Dkt. Slaa na mahaba yake kwa Wageni Dhidi ya Watanzania

Sheba

JF-Expert Member
May 14, 2009
211
97
Akiwa Washington DC, Dkt. Slaa amefanya mahojiano na blog ya wavuti na kuituhumu Serikali dhidi ya kesi ya Bw. Sohoba anayedai kudhulumiwa na serikali mali zake. Mahojiano hayo yanapatikana katika link hii:

Majibu ya Dk Slaa kwa baadhi ya maswali yenu - wavuti.com


--



Inashangaza sana umakini wa Dkt. Slaa. Anashangaza sana. Slaa anadiriki kutamka maneno ya kumtetea Sohoba, lakini hazungumzii kosa alilolifanya Bw. Sohoba hadi kuhukumiwa kufa nchini. Nina hakika, Dkt. Slaa anamtetea Sohoba kwa kuwa makosa ya Bw. Sohoba yanafanana na makosa na mienendo ya Dkt. Slaa.




Bw. Sohoba alikuja nchini akijiita mwekezaji. Akanunua shamba na kujishughulisha na kilimo. Bw. Sohoba alipata matatizo na kushitakiwa baada ya kuua. Bw. Sohoba alikuwa akitembea na mke wa shamba boy wake. Siku ya tukio, mwenye mume akamkuta Bw. Sohoba akizini na mkewe. Katika kumkurupusha, na katika purukushani hiyo, Bw. Sohoba akamuua mume wa mw amke huyo. Akashitakiwa na akaonekana na hatia na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Katika kesi yake, alikuwa na mawakili waliomtetea ambao ndio aliwakabidhi mali zake.
Kama kuna kosa ambalo Serikali ya Awamu ya Pili ilifanya ni kuruhusu Sohoba aondoke nchini. Serikali yake ya Trinidad and Tobago ilimuombea msamaha. Akasamehewa na Rais Mwinyi kwa sharti kuwa aondoke nchini na asiruhusiwe kurejea tena (persona non grata). Akaondoka na kupotea na kuibuka wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu akiwa na madai ya kurejeshewa mali zake. Ajabu, madai yake hayo anaidai serikali ambayo hakuikabidhi mali yake. Tangu lini Serikali ikasimamia mali za wafungwa?
Bw. Sohoba akaendelea kuoita huku na huko akitukana nchi yetu na mahakama kuwa zimejaa rushwa na kumdhulumu shamba lake. Eti, serikali imeruhusu watu aliowaachia mali zake kuziuza na kumdhulumu. Serikali haina jukumu hilo na haijawahi kuwa na jukumu hilo. Mali za mhalifu hubaki mikononi mwa jamaa zake au wanasheria wake. Serikali hiyo hiyo anayoitukana ikampa fursa nyingine ya kumuondolea kwa muda kikwazo cha kuingia nchini ili aje na wanasheria wake ashughulikie mali yake lakini ameshindwa kuitumia fursa hiyo. Ni kipi zaidi kiumbe huyu atendewe na serikali? Tena Serikali ambayo imepoteza raia wake kutokana na kitendo cha kinyama alichofanya Bw. Sohoba kwa mtanzania?
Inanishangaza sana kiongozi aliyewahi kugombea Urais anajihusisha na kumtetea Bw. Sohoba na kuilaumu Serikali. Ningemuelewa angekuwa aidha anamshawishi Bw. Sohoba awe anatuma fedha nchini kusaidia familia yake ambayo inaishi kwa shida, amshawishi Bw. Sohoba kuangalia familia ya Mtanzania aliyemuua kinyama kwa kutetea haki yake ya kindoa, na kwa mahaba aliyokuwa nayo kwa Sohoba, angemshawishi basi aje Tanzania kufuatilia hizo mali zake kwa kufungua kesi mahakamani dhidi ya waliomdhulumu.
Ninachoweza kuelewa ni kuwa, Dkt. Slaa anamtetea Bw. Sohoba kwa kuwa makosa aliyofanya yanafanana na yale anayoyafanya yeye ya kuvunja ndoa za watu, kuasi kiapo cha dinina vitendi vya namna hiyo. Huyu ndio kiongozi wa kitaifa!
 
