Baada umshukuru Dr kwa kukusaidia kujua mambo kiundani na ukweli we una laumu!
Ulitegemea zawadi gani apewe mtu anaye kashfu wenzie?
Nimshukuru kwa lipi kahabaN na mnafiki mkubwa huyo!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Baada umshukuru Dr kwa kukusaidia kujua mambo kiundani na ukweli we una laumu!
Ulitegemea zawadi gani apewe mtu anaye kashfu wenzie?
Nimshukuru kwa lipi kahabaN na mnafiki mkubwa huyo!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu mbona hapa umepwaya sana?
Hivi wewe Dr. Slaa unafahamu maana ya mnafiki? wewe ndie umekaa kinafiki zaidi iweje uyaseme leo? Kama ungekuwa mkweli ungeyatoa hadharani siku nyingi; habari ya Sitta na CCJ haina mshiko tena; umesahau unafiki wako? Kwa akili yako unafikiri ni nani atayekuamini zaidi ya wanachadema wenzako; hebu teuleze kati ya hayo mawili ulianza lipi ulianza kujivua upadri ukaingia kwenye zinaa au ulianza zinaa ukajitoa upadri, jiangalie kwenye kioo utajiona ni mnafiki wa kiasi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kweli nimeamini UKIWA MWONGO Usiwe Msahaulifu, Sita kasahau uongo wake, kasahau uovu wake, Dr Slaa kamukumbusha, Jamani Sita kajimaliza kabisa sasa, Nyumba yako ikiwa ya kioo usitake ugomvi wa kurushiana mawe!
Hivi wewe Dr. Slaa unafahamu maana ya mnafiki? wewe ndie umekaa kinafiki zaidi iweje uyaseme leo? Kama ungekuwa mkweli ungeyatoa hadharani siku nyingi; habari ya Sitta na CCJ haina mshiko tena; umesahau unafiki wako? Kwa akili yako unafikiri ni nani atayekuamini zaidi ya wanachadema wenzako; hebu teuleze kati ya hayo mawili ulianza lipi ulianza kujivua upadri ukaingia kwenye zinaa au ulianza zinaa ukajitoa upadri, jiangalie kwenye kioo utajiona ni mnafiki wa kiasi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Baada umshukuru Dr kwa kukusaidia kujua mambo kiundani na ukweli we una laumu!
Ulitegemea zawadi gani apewe mtu anaye kashfu wenzie?
Nimshukuru kwa lipi kahabaN na mnafiki mkubwa huyo!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mimi naamini Mungu alipenda kumtumia Dr Slaa kwa namna anavyomtumia sasa kwa manufaa ya watanzania wote na si wakatoliki peke yao ambao wangefaidi karama aliyomtunukia.
Naona ulikuwa ni mpango thabiti wa Mungu kumtoa katika huduma ya upadri. Si muhimu kwetu kujadili Mungu alitumia njia ipi kumtoa huko alikokuwa na kumleta huku aliko sasa, la muhimu kwetu ni kuwa huku alikomleta karama aliyotunukiwa inatumika kwa ajili ya waja wa Mungu walio wengi zaidi ya wale aliowaacha kanisani. Biblia takatifu inasema "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO" maana hatuwezi kuhoji hekima ya Mungu.
Mkuu Chama, unamkumbuka yule kipofu aliyeponywa na Yesu? ......Therefore some of the Pharisees said, This Man is not from God, because He does not keep the Sabbath. Others said, How can a man who is a sinner do such signs?And there was a division among them.
Yule kipofu aliwajibu Whether He is a sinner or not I do not know. One thing I know: that though I was blind, now I see.
Mambo mengine yanapotokea akili ya kibinadamu na pengine hata ya Dr Slaa mwenyewe haiwezi kuelewa.
