permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,025
- 11,216
Washirika gani wakati watalii wengi ni kutoka Ulaya, misaada mingi pia ni kutoka Ulaya. Asia wenyewe wanakimbilia kufanya biashara na Ulayawewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..