Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,377
- 45,597
Hawana passport utawapa permit vipi? Serikali yao ya Ethiopia wanoko sana kuwapa passport watu wao kama tulivyo sisi Tanzania
Huwezi kuta wakenya au waganda au wanya Rwanda au warundi au wanigeria nk wengi wanaokamatwaa Africa Kusini hawana passport. wengi wanaodakwa ni Watanzania na Waetheopia na uhamiaji kule wanajua
Mkuu kupewa sheria haifungamani na passport kwani wengi wanakimbia na roho yao tu
Na waliobahatika kuwa na passports huwa wanazitupa kwa kuhofia kurudishwa walikotoka ambapo wengi huteswa zaidi
Ingawa Ulaya wakiingia ni vigumu kurudishwa kwao kutokana na haki za kibinadamu
Wakimbizi hata wale wa Ulyankulu enzi zile walikuwa wanaishi tu bila passport ila baadae walipewa Uraia
Inajulikana UN wanatoa fedha nyingi kwa ajili ya Wakimbizi ila mataifa mengi wanawadhulumu haki zao