Akiwa Washington DC, Dkt. Slaa amefanya mahojiano na blog ya wavuti na kuituhumu Serikali dhidi ya kesi ya Bw. Sohoba anayedai kudhulumiwa na serikali mali zake. Mahojiano hayo yanapatikana katika link hii:

Majibu ya Dk Slaa kwa baadhi ya maswali yenu - wavuti.com


--



Inashangaza sana umakini wa Dkt. Slaa. Anashangaza sana. Slaa anadiriki kutamka maneno ya kumtetea Sohoba, lakini hazungumzii kosa alilolifanya Bw. Sohoba hadi kuhukumiwa kufa nchini. Nina hakika, Dkt. Slaa anamtetea Sohoba kwa kuwa makosa ya Bw. Sohoba yanafanana na makosa na mienendo ya Dkt. Slaa.




Bw. Sohoba alikuja nchini akijiita mwekezaji. Akanunua shamba na kujishughulisha na kilimo. Bw. Sohoba alipata matatizo na kushitakiwa baada ya kuua. Bw. Sohoba alikuwa akitembea na mke wa shamba boy wake. Siku ya tukio, mwenye mume akamkuta Bw. Sohoba akizini na mkewe. Katika kumkurupusha, na katika purukushani hiyo, Bw. Sohoba akamuua mume wa mw amke huyo. Akashitakiwa na akaonekana na hatia na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Katika kesi yake, alikuwa na mawakili waliomtetea ambao ndio aliwakabidhi mali zake.
Kama kuna kosa ambalo Serikali ya Awamu ya Pili ilifanya ni kuruhusu Sohoba aondoke nchini. Serikali yake ya Trinidad and Tobago ilimuombea msamaha. Akasamehewa na Rais Mwinyi kwa sharti kuwa aondoke nchini na asiruhusiwe kurejea tena (persona non grata). Akaondoka na kupotea na kuibuka wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu akiwa na madai ya kurejeshewa mali zake. Ajabu, madai yake hayo anaidai serikali ambayo hakuikabidhi mali yake. Tangu lini Serikali ikasimamia mali za wafungwa?
Bw. Sohoba akaendelea kuoita huku na huko akitukana nchi yetu na mahakama kuwa zimejaa rushwa na kumdhulumu shamba lake. Eti, serikali imeruhusu watu aliowaachia mali zake kuziuza na kumdhulumu. Serikali haina jukumu hilo na haijawahi kuwa na jukumu hilo. Mali za mhalifu hubaki mikononi mwa jamaa zake au wanasheria wake. Serikali hiyo hiyo anayoitukana ikampa fursa nyingine ya kumuondolea kwa muda kikwazo cha kuingia nchini ili aje na wanasheria wake ashughulikie mali yake lakini ameshindwa kuitumia fursa hiyo. Ni kipi zaidi kiumbe huyu atendewe na serikali? Tena Serikali ambayo imepoteza raia wake kutokana na kitendo cha kinyama alichofanya Bw. Sohoba kwa mtanzania?
Inanishangaza sana kiongozi aliyewahi kugombea Urais anajihusisha na kumtetea Bw. Sohoba na kuilaumu Serikali. Ningemuelewa angekuwa aidha anamshawishi Bw. Sohoba awe anatuma fedha nchini kusaidia familia yake ambayo inaishi kwa shida, amshawishi Bw. Sohoba kuangalia familia ya Mtanzania aliyemuua kinyama kwa kutetea haki yake ya kindoa, na kwa mahaba aliyokuwa nayo kwa Sohoba, angemshawishi basi aje Tanzania kufuatilia hizo mali zake kwa kufungua kesi mahakamani dhidi ya waliomdhulumu.
Ninachoweza kuelewa ni kuwa, Dkt. Slaa anamtetea Bw. Sohoba kwa kuwa makosa aliyofanya yanafanana na yale anayoyafanya yeye ya kuvunja ndoa za watu, kuasi kiapo cha dinina vitendi vya namna hiyo. Huyu ndio kiongozi wa kitaifa!

Wewe ni mjinga na mzandiki .Slaa updare aliacha kwa kufuata taratibu na hakuasi .Madai yako ya wake za watu mkeo kaliwa na Slaa au huyo mwingine ? Mbona wachina wako na wanauwamiza watazania hadi mtwara what are you saying about that ? Wazungungu kule Nyamongo na mauaji vipi ?
 
Ikiwa tu kujibu hoja ni mahaba basi andaa uzi mwingine 'Dr Kikwete na Mapenzi yake kwa wageni dhidi ya Watanzania' Yes..ametoa rasilimali za taifa kuonesha 'mapenzi' aliyonayo kwa wageni! Ukishindwa kuanzisha huu uzi uache chokochoko zisizo na msingi! Badala ya kukaa chini kuombea walau majirani zako wapate amani ili nawe ulale usingizi unaleta propaganda za kipuuzi!
 
Sheba,

..huu mtego wako kwa Slaa utawanasa na wana CCM wenzako.

..sasa Mzee Mwinyi aliyetoa huo msamaha unamuweka ktk kundi gani?

..viongozi wa awamu ya 3 waliomruhusu kuingia Tanzania nao vipi?
 
lete ushahidi mjomba , maneno matupu yanaitwa acapela !

Ushahidi unaotaka wewe ni upi? Yeye na wewe ndio mje na ushahidi ni kwa kiasi gani Serikali ilimdhulumu Bw. Sohoba. Rekodi za Mahakama kama alivyothibitisha Bw. Slaa mwenyewe ni kuwa Bw Sohoba alihukumiwa kunyongwa. Hukumu ya kunyongwa na kwa makosa ya mauaji jambo ambalo Slaa amelitaja pia. Sasa atuambie, kwa nini Sohoba aliua na alimuua nani?
 
Sheba,

..huu mtego wako kwa Slaa utawanasa na wana CCM wenzako.

..sasa Mzee Mwinyi aliyetoa huo msamaha unamuweka ktk kundi gani?

..viongozi wa awamu ya 3 waliomruhusu kuingia Tanzania nao vipi?

Huhitaji kuwa mwana CCM, CUF au mtakatifu CHADEMA katika hili. Hoja hapa ni kiongozi wa wananchi, kutaka kutoa machozi kulilia haki ya Bw. Sohoba kupata mali zake alizodhulumiwa na watu wake badala ya kulilia haki ya mwanajimbo lake aliyeuawa! Huyu Sohoba analilia mali lakini uhai wake anao, mtanzania aliyelala kaburini kapoteza uhai na familia yake inakosa msaada na nguvu kazi yake. Hapa mtakatifu Slaa amechemsha.
 
Wewe ni mjinga na mzandiki .Slaa updare aliacha kwa kufuata taratibu na hakuasi .Madai yako ya wake za watu mkeo kaliwa na Slaa au huyo mwingine ? Mbona wachina wako na wanauwamiza watazania hadi mtwara what are you saying about that ? Wazungungu kule Nyamongo na mauaji vipi ?

Asante sana nakushukuru kwa mchango wako uliojaa werevu.
 
Huhitaji kuwa mwana CCM, CUF au mtakatifu CHADEMA katika hili. Hoja hapa ni kiongozi wa wananchi, kutaka kutoa machozi kulilia haki ya Bw. Sohoba kupata mali zake alizodhulumiwa na watu wake badala ya kulilia haki ya mwanajimbo lake aliyeuawa! Huyu Sohoba analilia mali lakini uhai wake anao, mtanzania aliyelala kaburini kapoteza uhai na familia yake inakosa msaada na nguvu kazi yake. Hapa mtakatifu Slaa amechemsha.

..mwenye mahaba na wageni ni Mzee Mwinyi ambaye alitumia madaraka yake vibaya kumsamehe "bure" huyo muuaji.

