Dkt. Slaa: Siko tayari kutumika kupeleka mafisadi Ikulu (Mahojiano na Raia Mwema)

Lowassa hajaleta faida yeyote katika chama chetu, naomba viongozi wagu wa CHADEMA mnisikilize mimi wanachama wenu mtiifu. Fanyieni kazi ushauri huu jamani.
Unaumwa ubashite,chama kikuu cha upinzani tunawabunge wangapi sasa hiv,majiji mangapi,halmashauri ngapi,viva lowasa,wew ndo jembe la nchi hii,watumishi na wananchi wengi mtaani wanasema bora lowasa
 
Haya mahojiano yatasomwa hadi na vitukuu ....hata kama hatutakupa heshima unayostahili sasa Dr Slaa lakini vipo vizazi vitatambua ....
 
"HERI LIPUMBA YEYE MGAO WAKE ALINUNULIA GHOROFA,KULIKO SLAA AMBAYE YEYE ALIENDA KUSTAREHE HUKO"
Mtu mpuuzi ni mpuuzi tu,mtuhumiwa Alisha sema endapo unamtuhumu na unaushahidi na vielelezo "GO TO COURT" WHY THIS BALAH BLAH MAN TALKING RUBISH EVERY DAY MIGHT BE A DUMB"
*NINGEFURAHI ENDAPO ANGEKUJA NA HOJA YA "I HAVE UFISADI WITNESS N NOW I HAVE TO GO TO THE COURT"
 
Slaa ulishindwa kujipeleka Ikulu Leo Kwa uwezo gani umpeleke MTU Ikulu? Huna jipya msaliti mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom