Dkt. Slaa atua na kutoa maoni yake kupitia Radio One kuhusu hali ya siasa nchini

Dr W. Slaa kaingia Tanzania jana Jumanne 10/03 usiku. Leo amefanya interview kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" cha Radio One.

Amezungumza mengi kama vile diplomasia ya uchumi nk ila kuhusu siasa hizi ni dondoo muhimu kwenye interview hiyo:

1. Alijiuzulu siasa za vyama (active party politics). Hajarudi CCM na hategemei kurudi CCM. Si lazima arudi CCM (awe mwanachama) ili alitumikie taifa lake.Yeye kule Sweden hamuwakilishi mwenyekiti wa CCM, anamuwakilisha Rais.

2. Slaa anasema kama wapinzani walishindwa kuiondoa CCM 2015 hawataweza kuiondoa tena. Chama tawala kimebeba na kutekeleza agenda iliyoipa umaarufu upinzani 2015. Anasema upinzani unajenga mawazo chama tawala kinatekeleza. Hakuna kosa kwa chama tawala kuiba mawazo. Vyama vya upinzani vinapewa ruzuku kuwa "Viwanda vya Mawazo" ambayo chama tawala kinayatumia sababu upinzani hawana mahali (platform) ya kutekeleza mawazo yao.

3. Slaa anasema hakuna waraka (decree) unaowazuia wapinzani kuendesha shughuli zao. Serikali haifanyi kazi kwa matamko. Anasema kilichotokea ni kwamba kuna matamko ya upinzani (Chadema) yalileta sura ya kuchafua utulivu (Civil Disobedience). Walisema wataandamana kila kona - mkoa hadi mkoa, kijiji hadi Kijiji, mtaa hadi mtaa. Anasema kwa tafsiri yake, sheria inayotumika kudhibiti shughuli za wapinzani ni ya kipolisi sababu ikifika mahali unakwamisha mambo hauwezi kuachwa.

Anatoa mfano ofisi yake ya ubalozi Sweden ilipokea taarifa ya "Maandamano ya Mange Kimambi." Mamlaka ya Serikali ya Sweden ilitaka maelezo ya kina (details) za waandamanaji ikiwemo majina yao. Mamlaka hiyo ilielekeza idadi yao, sehemu ya kusimama na masharti mengine kama kutotumia vipaza sauti, nk. Anasema hii ni kuonyesha hata kwenye nchi kama Sweden, masharti yapo ili kuepuka kusumbua wananchi. Kati ya wale 100 walioruhusiwa kuandamana ni 6 tu walijitokeza.

Slaa anasema aliwaasa Chadema wajirekebishe kuhusu hili ila wameshindwa. Anasema ukombozi haupatikani kwa "Red Brigade" kuwa barabarani.

Anawaasa wanaotaka kujua Chadema ilipoanza kukosea wasome kitabu chake cha "Nyuma ya Pazia"
Dr Slaa na Zitto kabwe ni watu waliokuwa makini na ushawishi mkubwa sana ktk siasa za vyama ktk enzi zao na nakiri ya kuwa hata mimi pia walinishawishi sana kuingia kwenye siasa za vyama, ila tangu wote waache ile taswira yao ya mwanzo nami nimepoteza kabisa ladha ya siasa za vyama, na mbaya zaidi hata CDM ndio km vile imepigwa ndege wa macho na kupoteza uwezo wa kuona wapi wanakwenda. Zitto Kabwe ndio kapotea kabisaaa, ila Dr. Slaa bado ana uhai japo si msaada tena kwa CDM.

Na, katika mambo aliyoyazungumza Dr, Slaa dhidi ya wapinzani TZ hata Prof. Kitila Mkumbo alikwisha andika waraka wake HUMU JF mwaka 2014 (kama sijakosea) juu ya masuala aliyoyashauri ndani ya CDM kipindi akiwa CDM bado ila waliyapuuza na yanawatafuna time after time. Kwa hali hiyo bhac kuna haja kubwa ya chama kujitathmini na kufanya mabadiliko ili kujizatiti na sii kutegemea kauli za mihemko & hisia pekee
 
Dr Slaa na Zitto kabwe ni watu waliokuwa makini na ushawishi mkubwa sana ktk siasa za vyama ktk enzi zao na nakiri ya kuwa hata mimi pia walinishawishi sana kuingia kwenye siasa za vyama, ila tangu wote waache ile taswira yao ya mwanzo nami nimepoteza kabisa ladha ya siasa za vyama, na mbaya zaidi hata CDM ndio km vile imepigwa ndege wa macho na kupoteza uwezo wa kuona wapi wanakwenda. Zitto Kabwe ndio kapotea kabisaaa, ila Dr. Slaa bado ana uhai japo si msaada tena kwa CDM.

