Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,365
Falsafa za utekaji,kuuana,ukabila,ukanda,udini na kubambikia watu kesi za kuhujumu Uchumi?Hamtaweza kuzima falsafa ya magufuli kwa mere accusations.
Hadi mwisho wa dahari
Falsafa za utekaji,kuuana,ukabila,ukanda,udini na kubambikia watu kesi za kuhujumu Uchumi?Hamtaweza kuzima falsafa ya magufuli kwa mere accusations.
Hadi mwisho wa dahari
Huoni kuwa kwasasa kashakuwa udongo?
Huyu ni mwanasisa bora huwezi choka kumsikiliza. ni mwanasisa gani wakumlinganisha nae?Daaah! Sijui kwa nini huwa napenda sana kumsikiliza Dr. Slaa akizungumza kama ilivyokuwa kwa JPM sikuwahi kosa hotuba zake.
Ndio yeye huyo Mutu ya VaticanHuyu Costa Mahalu, hivi ndiyo yule aliyewahi kuwa Balozi wetu nchini Italy kwenye awamu ya 3, na akaja kushtakiwa na awamu ya 4 kwamba alitumia pesa vibaya? Kabla ya kutetewa na BWM kortini?
Ndiye huyu?
Hata Pole Pole na Bashiru wamemkataaAngalau hao wanarudisha ihsani... wengine washapoteana wanaona hadi shida kutamka Magufuli
Mahalu analipa fadhila kwa yote Jiwe aliyomtendea ikiwemo kumrudishia hadhi ya ubalozi
Kweli nguvu yote ile Jiwe leo anatetewa na watu dhalili kama akina Slaa na Shibuda?
Diallo hata kutamka neno Magufuli hataki kabisa.Wote hapo na Madokta na Maprofesa kasoro Shibuda!
Wangemuongeza Dr Anthony Diallo.
Mnateseka sana na shujaa Magufuli.Hili ni kongamano la kujadili mizimu ya jehanamu.
Ni kongamano haramu
Kwa hiyo M4C nayo ilikuwa na serikari yake? hadi kulinganisha utekelezaji wake?"Wakati wa uchaguzi mwaka 2015, tulisikia CCM ikitumia slogani ya Magufuli for Change huku Chadema ikitumia- Movement for Change, kongamano hili litaenda kutafakari utekelezaji kwa vitendo vya slogan hizo," amesema Profesa Mahalu
Ulitaka wawe ma poropesa hawa hawa wanaodai ng'ombe anakunya kg 25 kwa kutwa?Dharau kubwa sana. Wasomi watakaojadili falsafa ya Magufuli ni wasomi wa kiwango cha Musukuma. Bila shaka atakuwepo na Japipo na Kibajaji. Wasimsahau na msomi Kessy toka kule Mpanda. Siku hiyo wangemruhusu Sabaya naye atoe mada itakayoelezea namna alivyoitekeleza falsafa ya Magufuli kwa vitendo. Bila ya kumsahau Kingai na Mahita.
Hawa kenge wanajitoa ufahamu sana. Utasikia maiti kwenye viroba ukiwaambia wataje majina ya hizo maiti au wataje mtu wanaemjua aliyepotea wanatoa mimacho tu.Katafute kama ndugu yako alipotea basi itakua yke huyo nduguyo kisha katoe taarifa police
Mtakufa kwa wivu Magufuli ni jabali hatosahaulika huyo ni Mwamba wa AfrikaHasara ni kuja kusahaulika kabisa!! Kwa wananchi wengi, kutokana na matendo yake maovu kuwa mengi kuliko mazuri!!unaona kina Mandela , Nyerere, na wengine hawatasahaulika lakini .Na legacy wala haihitaji nguvu kuelezwa bali hujieleza yenyewe! Na kibaya zaidi kwa njinsi mama anayofanya mengi mazuri ya kuliponya taifa ndio kabisaa, jamaa anazidi kusahaulika!!
Tutaje ili iweje?Hawa kenge wanajitoa ufahamu sana. Utasikia maiti kwenye viroba ukiwaambia wataje majina ya hizo maiti au wataje mtu wanaemjua aliyepotea wanatoa mimacho tu.
Ina maana JF yote hakuna aliyepotelewa na ndg yake au jirani yaku atujuze humu?
Msukuma nae kawa profesa!Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli.
Kongamano hilo litakalofanyika Ijumaa Machi 25, mwaka huu katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya tafakuri ya miaka sita ya utekelezaji wa falsafa aliyoitumia hayati Magufuli wakati akiomba ridhaa ya kuiongoza nchi 2015.
Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake, Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Mwanza, Profesa Costa Mahalu ametaja wazungumzaji wengine katika kongamano hilo kuwa ni Mbunge Mstaafu wa Bariadi Mashariki, John Shibuda na Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma.
Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Mwanza.
Wengine ni wahadhiri na watafiti wabobezi wa Historia na Uchumi katika chuo hicho, Profesa Mihanjo Eginald na Dk Anne Gongwe.
"Wakati wa uchaguzi mwaka 2015, tulisikia CCM ikitumia slogani ya Magufuli for Change huku Chadema ikitumia- Movement for Change, kongamano hili litaenda kutafakari utekelezaji kwa vitendo vya slogan hizo," amesema Profesa Mahalu
Profesa Mahalu amewaomba wasomi, wanataaluma na watanzania kujitokeza kwa wingi katika kongamano hilo ili kutoa mchango wao wakati huu ambao nchi inafanya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha Hayati John Magufuli na mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bado bipolar disorder inamsumbua ujueNashauri Tundu Lissu ashiriki hata kama ni virtually. Hii itasaidia kuweka sawa mzania wa falsafa hiyo ya JPM
Hivi kuna maiti isiyo na jina?Tutaje ili iweje?
Anza na za ukoo wakoHivi kuna maiti isiyo na jina?