Dkt. Samizi ashiriki vyema ziara ya waziri mkuu majaliwa, ashiriki upandaji wa michikichi

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
325
414
DKT. SAMIZI ASHIRIKI VYEMA ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA, ASHIRIKI UPANDAJI WA MICHIKICHI.

Mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma Mhe Florence George Samizi ameshiriki vyema ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa anayoifanya mkoani Kigoma iliyoanza Septemba 16, 2021.

Katika ziara hiyo ya Waziri Mkuu, Jana Ijumaa Septemba 17, 2021 Mhe Samizi katika Jimbo la Buhigwe alishiriki zoezi la upandaji wa zao la mchikichi ambalo ni moja ya zao la kimkakati mkoani Kigoma mahususi kukabiliana na uhaba wa mafuta.

#KaziInaendelea.

IMG-20210918-WA0004.jpg


IMG-20210917-WA0166.jpg


IMG-20210917-WA0164.jpg


IMG-20210917-WA0022.jpg
 
UPUUZI MTUPU!!!

DKT. SAMIZI ASHIRIKI VYEMA ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA, ASHIRIKI UPANDAJI WA MICHIKICHI.

Mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma Mhe Florence George Samizi ameshiriki vyema ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa anayoifanya mkoani Kigoma iliyoanza Septemba 16, 2021.

Katika ziara hiyo ya Waziri Mkuu, Jana Ijumaa Septemba 17, 2021 Mhe Samizi katika Jimbo la Buhigwe alishiriki zoezi la upandaji wa zao la mchikichi ambalo ni moja ya zao la kimkakati mkoani Kigoma mahususi kukabiliana na uhaba wa mafuta.

#KaziInaendelea.

View attachment 1943030

View attachment 1943031

View attachment 1943032

View attachment 1943033
 
Back
Top Bottom