Na, katika mambo aliyoyazungumza Dr, Slaa dhidi ya wapinzani TZ hata Prof. Kitila Mkumbo alikwisha andika waraka wake HUMU JF mwaka 2014 (kama sijakosea) juu ya masuala aliyoyashauri ndani ya CDM kipindi akiwa CDM bado ila waliyapuuza na yanawatafuna time after time. Kwa hali hiyo bhac kuna haja kubwa ya chama kujitathmini na kufanya mabadiliko ili kujizatiti na sii kutegemea kauli za mihemko & hisia pekee
Hawawez kukuelewa, watakwambia huna akil na unasubir uteuzi...Makamanda hoyeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr W. Slaa kaingia Tanzania jana Jumanne 10/03 usiku. Leo amefanya interview kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" cha Radio One.

Amezungumza mengi kama vile diplomasia ya uchumi nk ila kuhusu siasa hizi ni dondoo muhimu kwenye interview hiyo:

1. Alijiuzulu siasa za vyama (active party politics). Hajarudi CCM na hategemei kurudi CCM. Si lazima arudi CCM (awe mwanachama) ili alitumikie taifa lake.Yeye kule Sweden hamuwakilishi mwenyekiti wa CCM, anamuwakilisha Rais.

2. Slaa anasema kama wapinzani walishindwa kuiondoa CCM 2015 hawataweza kuiondoa tena. Chama tawala kimebeba na kutekeleza agenda iliyoipa umaarufu upinzani 2015. Anasema upinzani unajenga mawazo chama tawala kinatekeleza. Hakuna kosa kwa chama tawala kuiba mawazo. Vyama vya upinzani vinapewa ruzuku kuwa "Viwanda vya Mawazo" ambayo chama tawala kinayatumia sababu upinzani hawana mahali (platform) ya kutekeleza mawazo yao.

3. Slaa anasema hakuna waraka (decree) unaowazuia wapinzani kuendesha shughuli zao. Serikali haifanyi kazi kwa matamko. Anasema kilichotokea ni kwamba kuna matamko ya upinzani (Chadema) yalileta sura ya kuchafua utulivu (Civil Disobedience). Walisema wataandamana kila kona - mkoa hadi mkoa, kijiji hadi Kijiji, mtaa hadi mtaa. Anasema kwa tafsiri yake, sheria inayotumika kudhibiti shughuli za wapinzani ni ya kipolisi sababu ikifika mahali unakwamisha mambo hauwezi kuachwa.

Anatoa mfano ofisi yake ya ubalozi Sweden ilipokea taarifa ya "Maandamano ya Mange Kimambi." Mamlaka ya Serikali ya Sweden ilitaka maelezo ya kina (details) za waandamanaji ikiwemo majina yao. Mamlaka hiyo ilielekeza idadi yao, sehemu ya kusimama na masharti mengine kama kutotumia vipaza sauti, nk. Anasema hii ni kuonyesha hata kwenye nchi kama Sweden, masharti yapo ili kuepuka kusumbua wananchi. Kati ya wale 100 walioruhusiwa kuandamana ni 6 tu walijitokeza.

Slaa anasema aliwaasa Chadema wajirekebishe kuhusu hili ila wameshindwa. Anasema ukombozi haupatikani kwa "Red Brigade" kuwa barabarani.

Anawaasa wanaotaka kujua Chadema ilipoanza kukosea wasome kitabu chake cha "Nyuma ya Pazia"
Tabia ya uzinzi inaondoa akili, imeandikwa kwenye vitabu vitakatifu " afanyaye uzinzi hana akili"
 
CHADEMA hawatakuja tena kupata Secretary General aliye Smart Upstairs, Strategist, Daring na very Brave Politically kama huyu Dkt. Wilborad Slaa. Uwezo wake huu mkubwa ndiyo uliifanya CCM ikose Usingizi 24/7 na sishangai baada ya Yeye kuachana na CHADEMA ndipo nao ( CCM ) wakapumua huku wengine wakimshukuru Mwenyezi Mungu.
MTU smart anapelekeshwa na kademu ka mtaani
 
Dr Slaa ni mtu makini sana, ni muongo na mnafiki atakayesema Dr., hakuwa the biggest asset alipokuwa chadema.

Ubaya wa ndugu zetu huwa hawafanyi proper crisis analysis na kujirekebisha. Alichokisema hapa ni muhimu sana na kinaeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambieni huyo Dr Mihogo awashawishi CCM watunge sheria ya uwepo wa Tumehuru hafu muone watapata kura ngapi!!!
 
