dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Kama Chadema kikundi tuu wanaweza kusikilizwa kuluko nyinyi wenye Serikali,Dola,Mahkama,Bunge mjijue nyinyi akili zenu ndogo sanaNilimsikiliza vizuri balozi wa Tanzania Sweden akisema watalii wengi wali cancel kuja Tanzania sababu ya matamko ya wanasiasa.Watalii wengi hawaji sababu chadema inaitangaza nchi vibaya nje ya nchi .Watalii kupungua kunasababisha kupungua mapato ya mahoteli na kampunguni za utalii za Moshi na Arusha na manyara na kudhoofu biashara zingine maeneo hayo.Chadema wawe wazalendo ili watalii wengi waje. Kutangaza nchi vibaya mikoa inayoongoza kuumia kwa utangazaji huo Ni yenye vivutio vya utalii vikubwa hasa Kilimanjaro,Arusha na manyara
Maneno ya Zito Serikali wamekabidhiwa washamba ndio yanapata uhalali