The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 804
- 1,643
Yupi huyo aliyekwishalala? Mimi nigugumie maumivu kwa kufa Magufuli? Umekosea kunisoma na kunielewa. Rudia tena kusoma andiko langu!Kama vile nakuona unavyogugumia kwa maumivu😂😂😂 Amesha lala mwenzako Mungu aliamua apumzike asije dhalilika
Mimi nilikuwa kinyume na Magufuli katika mengi. Nilikuwa kinyume na sera zake na aina na mtindo wa uongozi wake..
Na of course, I was very happy when he died. WHY?
Because that was only way to keep this country away from more disasters which might had been brought by Magufuli's dictatorship regime...!!