudili na wahusika wanaowapitisha hawa Waethiopia nk na je wana nia gan nanchi yetu?
KAENI NA BOSS MKUU WA IMMIGRATION FUATILIENI CHENI NZIMA WALIOHUSIKA NA MPAKA BODA WALIZOPITA UKWRLI MTAWEKA HEESHIMA IKIWEZEKANA PELEKENI MAHAKAMANI FUNGENI KABISA HAWA NI WAHUNI WANAOPITISHA WATU BODA BILA VIBALI
Mwisho nawatakia kazi njema na Mungu awatangulie