Cha kufurahisha Dr Slaa na Lowasa wote kwa sasa ni wanaccm hata kama hawatamki hivyo hadharani
 
Hoja namba moja Dr. Slaa; hawezi kumtofautisha Rais na Mwenyekiti wa CCM, huyo ni mtu mmoja japo ana vyeo tofauti, kusema unamfanyia kazi Rais na sio M/kiti wa CCM ni uongo kwasababu kwenye ufanyaji kazi wake atakuwa analinda interest za M/kiti wa CCM, ambae ndie bosi wa Dr. Slaa; mfano ni pale alipoulizwa maoni yake baada ya Lissu kupigwa risasi, akajibu ili kumfurahisha M/kiti wa CCM ambae ndie bosi wake; alijibu kwamba Lissu sio wa kwanza kupigwa risasi. Hili jibu kimsingi alilenga kumfurahisha M/kiti wa CCM.

Hoja mamba mbili nimeipenda; na hii kina Sabaya na wenzake waisome vizuri, zile kelele zao kwamba wapinzani waoneshe walichofanya leo zimepewa jibu na rafiki yao, kwamba wapinzani hawana mahali pa kutekeleza mawazo yao, hivyo kelele za kina Sabaya na wale "wananchi"' wa Hai hazina maana, wasimsumbue Mbowe.

Hoja namba tatu Slaa kaongea kisiasa; anayajua fika mazingira ya siasa Tanzania, hasa siasa za vyama pinzani, tamko la Rais, ambae ndie M/kiti wa CCM linachukuliwa kama sheria, linatekelezwa na vyombo vya dola. Juzi Bashiru katoka kujisifu kuhusu matumizi ya dola kui-favour CCM, sijui hakusikia hilo, tunamuona Bashiru akizunguka nchi nzima kufanya shughuli za siasa, wakati upinzani hata kufanya mikutano kwenye majimbo yao imekuwa tabu (Sugu), ni Mbatia pekee alieenda Mbeya hivi karibuni tena baada ya kutoka ikulu kwa mazungumzo na Rais.

Mwisho, Dr. Slaa anatoa mfano wa Sweden kwamba watu wakitaka kuandamana wanatakiwa kutoa details zao, atuambie hapa Tanzania wapi waandamanaji walitakiwa kupeleka details zao wakagoma kuzipeleka? Mazingira ya Sweden na hapa kwetu ni tofauti, hilo analijua, anajitoa akili makusudi.

Ile kauli ya "nitawachapa mpaka shangazi zao" aliwahi kuisikia au hakuisikia?
hope alikuwa busy ubalozini!.

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku zote mpuuzi ni wa kupuuzwa.
 
I really love Dr. Slaa..

Those days he made me feel proud of CDM.

Dr. aliteka moyo wangu sana hasa kwenye umahiri wake wa kujenga hoja.

Nilimpa kura yangu 2010 ingawa sikupiga kwa sbb ya umri.

I reserved my vote for 2015 election, lkn ikawa hivyo tena.

When he resigned siasa za vyama, I resigned also.

Binafsi katika era hii ya siasa za bongo sijaona kama Dr.

All the best my role model.

Ila kumbe alikuwa ni kachero wao mkuu na kilichotokea yupo huko huko kwenye asili yake.
 
Dr W. Slaa kaingia Tanzania jana Jumanne 10/03 usiku. Leo amefanya interview kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" cha Radio One.

Amezungumza mengi kama vile diplomasia ya uchumi nk ila kuhusu siasa hizi ni dondoo muhimu kwenye interview hiyo:

1. Alijiuzulu siasa za vyama (active party politics). Hajarudi CCM na hategemei kurudi CCM. Si lazima arudi CCM (awe mwanachama) ili alitumikie taifa lake.Yeye kule Sweden hamuwakilishi mwenyekiti wa CCM, anamuwakilisha Rais.

2. Slaa anasema kama wapinzani walishindwa kuiondoa CCM 2015 hawataweza kuiondoa tena. Chama tawala kimebeba na kutekeleza agenda iliyoipa umaarufu upinzani 2015. Anasema upinzani unajenga mawazo chama tawala kinatekeleza. Hakuna kosa kwa chama tawala kuiba mawazo. Vyama vya upinzani vinapewa ruzuku kuwa "Viwanda vya Mawazo" ambayo chama tawala kinayatumia sababu upinzani hawana mahali (platform) ya kutekeleza mawazo yao.

3. Slaa anasema hakuna waraka (decree) unaowazuia wapinzani kuendesha shughuli zao. Serikali haifanyi kazi kwa matamko. Anasema kilichotokea ni kwamba kuna matamko ya upinzani (Chadema) yalileta sura ya kuchafua utulivu (Civil Disobedience). Walisema wataandamana kila kona - mkoa hadi mkoa, kijiji hadi Kijiji, mtaa hadi mtaa. Anasema kwa tafsiri yake, sheria inayotumika kudhibiti shughuli za wapinzani ni ya kipolisi sababu ikifika mahali unakwamisha mambo hauwezi kuachwa.

