Mkuu Chintu;
Utatufanya tukufuru bure mbele ya Mungu; ikiwa Slaa ni chaguo la Mungu basi utawafanya watu wengi sana wahoji hekima za Mungu ndio sababu nakuambia usimchanganye Mungu kabisa na kahaba huyu; labda kama Mungu wenu ni kuwachonga kama wa kihindi; huyu aliyekuwa akiwalamba wanakwaya na wanamaombi ndani ya nyumba ya Bwana; misalaba kila kona hakumuogopa Mungu; kweli wewe unataka kuanimbia katika mamilioni ya watanzania awe huyu mtu mchafu mzinifu mkubwa kama Slaa; hivi kabla ya kuandika huu utumbo akilia yako ilikuwa 100% ? Hayo madude mnayobwia angalieni sana yatawatia uchizi.
Chama
Gongo la mboto DSM
....imenisaidia kujua naongea na mtu mwenye upeo gani?