Ukweli unauma lakini. Slaa alichokozwa na sita na ndo amemjibu. Sasa wewe kinachokuuma ni nini? Tumia elimu yako kujibu hoja. Slaa sio padri sasa hivi na alikwisha eleza namna alivyo ondoka kwenye upadri. Alifuata taratibu zoote za kanisa katoliki kuondoka katika upadri, sasa wewe kama ni mpumbafu ambaye hata akifundishwa haelewi basi pole.Hivi wewe Dr. Slaa unafahamu maana ya mnafiki? wewe ndie umekaa kinafiki zaidi iweje uyaseme leo? Kama ungekuwa mkweli ungeyatoa hadharani siku nyingi; habari ya Sitta na CCJ haina mshiko tena; umesahau unafiki wako? Kwa akili yako unafikiri ni nani atayekuamini zaidi ya wanachadema wenzako; hebu teuleze kati ya hayo mawili ulianza lipi ulianza kujivua upadri ukaingia kwenye zinaa au ulianza zinaa ukajitoa upadri, jiangalie kwenye kioo utajiona ni mnafiki wa kiasi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Ukweli unauma lakini. Slaa alichokozwa na sita na ndo amemjibu. Sasa wewe kinachokuuma ni nini? Tumia elimu yako kujibu hoja. Slaa sio padri sasa hivi na alikwisha eleza namna alivyo ondoka kwenye upadri. Alifuata taratibu zoote za kanisa katoliki kuondoka katika upadri, sasa wewe kama ni mpumbafu ambaye hata akifundishwa haelewi basi pole.
Akili inafanana na Gongolamboto
Mimi naamini Mungu alipenda kumtumia Dr Slaa kwa namna anavyomtumia sasa kwa manufaa ya watanzania wote na si wakatoliki peke yao ambao wangefaidi karama aliyomtunukia.
Naona ulikuwa ni mpango thabiti wa Mungu kumtoa katika huduma ya upadri. Si muhimu kwetu kujadili Mungu alitumia njia ipi kumtoa huko alikokuwa na kumleta huku aliko sasa, la muhimu kwetu ni kuwa huku alikomleta karama aliyotunukiwa inatumika kwa ajili ya waja wa Mungu walio wengi zaidi ya wale aliowaacha kanisani. Biblia takatifu inasema "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO" maana hatuwezi kuhoji hekima ya Mungu.
Mkuu Chama, unamkumbuka yule kipofu aliyeponywa na Yesu? ......Therefore some of the Pharisees said, "This Man is not from God, because He does not keep the Sabbath." Others said, "How can a man who is a sinner do such signs?"And there was a division among them.
Yule kipofu aliwajibu "Whether He is a sinner or not I do not know. One thing I know: that though I was blind, now I see."
Mambo mengine yanapotokea akili ya kibinadamu na pengine hata ya Dr Slaa mwenyewe haiwezi kuelewa.
Mkuu Chintu;
Utatufanya tukufuru bure mbele ya Mungu; ikiwa Slaa ni chaguo la Mungu basi utawafanya watu wengi sana wahoji hekima za Mungu ndio sababu nakuambia usimchanganye Mungu kabisa na kahaba huyu; labda kama Mungu wenu ni kuwachonga kama wa kihindi; huyu aliyekuwa akiwalamba wanakwaya na wanamaombi ndani ya nyumba ya Bwana; misalaba kila kona hakumuogopa Mungu; kweli wewe unataka kuanimbia katika mamilioni ya watanzania awe huyu mtu mchafu mzinifu mkubwa kama Slaa; hivi kabla ya kuandika huu utumbo akilia yako ilikuwa 100% ? Hayo madude mnayobwia angalieni sana yatawatia uchizi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Ukweli unauma lakini. Slaa alichokozwa na sita na ndo amemjibu. Sasa wewe kinachokuuma ni nini? Tumia elimu yako kujibu hoja. Slaa sio padri sasa hivi na alikwisha eleza namna alivyo ondoka kwenye upadri. Alifuata taratibu zoote za kanisa katoliki kuondoka katika upadri, sasa wewe kama ni mpumbafu ambaye hata akifundishwa haelewi basi pole.
Unaweza kuwa mzinzi lakin ukawa na uchungu na taifa lako kwa hyo swala la zinaa na utaifa ni vitu viwili tofauti na akuna mtu ambaye ependi zinaa, jipange tena ulete hoja yako vizuri