BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 325
- 414
*📸DKT. SAMIZI ATOA UFAFANUZI JIMBONI KUHUSU MWANAUME MWENYE MKE ZAIDI YA MMOJA NA NAMNA ATAKAVYOHESABIWA.
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi akitoa elimu ya Sensa kwa Wananchi wake Jimboni Muhambwe.
Kwenye ziara hii, Dkt. Samizi ameendelea na ziara yake Jimboni kukutana na Wananchi kusikiliza kero zao na kuzitatua, kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na zaidi kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu Sensa ya watu na makazi itakayofanyika nchini Agosti 23, 2022.
#KaziInaendelea
#SSH
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi akitoa elimu ya Sensa kwa Wananchi wake Jimboni Muhambwe.
Kwenye ziara hii, Dkt. Samizi ameendelea na ziara yake Jimboni kukutana na Wananchi kusikiliza kero zao na kuzitatua, kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na zaidi kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu Sensa ya watu na makazi itakayofanyika nchini Agosti 23, 2022.
#KaziInaendelea
#SSH