fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Bado tunaamini,safari ya Dkt. Slaa ktk kuikomboa nchi hii inawezekana na kwa hulka na misimamo yake katika kusimama na ukweli vinaishi mioyoni mwa watanzania.
Dr.Slaa Huyu Huyu BADO ni;
Mchukia siasa maslahi
Mchukia na mkemea ufisadi kweli kweli
Anayependa haki
Mtu wa fact
Asiyenunulika kirahisi
Mpinzani halisi wa maovu ya kiserikali asiyebadilika
Si mroho wa madaraka
Mwenye ushawishi KWA kujenga hoja zenye mashiko
Siyo muumini wa siasa janja janja(Siasa tumbo leo useme fulani fisadi na kesho umpokee)
BADO watanzania wanaamini ktk siasa zisizo na porojo zenye malengo wa kweli ktk usimamiz wa maslahi ya nchi na si za maigizo kama kina zito na mbowe.
Vijana wengi BADO tunamuamini na kuendelea kujifunza kutoka kwake,sisi tunaamini ktk mapambano ya ufisadi na kuondoa siasa za maigizo nchi hii.
Huyu Mzee ni hazina pekee iliyobaki nchi hii,walau yupo kutanabaisha ukweli,na ndugu zetu CCM na CHADEMA ambao bado wanafikra za kichamachama,watapata tabu sana.
Dr.Slaa Huyu Huyu BADO ni;
Mchukia siasa maslahi
Mchukia na mkemea ufisadi kweli kweli
Anayependa haki
Mtu wa fact
Asiyenunulika kirahisi
Mpinzani halisi wa maovu ya kiserikali asiyebadilika
Si mroho wa madaraka
Mwenye ushawishi KWA kujenga hoja zenye mashiko
Siyo muumini wa siasa janja janja(Siasa tumbo leo useme fulani fisadi na kesho umpokee)
BADO watanzania wanaamini ktk siasa zisizo na porojo zenye malengo wa kweli ktk usimamiz wa maslahi ya nchi na si za maigizo kama kina zito na mbowe.
Vijana wengi BADO tunamuamini na kuendelea kujifunza kutoka kwake,sisi tunaamini ktk mapambano ya ufisadi na kuondoa siasa za maigizo nchi hii.
Huyu Mzee ni hazina pekee iliyobaki nchi hii,walau yupo kutanabaisha ukweli,na ndugu zetu CCM na CHADEMA ambao bado wanafikra za kichamachama,watapata tabu sana.