johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
- Thread starter
- #21
Ulivyo mbwiga unadhani Lutheran ni kwa ajili ya Chadema tu.Wewe Mkatoliki mambo ya Lutheran yanakuhusuje kama sio umbeya tu.
Ulivyo mbwiga unadhani Lutheran ni kwa ajili ya Chadema tu.Wewe Mkatoliki mambo ya Lutheran yanakuhusuje kama sio umbeya tu.
Ulivyo mbwiga unadhani Lutheran ni kwa ajili ya Chadema tu.
Dr Shoo ana madaraka ya kuwaamulia jambo Dayosisi nyingine zaidi ya ile anayoingoza yeye ya Kilimanjaro?Kuleta migogoro ya makanisa mitandaoni au sehemu nyingine nje ya kanisa ni ujinga, ujuha na uwezo duni wa kufikiri. Kama kanisa ulilopo lina migogoro kwa nini msimalize wenyewe huko ndani ya kanisa washiriki na viongozi wenu husika ? Kama imeshindikana kabisa kufikia muafaka kwa nini msiachane na hilo kanisa mkaenda madhehebu mengine, kama hilo nalo ni gumu pia kwa nini msianzishe kanisa lenu wenyewe?
Tanzania ina uhuru mkubwa wa kiimani, mtu unaweza kuhamia dhehebu lingine au dini nyingine kabisa wakati wowote bila kikwazo. Pia Tanzania ni sehemu rahisi sana kuanzisha kanisa lako tofauti na nchi kama Rwanda, kama mnaona mnashindwana na wenzenu anzisheni kanisa lenu msiparuane na kulazimisha upande wenu mnaoona ni sahihi kwenu.
Waulixe wagalatia wenzio mliojazana hapo Ufipa!Kwani BAKWATA ni kwa ajili ya Lumumba tu?
Dr Shoo ana madaraka ya kuwaamulia jambo Dayosisi nyingine zaidi ya ile anayoingoza yeye ya Kilimanjaro?
Sioni tatizo kuelimishana katika hili.
Unataka iwe inapelekwa wapi?Kuleta migogoro ya makanisa mitandaoni au sehemu nyingine nje ya kanisa ni ujinga, ujuha na uwezo duni wa kufikiri. Kama kanisa ulilopo lina migogoro kwa nini msimalize wenyewe huko ndani ya kanisa washiriki na viongozi wenu husika ? Kama imeshindikana kabisa kufikia muafaka kwa nini msiachane na hilo kanisa mkaenda madhehebu mengine, kama hilo nalo ni gumu pia kwa nini msianzishe kanisa lenu wenyewe?
Tanzania ina uhuru mkubwa wa kiimani, mtu unaweza kuhamia dhehebu lingine au dini nyingine kabisa wakati wowote bila kikwazo. Pia Tanzania ni sehemu rahisi sana kuanzisha kanisa lako tofauti na nchi kama Rwanda, kama mnaona mnashindwana na wenzenu anzisheni kanisa lenu msiparuane na kulazimisha upande wenu mnaoona ni sahihi kwenu.
Hata huko kwingine hakuna utendaji wa ki Mungu Wala niniHivi kama viongozi wana gombea vyeo kuna utendaji WAKI MUNGU miongoni mwao kweli? ... au ndo ile usihukumu ili usije hukumiwa
Kwahiyo watu wapo kimaslahi cyoHata huko kwingine hakuna utendaji wa ki Mungu Wala nini
Mimi nilitafuta elimu ya kuuza mbege Rau madukani.Ungetafuta elimu ya kulima nyanya ungeonekana una akili.
... Zitto ndani ya ACT ndiye nembo ya Chama; ni alpha na omega. Kauli yake ni kauli ya mwisho.mkuu umenichekesha sana hapo kwenye katiba ya ACT kusema kweli mi sijui kazi ya zito kabwe
Sultan!... Zitto ndani ya ACT ndiye nembo ya Chama; ni alpha na omega. Kauli yake ni kauli ya mwisho.
Mhhhh, wewe nawe hujui kitu, nani alikudanganya kwamba Simba na Yanga kuna vita ? Pale kuna utani wa jadi tu na burudani. Hayo mambo ya vita unayajua wewe usiyefahamu soka.sasa kwanini wasifunge na kuomba badala yake imekua vita kama ya simba na yanga mtifuano kweli kweli hadi wanaharibu image ya kanisa kkkt inaonekana ya wahuni
Labda tumuulize Dr Kigwangalla na Tukutuku!Mhhhh, wewe nawe hujui kitu, nani alikudanganya kwamba Simba na Yanga kuna vita ? Pale kuna utani wa jadi tu na burudani. Hayo mambo ya vita unayajua wewe usiyefahamu soka.
Tatizo la maaskofu wengi wa KKKT wamejikita sana kwenye mambo ya siasa na wakasahau mambo ya dini. Kwa mfano askofu Bagonza kila siku ana tweet na kuandika mambo ya siasa badala ya dini.
Ipatikane karibu na nani?Tatizo ni Dr Alex malalzuza
Mm nimekuja kugundua kuwa Dr mwaikali alikuwa sahih kuitoa hyo dayosis kutoka tukuyu na kuileta mjin Kati mbeya ili uhuduma ya kidayosis ipatike karibu
Mchungaji Msigwa alikuwa Mluteri wa Matambe Dayosisi ya Bulongwa Makete.Hama Kanisani kwake, nenda kwa Gwajima.
Sidhani kama analo jibu!