..vilevile mali za huyo muuaji zimekwenda wapi? kwanini serikali haikuzitaifisha na kuwapa kifuta machozi wafiwa?
 
Nimekuelewa NAPE, Ila naomba uendelee kulala maana hii ndoto yako bado haijaisha
WACHA TUENDELEE NA MAZOEZI YA VIUNGO
:msela::msela::msela::msela::msela:

--



Inashangaza sana umakini wa Dkt. Slaa. Anashangaza sana. Slaa anadiriki kutamka maneno ya kumtetea Sohoba, lakini hazungumzii kosa alilolifanya Bw. Sohoba hadi kuhukumiwa kufa nchini. Nina hakika, Dkt. Slaa anamtetea Sohoba kwa kuwa makosa ya Bw. Sohoba yanafanana na makosa na mienendo ya Dkt. Slaa.




Bw. Sohoba alikuja nchini akijiita mwekezaji. Akanunua shamba na kujishughulisha na kilimo. Bw. Sohoba alipata matatizo na kushitakiwa baada ya kuua. Bw. Sohoba alikuwa akitembea na mke wa shamba boy wake. Siku ya tukio, mwenye mume akamkuta Bw. Sohoba akizini na mkewe. Katika kumkurupusha, na katika purukushani hiyo, Bw. Sohoba akamuua mume wa mw amke huyo. Akashitakiwa na akaonekana na hatia na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Katika kesi yake, alikuwa na mawakili waliomtetea ambao ndio aliwakabidhi mali zake.
Kama kuna kosa ambalo Serikali ya Awamu ya Pili ilifanya ni kuruhusu Sohoba aondoke nchini. Serikali yake ya Trinidad and Tobago ilimuombea msamaha. Akasamehewa na Rais Mwinyi kwa sharti kuwa aondoke nchini na asiruhusiwe kurejea tena (persona non grata). Akaondoka na kupotea na kuibuka wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu akiwa na madai ya kurejeshewa mali zake. Ajabu, madai yake hayo anaidai serikali ambayo hakuikabidhi mali yake. Tangu lini Serikali ikasimamia mali za wafungwa?
Bw. Sohoba akaendelea kuoita huku na huko akitukana nchi yetu na mahakama kuwa zimejaa rushwa na kumdhulumu shamba lake. Eti, serikali imeruhusu watu aliowaachia mali zake kuziuza na kumdhulumu. Serikali haina jukumu hilo na haijawahi kuwa na jukumu hilo. Mali za mhalifu hubaki mikononi mwa jamaa zake au wanasheria wake. Serikali hiyo hiyo anayoitukana ikampa fursa nyingine ya kumuondolea kwa muda kikwazo cha kuingia nchini ili aje na wanasheria wake ashughulikie mali yake lakini ameshindwa kuitumia fursa hiyo. Ni kipi zaidi kiumbe huyu atendewe na serikali? Tena Serikali ambayo imepoteza raia wake kutokana na kitendo cha kinyama alichofanya Bw. Sohoba kwa mtanzania?
Inanishangaza sana kiongozi aliyewahi kugombea Urais anajihusisha na kumtetea Bw. Sohoba na kuilaumu Serikali. Ningemuelewa angekuwa aidha anamshawishi Bw. Sohoba awe anatuma fedha nchini kusaidia familia yake ambayo inaishi kwa shida, amshawishi Bw. Sohoba kuangalia familia ya Mtanzania aliyemuua kinyama kwa kutetea haki yake ya kindoa, na kwa mahaba aliyokuwa nayo kwa Sohoba, angemshawishi basi aje Tanzania kufuatilia hizo mali zake kwa kufungua kesi mahakamani dhidi ya waliomdhulumu.
Ninachoweza kuelewa ni kuwa, Dkt. Slaa anamtetea Bw. Sohoba kwa kuwa makosa aliyofanya yanafanana na yale anayoyafanya yeye ya kuvunja ndoa za watu, kuasi kiapo cha dinina vitendi vya namna hiyo. Huyu ndio kiongozi wa kitaifa![/QUOTE]
 
