Hapa tunajadili Rais na hatma ya Tanzania, Rais anatakiwa ajadiliwe kwa mapana na marefu bila kujali itikadi zozote zile.!
chief, let's give you benefit of the doubt kwamba genuinely hutaki fisadi aingie ikulu.
kwa hali ya sasa kuelekea October, unataka nani aende ikulu badala ya Lowasa.....Magufuli na CCM yake??
Kumjadili Slaa ni kupoteza muda. Mtu mwenyewe muda huu anabembea kwenye kifua cha Mshumbusi huko mamtoni. Eti ndo alitaka kuwa Rais wenu. Ikulu ingekuwa mali ya wahaya.
Nipe mfano wa logic iliyopwaya, nyie vijana kula kulala mnashida sanaeti mkuu wewe ni doctor ule wa kusomea miaka7,au ni ule wa mitishamba?......
maana naona logic zako kama zinapwaya sana mkuu wangu....
Tukiweka ushabiki pembeni.Lowassa hana sifa ya kua raisi wa nchi hii.Hata kama tukisema kua dr.slaa amenunuliwa au ana chuki binafsi na lowassa.lakini anaongea kwa facts na mifano hai.kwa hoja za dr.slaa ni wazi kabisa lowassa ni chui aliejivalia ngozi ya kondoo.lowassa ni mchafu mwenye kuelewa na aelewe.
Dr.Slaa atachuja ila hoja zake zitasimama milele.!
Dr. Slaa ana HOJA nzito, sio kama "udaku" wa askofu Gwajima. Hizi hoja zinahusu moja kwa moja maslahi ya taifa letu tunaloliweka rehani kwenye mikono ya mafida kwa kivuli cha UKAWA.
Naiona chadema ya dr na mboweMimi ni mwanachama mtiifu wa chadema. Nimekaa na kutafakari kwamba 2015 tulikukosea kwa kung'ang'ania wagombea ambao hawakustahili badala ya wewe..
NAOMBA urudi katika chama ili uongeze nguvu ili tuweze kukiondoa madarakani CCM.
Nguvu yako bado inahitajika kwa kiasi kikubwa sana kwa upinzani Tanzania.
Ni hayo tu.
c.c. BAVICHA
BAWACHA
Poleni sana. Mmeleta mamluki wa ruzuku CUF, mkajaza makapi EALA sasa mwaiota CDM.Mimi ni mwanachama mtiifu wa chadema. Nimekaa na kutafakari kwamba 2015 tulikukosea kwa kung'ang'ania wagombea ambao hawakustahili badala ya wewe..
NAOMBA urudi katika chama ili uongeze nguvu ili tuweze kukiondoa madarakani CCM.
Nguvu yako bado inahitajika kwa kiasi kikubwa sana kwa upinzani Tanzania.
Ni hayo tu.
c.c. BAVICHA
BAWACHA
Naiona chadema ya dr na mbowe
Kama ilivo cuf ya lipumba na seif