johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,524
Mwanafalsafa Ayoub Ryoba ambaye pia ni Mkurugenzi wa TBC amesema Mwalimu Nyerere alipenda zaidi Tanzania na Kenya ziungane na kuwa nchi moja.
Dkt. Ryoba anasema Mwalimu Nyerere alikuwa tayari kuchelewesha uhuru wa Tanganyika ili tupate pamoja na Kenya kadhalika alikuwa tayari kumwachia mzee Jommo Kenyatta awe Rais.
Nyerere alipenda kuona waafrika wanakuwa wamoja, amesema Ryoba
Chanzo: TBC
Dkt. Ryoba anasema Mwalimu Nyerere alikuwa tayari kuchelewesha uhuru wa Tanganyika ili tupate pamoja na Kenya kadhalika alikuwa tayari kumwachia mzee Jommo Kenyatta awe Rais.
Nyerere alipenda kuona waafrika wanakuwa wamoja, amesema Ryoba
Chanzo: TBC