Dkt. Slaa kusimamisha nchi trh 3/12 katika mahojiano maalum na TBC

Unabisha kuwa Mbowe hakumuuzia chama Lowasa?
Unabisha kuwa katiba ya CHADEMA haikuvunjwa kwenye mchakato wakumkabidhi Lowasa chama?
Unabisha kuwa CHADEMA walikula matapishi yao kwa kumteua waliyemwita fisadi Lowasa kuwa mgombea?
Kumwita mtu fisadi ni Jambo moja na kuwa fisadi ni Jambo jingine. Kama lowassa angeuziwa chama na mbowe asingehama au ingekuwa imeshawekwa wazi kabisa Hadi process. Mbowe amefungiwa account, amevunjiwa bilcanas, gazeti lake limefungiwa, shamba lake kuharibiwa na kufunguliwa kesi ya ugaidi. Kama yote hayo amefanyiwa mtu mmoja wanashindwaje kutrace kwamba huyu alilipwa kiasi hiki Cha fedha na lowassa wakaweka hadharani. Sababu ya lowassa kuja CHADEMA ilishaelezwa ni baada ya Dr Slaa, Dr Kahangwa na Prof. LIPUMBA Kila mmoja kugoma kumuachia mwingine urais wakawa wanabishana. Baada ya mapendekezo Dr Slaa akapitishwa Sasa siku ya kumtangaza akaanza masharti ya kutaka tukio liwe kubwa hivyo wakahairisha Sasa happy ndipo Lowassa alipoingia.
 
Hakuna anayeipenda CCM, hivyo watu walimpenda kikwete sio CCM. Halafu unasema kikwete alishuka umaarufu?. Kikwete aliruhusu maoni, maandamano na mikutano na bunge live kwa hivyo maovu yaliwekwa hadharani na vyama vilipata wasaa wakujijenga ndio maana kura zilipungua mpaka asilimia sittini.

Magufuri alipiga Pini bunge live, mikutano ya siasa, hata mikutano ya ndani kwa miaka mitano na bado aliinfluence Tume. Hivyo Kama angeruhusu vyama viwe huru, maoni yatolewe , bunge liwe live na mauchafu yote yawekwe wazi, hata asimia arobaini asingefikisha.
😃😃😃😃😃😃
Baghosha.
 
Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.

Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.

Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.

Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.

Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Hahahahaha Nchi itasimama, ila bora isimame maana imekaa muda mrefu
 
toka ametoka kwenye siasa za upinzani amefanya nini?

Mamba anakua na nguvu akiwa kwenye maji mtoni ila akitoka akakaa nchi kavu anakua sawa na mjusi tu
 
Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.

Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.

Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.

Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.

Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Yaani niliposoma kichwa Cha habari,nikafikili atahojiwa na mtu mzito,mwandishi aliyebobea,kumbe huyu presenta, Gangana!!huyo kijana hana hata miaka 37!kasoma wapi,kafanya kazi wapi!ana uzoefu gani?
Hana ubobezi wowote,hamfikiii hata Mirad ayo kwa robo!!?
TBC nayo Imeoza kabisa..
 
Kumwita mtu fisadi ni Jambo moja na kuwa fisadi ni Jambo jingine. Kama lowassa angeuziwa chama na mbowe asingehama au ingekuwa imeshawekwa wazi kabisa Hadi process. Mbowe amefungiwa account, amevunjiwa bilcanas, gazeti lake limefungiwa, shamba lake kuharibiwa na kufunguliwa kesi ya ugaidi. Kama yote hayo amefanyiwa mtu mmoja wanashindwaje kutrace kwamba huyu alilipwa kiasi hiki Cha fedha na lowassa wakaweka hadharani. Sababu ya lowassa kuja CHADEMA ilishaelezwa ni baada ya Dr Slaa, Dr Kahangwa na Prof. LIPUMBA Kila mmoja kugoma kumuachia mwingine urais wakawa wanabishana. Baada ya mapendekezo Dr Slaa akapitishwa Sasa siku ya kumtangaza akaanza masharti ya kutaka tukio liwe kubwa hivyo wakahairisha Sasa happy ndipo Lowassa alipoingia.
Umeandika maelezo marefu yaliyojaa uongo mwingi. Kwenye mchakato ule wa kumleta Lowasa mambo yote yapo wazi.
Je katiba ya chama haikuvunjwa?
Ni kina nani waliotembea TZ nzima kutangaza km Lowasa ni fisadi na raia tukaamini?
 
toka ametoka kwenye siasa za upinzani amefanya nini?

Mamba anakua na nguvu akiwa kwenye maji mtoni ila akitoka akakaa nchi kavu anakua sawa na mjusi tu
Toka ametoka kwenye siasa za upinzani waliobaki wamefanya nini?
 
Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.

Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.

Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.

Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.

Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Unaumwa weww. Tangu slaa aondoke chadema inachanja mbuga na ndo maana ccm inaiogopa Kama ukoma hata mikutano i azuiwa
 
Ukitaka kujua ukweli; Waache wananchi wapige kura, waache wananchi ndio wachague.
Mengine ni porojo zenu na staili za kuogopa na kukwepa Katiba mpya/bora.
Wananchi walipiga kura na wakachagua kwa kishindo. Porojo za kuchapisha kura feki, kuinyesha kiupandeupande kwa waandishi wa habari, kusingizia wameziokota na kisha kukimbia nazo tupa kule!

Labda kwa faida yako na mateka wenzako wa propaganda za CHADEMA, wananchi wakiamua hakuna cha tume, serikali wala polisi kuwazuia. Mlishaelezwa toka mwanzo kuna tofauti ya “keypad worrior” na mpiga kura.
 
Wananchi walipiga kura na wakachagua kwa kishindo. Porojo za kuchapisha kura feki, kuinyesha kiupandeupande kwa waandishi wa habari, kusingizia wameziokota na kisha kukimbia nazo tupa kule!

Labda kwa faida yako na mateka wenzako wa propaganda za CHADEMA, wananchi wakiamua hakuna cha tume, serikali wala polisi kuwazuia. Mlishaelezwa toka mwanzo kuna tofauti ya “keypad worrior” na mpiga kura.
Let the people vote, let the people choose. Yawezekana tu pale palipo na tumehuru, palipo na katiba mpya/bora.
Mengine ni hadithi za karume kenge ili watoto wapate usingizi mwema.
 
Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.

Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.

Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.

Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.

Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Yaani TBC ...
Hats wakiandaa Mahojiano na Mungu yatakuwa hovyo TU!
Eti Slaa asimamishe nchi....
 
Nani anampenda Magufuri. Rais aliyependwa ni nyerere na kikwete aliyevunja rekodi ya kura mwaka 2005. Sio Magufuri aliyepata asilimia 55 ya kura . Ndio maana alipoingia madarakani alikuwa ni mtu wa jazba na hasira maana alijuw a hapendwi.

Angekuwa anapendwa asingepiga marufuku mikutano ya siasa na kulazimisha kwa nguvu ashinde uchaguzi mwaka Jana mbele ya Lissu. Huyo Bora ameondoka alikuwa mtu wa ajabu ambaye itachukua miaka mingi kuondoa roho mbaya aliyoipandikiza.
Mungu aiweke roho ya marehemu peponi na awape nguvu waliobaki wayaendeleze yote yale mema kwa nia njema ya nchi wayakamilishe tule matunda!
 
Back
Top Bottom