Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Wanajifanya wababe kumbe ni wapuuzi wakubwaYeye ni balozi yupo ulaya. Si aende makao yao makui watamsikiliza? Au?
Wanajifanya wababe kumbe ni wapuuzi wakubwaYeye ni balozi yupo ulaya. Si aende makao yao makui watamsikiliza? Au?
Hii nchi tunatawaliwa na watu wa ajbu sanaMbona Prof.Kabudi alisema,
Walikuwa wabunge 5 Tena wahuni walikuwa wanalopoka Bungeni,
Imekuwaje Tena wale wahuni wachache waiadhibu Nchi yetu?
Cc:
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.
Hivi unategemea Wachina waje kufanya utalii Tanzania?Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
... parachichi za Iringa, Njombe, na Moshi mtazila wenyewe daaadeki!Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Wachina unaowafikiria kuwa unaweza kufanya nao biashara, waliwekewa mbinyo kidogo tu na Marekani kwenye biashara, ukuaji wao uludondoka ghafla mpaka 2%, na hautegemewi kupanda tena kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
Ukiwejewa vikwazo na hayo mataifa makubwa, kila mmoja anaogopa kuwa karibu nawe. Unakuwa haramu, na haramu haiguswi.
... parachichi za Iringa, Njombe, na Moshi mtazila wenyewe daaadeki!
Hiyo clip inayotrend ni ya last year, siyo ya sasa, iko youtube pia.
Japo maudhui yake yako relevant mpaka sasa
Hata kufungwa biashara ya utumwa huko London mbunge mmoja alitoa hoja yenye mashiko.Mbona Prof.Kabudi alisema,
Walikuwa wabunge 5 Tena wahuni walikuwa wanalopoka Bungeni,
Imekuwaje Tena wale wahuni wachache waiadhibu Nchi yetu?
Cc:
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.
Pole mkuu mambo yatakuwa sawa
Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?
Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?
Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!
Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
Kila mtu anataka aonwe na mekoNinachofahamu ni kuwa kulikuwa na mapendekezo ya Kamati ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya nchi za nje kwa Bunge la Ulaya kuwa kutokana na uchafu uliofanywa kwenye uchaguzi mkuu wa 2020, na trend mbaya ya uongozi wa kidikteta, Tanzania:
1) Inyimwe misaada yote toka kwenye EU, na nchi wanachama washawishiwe kufanya hivyo hivyo
2) Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na biashara mpaka hapo itakapokuwa tayari kuwa na utawala uliostaarabika unaoheshimu misingi ya demokrasia, haki na uhuru wa watu na vyombo vya habari.
Yale yalikuwa ni mapendekezo ya kamati. Nisichokijua, ni je, Bunge la Ulaya limeyakubali? Mbona Dr. Slaa anazungumza kama vile imekwishapitishwa? Au nipo nyuma ya wakati?
Wapambanaji wetu wa demokrasia wakiongozwa na Lisu, waliomba vikwazo vya kiuchumi vilenge wale washiriki wa moja kwa moja wa uharamia ule wa 28 Oktoba kama vile watawala, NEC, vyombo vya ulinzi na usalama, wafia chama wa CCM kama makada na greenguards, ambao siku za karibuni, wamegeuka kuwa makundi ya kiharamia, yaani hawa wanaoua watu, kuteka, kutesa, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app