Anatoa mfano ofisi yake ya ubalozi Sweden ilipokea taarifa ya "Maandamano ya Mange Kimambi." Mamlaka ya Serikali ya Sweden ilitaka maelezo ya kina (details) za waandamanaji ikiwemo majina yao. Mamlaka hiyo ilielekeza idadi yao, sehemu ya kusimama na masharti mengine kama kutotumia vipaza sauti, nk. Anasema hii ni kuonyesha hata kwenye nchi kama Sweden, masharti yapo ili kuepuka kusumbua wananchi. Kati ya wale 100 walioruhusiwa kuandamana ni 6 tu walijitokeza.

Slaa anasema aliwaasa Chadema wajirekebishe kuhusu hili ila wameshindwa. Anasema ukombozi haupatikani kwa "Red Brigade" kuwa barabarani.

Anawaasa wanaotaka kujua Chadema ilipoanza kukosea wasome kitabu chake cha "Nyuma ya Pazia"
Hana mvuto tena
 
Dr W. Slaa kaingia Tanzania jana Jumanne 10/03 usiku. Leo amefanya interview kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" cha Radio One.

Amezungumza mengi kama vile diplomasia ya uchumi nk ila kuhusu siasa hizi ni dondoo muhimu kwenye interview hiyo:

1. Alijiuzulu siasa za vyama (active party politics). Hajarudi CCM na hategemei kurudi CCM. Si lazima arudi CCM (awe mwanachama) ili alitumikie taifa lake.Yeye kule Sweden hamuwakilishi mwenyekiti wa CCM, anamuwakilisha Rais.

2. Slaa anasema kama wapinzani walishindwa kuiondoa CCM 2015 hawataweza kuiondoa tena. Chama tawala kimebeba na kutekeleza agenda iliyoipa umaarufu upinzani 2015. Anasema upinzani unajenga mawazo chama tawala kinatekeleza. Hakuna kosa kwa chama tawala kuiba mawazo. Vyama vya upinzani vinapewa ruzuku kuwa "Viwanda vya Mawazo" ambayo chama tawala kinayatumia sababu upinzani hawana mahali (platform) ya kutekeleza mawazo yao.

3. Slaa anasema hakuna waraka (decree) unaowazuia wapinzani kuendesha shughuli zao. Serikali haifanyi kazi kwa matamko. Anasema kilichotokea ni kwamba kuna matamko ya upinzani (Chadema) yalileta sura ya kuchafua utulivu (Civil Disobedience). Walisema wataandamana kila kona - mkoa hadi mkoa, kijiji hadi Kijiji, mtaa hadi mtaa. Anasema kwa tafsiri yake, sheria inayotumika kudhibiti shughuli za wapinzani ni ya kipolisi sababu ikifika mahali unakwamisha mambo hauwezi kuachwa.

Anatoa mfano ofisi yake ya ubalozi Sweden ilipokea taarifa ya "Maandamano ya Mange Kimambi." Mamlaka ya Serikali ya Sweden ilitaka maelezo ya kina (details) za waandamanaji ikiwemo majina yao. Mamlaka hiyo ilielekeza idadi yao, sehemu ya kusimama na masharti mengine kama kutotumia vipaza sauti, nk. Anasema hii ni kuonyesha hata kwenye nchi kama Sweden, masharti yapo ili kuepuka kusumbua wananchi. Kati ya wale 100 walioruhusiwa kuandamana ni 6 tu walijitokeza.

Slaa anasema aliwaasa Chadema wajirekebishe kuhusu hili ila wameshindwa. Anasema ukombozi haupatikani kwa "Red Brigade" kuwa barabarani.

Anawaasa wanaotaka kujua Chadema ilipoanza kukosea wasome kitabu chake cha "Nyuma ya Pazia"

Huyu Mzee ni kifaa sana na Mzalendo wa kweli aliyekataa kula matapishi yake. Chadema kweli hawaambiliki.
 
Prof na Dr wa Tz ni notorious kwa kubadilika, siku hizi ni Dr Si-raha zamani Dr Si-laha....wapo walionielewa...

Everyday is Saturday................... :cool:
 
CHADEMA hawatakuja tena kupata Secretary General aliye Smart Upstairs, Strategist, Daring na very Brave Politically kama huyu Dkt. Wilborad Slaa. Uwezo wake huu mkubwa ndiyo uliifanya CCM ikose Usingizi 24/7 na sishangai baada ya Yeye kuachana na CHADEMA ndipo nao ( CCM ) wakapumua huku wengine wakimshukuru Mwenyezi Mungu.

Kwa utawala huu hata kama slaa bado angekuwa chadema angefeli tu au angekuwa jela

Tatizo sio chadema imedorola but mfumo mzima wa awamu ya tano kwa upinzani ndio shida

Awamu ya nne kwa kesi hii ya wakina Mbowe kungekuwa na maandamano makubwa
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom