Dkt. Tax shirikiana na Waziri Simbachawene kukagua Uhamiaji; punguzeni kamatakamata za Waethiopia mikoani

Hawana passport utawapa permit vipi? Serikali yao ya Ethiopia wanoko sana kuwapa passport watu wao kama tulivyo sisi Tanzania

Huwezi kuta wakenya au waganda au wanya Rwanda au warundi au wanigeria nk wengi wanaokamatwaa Africa Kusini hawana passport. wengi wanaodakwa ni Watanzania na Waetheopia na uhamiaji kule wanajua

Mkuu kupewa sheria haifungamani na passport kwani wengi wanakimbia na roho yao tu
Na waliobahatika kuwa na passports huwa wanazitupa kwa kuhofia kurudishwa walikotoka ambapo wengi huteswa zaidi
Ingawa Ulaya wakiingia ni vigumu kurudishwa kwao kutokana na haki za kibinadamu

Wakimbizi hata wale wa Ulyankulu enzi zile walikuwa wanaishi tu bila passport ila baadae walipewa Uraia

Inajulikana UN wanatoa fedha nyingi kwa ajili ya Wakimbizi ila mataifa mengi wanawadhulumu haki zao
 
Mkuu kupewa sheria haifungamani na passport kwani wengi wanakimbia na roho yao tu
Na waliobahatika kuwa na passports huwa wanazitupa kwa kuhofia kurudishwa walikotoka ambapo wengi huteswa zaidi
Ingawa Ulaya wakiingia ni vigumu kurudishwa kwao kutokana na haki za kibinadamu

Wakimbizi hata wale wa Ulyankulu enzi zile walikuwa wanaishi tu bila passport ila baadae walipewa Uraia

Inajulikana UN wanatoa fedha nyingi kwa ajili ya Wakimbizi ila mataifa mengi wanawadhulumu haki zao
Wazungu mioyo yao tofauti thus wamebarikiwa.Wazungu ni kimbilio la waafrika wanaoteswa na waafrika wenzao.
 
Mie huwa sielewi, serikali ya Tanzania kukalia kila leo kufukuzana na kukamata hao 'wahabeshi' na kutumia pesa na resources nyingi kama polisi, uhamiaji, kuendesha kesi na watu magereza kulisha watu hao, ambao kimsingi hawana haja ya kukaa Tanzania, bali wako ' on transit kwenda SA ambako huwa wanapokewa katika wakimbizi. Hata huko Kenya wanakopitia nafikiri walichokaa kutumia gharama za kukamata na kulisha magerezani, na nafikirihivyo ni kama waliamua ' unofficially' kuwa wanawapa 'safe passage' waendelee mbele kwa mbele. Sasa Tz mnaingia gharama 'unnecessary' badala ya kuwaruhusu waendelee mbele kwa mbele kukwepa gharama.... kaazi kwelikweli.

Uneongea point Sana.
Hata mexico niliona waliamua kuwakubalia wahonduras waliokuwa wanaelekea zao USA kwa miguu wapite nchini mexico bila bughuza ingawaje walikuwa hawana document migration
 
Mie huwa sielewi, serikali ya Tanzania kukalia kila leo kufukuzana na kukamata hao 'wahabeshi' na kutumia pesa na resources nyingi kama polisi, uhamiaji, kuendesha kesi na watu magereza kulisha watu hao, ambao kimsingi hawana haja ya kukaa Tanzania, bali wako ' on transit kwenda SA ambako huwa wanapokewa katika wakimbizi. Hata huko Kenya wanakopitia nafikiri walichokaa kutumia gharama za kukamata na kulisha magerezani, na nafikirihivyo ni kama waliamua ' unofficially' kuwa wanawapa 'safe passage' waendelee mbele kwa mbele. Sasa Tz mnaingia gharama 'unnecessary' badala ya kuwaruhusu waendelee mbele kwa mbele kukwepa gharama.... kaazi kwelikweli.
Umeongea vizuri sana mkuu, sijawahi kuona faida yoyote ambayo serikali inapata kwa kuwakamata hawa wahabeshi, sana sana ni hasara tuu tunapata na kujaza Magereza na mahabusu.
 
Ni ujinga kuamini kwamba wote wanapita halafu badae tutaanza kuulizana wahalifu wakigeni wanatokea wapi tusirahisishe mambo magumu.
Kweli ujinga ni kipaji, kama kweli issue ni wahalifu je Warundi kule mipakani tumewaweza? Wahabeshi hakuna asiyejua kuwa wanakimbilia South Africa, na ndiyo maana ukiambiwa utoe mifano ya wahalifu from Ethiopia hapa nchini utaishia kutoa mimacho tuu kama kenge..
 
Sio kidogo ajira Tanzania hazipo mtu anaamua kwenda Africa Kusini kutafuta maisha anaomba passport unamnyima kisa hana barua ya mwaliko toka lini fursa ikaandika barua ya mwaliko kuwa njoo nchi hii kuna fursa? kijana anaamua aende hivyo hivyo kwa kuhonga honga njiani akisafiri mazingira magumu yawezayo letelezea hata kifo chake. Mungu si Athumani anafanikiwa kufika Africa Kusini anajifanyia shughuli halali kabisa za kumwingizia kipato
Siku unapita msako Anadakwa hana passport anarudishwa Tanzania unamdaka Airport na kumpeleka mahakamani kwa kosa la kusafiri bila passport! !!!! ! ! Very interesting
Mbaya sana hii mkuuu, yaani ni kubaniana mwanzo mwisho...
 
46 WAMEEEEDAKWA MANYARANDANI YA GARI LA KUHIFAFHIA SAMAKI HAHAHAHAA
 
Mkuu bado umezama kwenye mipaka tulioachiwa na mabeberu?futa hii so called mipaka na Africa belongs to Africans
Una akili sana wee jamaa!!! Ethiopia kabla ya mkutano wa Berlini ilikuwa ina enda mpaka Zimbabwe ya leo!! wkt wa ukoloni tulichanganywa tu na ethiopia tukitumia hela moja!

zaidi ya nusu wengi humu Bongo tumetokea ethiopia! leo ukienda Addis ababa kuna watu utakuwa unawastukia km Unganiko la damu......mipaka hii imewekwa na adui yenu!..... km ni ivo waache waje!!! ...

mbona ulaya kwa adui yetu! wakimbizi wanapewa mpaka uji? dawa, blankets, polee kubwaa! lkn sisi tuawasimanga, chuki, tunawazodoa! mpaka wanakufa kwa kuzodolewa jamani!

kwanza hapa bongo wanapita tu jamani sasa eti wanamzuia nini?? wapeni chakula, maji, wakokeeni myoto muwasindikize mpaka mikapakani, angalia mfano kuleee S. america weupe wanawaruhusu tu wapite kuelekea USA! jamani mwee! ivi tuna nini sisi weusi?

Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja sijui km alisoma hii!!................Mungu Ibariki Africa......waache waende wanakotaka si wako Africa? kwa nini wenyewe kwa wenyewe wanapenda sana kuwagawa wao kwa wao!

kule Ethiopia kuna kichapo kinacho dhaminiwa na adui wetu sote ajili ya Bwawa la Umeme tu! tena basi kwa faida ya weusi km wewe !sasa anataka wafie vitani? mbona waswahili wana roho mbaya ki hivi?

Kumbukeni kwa siasa zenu hizi za hovyo na nyie mtakuwa wakimbizi one day!! sasa wawafanyie km hivi!! na mnajua fika mshahara wa dhambi ni mauti!! wapo wabongo wengi wakimbizi leo ajili ya jiwe!! kwa nini sasa mjinga mmoja awachukie wakimbizi?
 
Uhamiaji wakiamua hawa waethiopia na wasomali haramu hawatakuwepo
Waende wapi mama D'' ni sheria za kimataifa zina walinda! marufuku kumnyanyasa mkimbizi! kwa vyovyote vile! na sisi tume sign huo mkataba!
 
Nasikia hao jamaa eti ni wayahudi weusi!eti ni watoto wa mfalme suleiman!!kwanini tusiwaache tuzaliane ili tupate Breed nzuri kuliko vilaza wengi tulionao???
 
Mie huwa sielewi, serikali ya Tanzania kukalia kila leo kufukuzana na kukamata hao 'wahabeshi' na kutumia pesa na resources nyingi kama polisi, uhamiaji, kuendesha kesi na watu magereza kulisha watu hao, ambao kimsingi hawana haja ya kukaa Tanzania, bali wako ' on transit kwenda SA ambako huwa wanapokewa katika wakimbizi. Hata huko Kenya wanakopitia nafikiri walichokaa kutumia gharama za kukamata na kulisha magerezani, na nafikirihivyo ni kama waliamua ' unofficially' kuwa wanawapa 'safe passage' waendelee mbele kwa mbele. Sasa Tz mnaingia gharama 'unnecessary' badala ya kuwaruhusu waendelee mbele kwa mbele kukwepa gharama.... kaazi kwelikweli.
Nahisi huu ni mradi wa watu. Nchi zote wanazopita hawa watu kuelekea SA hakuna wanakokamatwa ila Tanzania tu. Tena kwa kelele nyingi za "hatari kwa usalama wa nchi"! Ethiopia kwenyewe ukiwauliza serikalini wanashangaa Tanzania kuhangaika na watu wao wanaoenda SA ili kutafuta maisha bora. Tena huko SA inadaiwa kuna namna nyepesi ya kutimkia Ulaya na US. Inaelekea Ethiopia wana sera ya kimyakimya ya kuruhusu watu wao watoke nje kupunguza presha ya kiuchumi na kisiasa.

Labda serikali itufahamishe kama taifa tunapata nini hasa kwa kukimbizana na hawa wahabeshi ambao hawana interest ya kukaa kwetu? Au tunalazimika kuwazuia hapa? Mbona huko SA kwenyewe wanapokelewa tu bila mikwaruzo? Na kwa kadiri kivutio hicho kipo watahangaika tu kuelekea huko siku zote. Na sisi tutaendelea kutumia rasilimali zetu kuhangaika nao hapa kwetu. I believe kuna watu wananufaika. Haiyumkiniki tukawa mazuzu kiasi hicho.
 
Acha wapite zao wakatafute maisha, watu wengine mnazingua sana sijui ni njaa mnataka rushwa au roho mbaya tuu
 
Back
Top Bottom