Dkt. Slaa: Tusitegemee muujiza kwenye kitu kinachoitwa Katiba

Wazee aina ya Slaa ni zaidi ya laana maana sio mfano bora kwa jamii.

1. Alikikana kiapo cha kanisa kwa ajili ya tamaa za mwili tuu.
2. Aliwakana mke na watoto wake kwa sababu ya mwanamke mwingine kimada.
3. Alikikana chama na vile alivyopigania kwa kushawishiwa kwa vipande vya fedha na ahadi ya nafasi kuponya tumbo lake na mchumba wa uzeeni.
4. Alimkebehi mwenzake waliyekuwa naye kikazi na kirafiki (Lissu) alipofanyiwa shambulizi lenye lengo la kumuua likaishia kumlaza kitandani zaidi ya mwaka, operesheni 25 na ulemavu juu.

Je, mzee wa aina hiyo anafaa kuwa mfano mwema katika jamii?

Kuna watu wanafanya reference kuwa alipokuwa Chadema alifanya hiki na kile so what? Sii alikuwa analipwa mshahara na marupurupu kibao?

Na alipwaye mshahara anapaswa kufanya nini kama sio kazi at his best performance?

Atuache tuna mengi ya muhimu sana
Kuhusu uroda na familia, msamehe bure. We hujui tu utam wa wahaya na nguvu zao. Mengine uko sahihi. Amefeli pote, kufia dini na kufia watu.
 
Kwani nani amemwambia kuwa wananchi wanataka katiba mpya ili iwaletee miujiza?
Halafu ona alivyo mnafiki. Anasema inahitaji maandalizi ya muda mrefu. Sasa si ndiyo ilitakiwa maandalizi yaanze mapema, kwa mijadala na makongamano ili watu wapate muda mrefu wa kutoa madukuduku yao? Kukataza watu kufanya chochote si ndiyo kutafanya ije ipatikane ''katiba ya zimamoto'' kwa sababu watu hawatapata muda wa kujadili?
 
Back
Top Bottom