Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Kwani mbowe amekwambia kashindwa Hadi umtake mwana CCM awasaidie?Dr. Slaa njoo pambania katiba mpya.
Kwani mbowe amekwambia kashindwa Hadi umtake mwana CCM awasaidie?Dr. Slaa njoo pambania katiba mpya.
Amestaafu huyu acha kujitoa ufahamu.Matunda ya usaliti hudumu kwa muda mfupi sana
Hata mbowe alivyomchukua lowassa ulikuwa Ni usaliti.Usaliti ni usaliti tu
Itakuwaje Nini? Kwani hujui kuwa Ni mke wake?Sasa josephine mushumbushi itakuwaje?
Ina maana wewe hujui kwanini Dr Slaa alikimbia chadema?Yeye si ndo aliteta watafiti toka ulaya,
utafiti ulionyesha lowasa ndo presidential material,
yeye si ndo aliasisi mchakato wa kumleta lowasa chadema
Hii project ya lowasa kuja chadema dr slaa hachomoki
Umesikia kwa Nani wewe nyumbu?Josephine nasikia hataki tena maisha ya afrika
Ulitaka aitwe nani?Kumbe ukiwa ughaibuni unajiita Jossey 🤣
Samahani da jossey.Ulitaka aitwe nani?
Mwacheni mzee apumuzike. Mke na njaa vilimfanya asaliti mapambano. Atapata kakoti kengine ka kumsetili na baridi kutoka CCM.Huyu hata nyumba alisaidiwa kujenga na mbowe lakini akaja kumnanga.
Mwacheni mzee apumuzike. Mke na njaa vilimfanya asaliti mapambano. Atapata kakoti kengine ka
dada yako nani?Samahani da jossey.
Wait you will seeMwacheni mzee apumuzike. Mke na njaa vilimfanya asaliti mapambano. Atapata kakoti kengine ka kumsetili na baridi kutoka CCM.
Huyo alinunuliwa na serikali ya ccm ambao walimuwekea fedha kwenye akaunti yake huko Afrika Kusini akaenda akazichukua na baadaye kwenda zake Canada.Ina maana wewe hujui kwanini Dr Slaa alikimbia chadema?
Hapa si kwa kiwango cha dr.Ww hupendi papuchi sema ukweli wako!
Dogo! dr. Akiona mfereni anapagawa. mpaka papa na vatican wanajua alikuwa msalitiMijamaa hadi leo imeaminishwa eti Dr Slaa ndio msaliti! Wasaliti ni Chadema na hilo Mbowe analijua vizuri, nyumbu hamna mnalojua.
Mke halali wa mahimbo ila dr. Bana alikosea kuingilua ndoa ya kijana, ndo maana hii laana inamuandama mpaka leoMushumbusi yuko Marekani!
Katerelo siyo mchezoIla mwanaume ukiwa mtumwa wa papuchi hata usome na uwe mkali kiasi gani bado utakua useless, imagine Dr Slaa alikua analala nje kwenye gari kisa lile Kahaba!!