Ushahidi unaotaka wewe ni upi? Yeye na wewe ndio mje na ushahidi ni kwa kiasi gani Serikali ilimdhulumu Bw. Sohoba. Rekodi za Mahakama kama alivyothibitisha Bw. Slaa mwenyewe ni kuwa Bw Sohoba alihukumiwa kunyongwa. Hukumu ya kunyongwa na kwa makosa ya mauaji jambo ambalo Slaa amelitaja pia. Sasa atuambie, kwa nini Sohoba aliua na alimuua nani?

Aisee, si bora huyo ni mgeni tutamwona kama tunavyowaona alshabaab, je raia tena kiongozi anapoamuru au anapobariki kuuawa kwa raia mwenzake! Tumeshuhudia watu wakipandishwa vyeo kwa kusimamia vizuri mauaji ya raia, tumeona viongozi wakipigia mstari maneno kuwa watu wapigwe tu na polisi, hiyo haikushangazi sheba?
 
Ushahidi unaotaka wewe ni upi? Yeye na wewe ndio mje na ushahidi ni kwa kiasi gani Serikali ilimdhulumu Bw. Sohoba. Rekodi za Mahakama kama alivyothibitisha Bw. Slaa mwenyewe ni kuwa Bw Sohoba alihukumiwa kunyongwa. Hukumu ya kunyongwa na kwa makosa ya mauaji jambo ambalo Slaa amelitaja pia. Sasa atuambie, kwa nini Sohoba aliua na alimuua nani?

Umesahau hapo juu ulisema makosa ya slaa yanafanana na ya Sohoba? Tupe majibu ya maswali uliyoyauliza hapa, ukishindwa wewe ni m.s.h.e.n.z.i tu unatokwa povu la uzandiki tena wa kiCCM
 
Wewe ni mjinga na mzandiki
.Slaa updare aliacha kwa kufuata taratibu na hakuasi .Madai yako ya
wake za watu mkeo kaliwa na Slaa au huyo mwingine ? Mbona wachina wako
na wanauwamiza watazania hadi mtwara what are you saying about that ?
Wazungungu kule Nyamongo na mauaji vipi ?

nakushangaa wewe punguani kutetea uharo wa huyo Dr slaa. yaani huoni dhulma anazofanya dhidi ya wake za watu? ila kumbuka malipo ya dhambi ni mauti
 
Sheba,

..huu mtego wako kwa Slaa utawanasa na wana CCM wenzako.

..sasa Mzee Mwinyi aliyetoa huo msamaha unamuweka ktk kundi gani?

..viongozi wa awamu ya 3 waliomruhusu kuingia Tanzania nao vipi?

mwehu ni mwehu tu aijalishi ni nani
 
Umesahau hapo juu ulisema
makosa ya slaa yanafanana na ya Sohoba? Tupe majibu ya maswali
uliyoyauliza hapa, ukishindwa wewe ni m.s.h.e.n.z.i tu unatokwa povu la
uzandiki tena wa kiCCM

waache wazinifu wateteane kwa maana siku ya hukumu watakuwa uwanja mmoja wa hukumu
 
Hii ni moja ya zile post za kuattack mtu personally ukitarajia unaikoa ccm.
Mtahangaika lakini hamtashinda kwa personal attacks za namna hii. Gas ya mtwra ni dr.slaa kawapa wazungu?? Dhahabu katika migodi ni dr.slaa?? Mbuga za wanayama ambazo waarabu wanhamisha wanyama hai ikiwamo wanaccm kushiriki ni dr.slaa. Leteni hoja sio personal atack kwa dr. Slaa.
 
maccm wangne wakisoma thread kama hzi nahsi huwa wanatafuta pakujificha....ni ujinga sana maccm kuendelea kudhani kuwa watanzania hawana fikra sahihi.....ndio maana nawaita hawajamaa akili za kubemendwa.
 
Back
Top Bottom