Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Tunamshukuru Mungu kwa kuwa ndiye mponyaji wetu na ndiye awekaye baraka kwenye kazi za mwanadamu. Nina hakika kama ungewekwa tu nyumbani, halafu tuseme tuwe tunasali tu, huenda tusingekuwa nawe leo.

Mungu huweka baraka kwenye kazi aifanyayo mwanadamu, japo kwa hekima yake anaweza kutenda makuu hata bila ya ushiriki wa mwanadamu, lakini msingi mkuu ni kuzibariki na kuweka neema juu ya yale tuyafanyayo.

Dr. Mpango, Mungu amekuponya kwa muujiza. Kukaa kwenye mashine ya oksijeni kwa siku 11 ilihali wengine hukaa kwa masaa tu na kuondoka, Mungu ana kusudio lake. Ni juu yako kuomba msaada wa Roho Mtakatifu akuongoze ili kujua kusudio la Mungu.

Ujue wewe siyo tofauti na wengi waliofariki, wala Mimi siyo tofauti na wewe uliyeugua, kwa nini mimi sijaugua, au wewe kwa nini umeponywa, ni jambo la kutafakari na kumwomba Mungu ili kufunuliwa yaliyofichika.

Mpango umeugua Corona, wewe ni kiongozi wa Serikali, wewe ni kati ya mawaziri wawili right arm wa Magufuli. Mungu amemwondoa mtu wa karibu kabisa na Rais, katibu wake; akakupitisha wewe kwenye njia ngumu, njia ya uwazi wa 100% ya kujua unachougua, akakuacha uendelee kuonana na walio hai, anataka kukusikia unanena nini juu ya ugonjwa huu, unatoa msaada gani kwa watanzania kwa kile ukichoshuhudia, unamwambia/unamshauri nini Rais ambaye anasema corona ni mafua tu.

Utanena ukweli na kuwa mtii wa nafsi yako ili usaidie kuwaokoa wengine au utaishi kwenye unafiki na uwongo wa kusema tatizo ni dogo sana ili kuulinda ujira wako ambao usingepona, usingekuwa na faida yoyote?

Pole Sana Dr Mpango, asante sana Muumba wetu maana kila mmojawetu anapoyakwepa mauti,, ni furaha kwetu sote.
 
Video : Mahojiano marefu na mbunge Dr. Mpango

Source : MwanaHALISI tv

..... ..... ..... .... .... .... .... .... .... .... .... .... .....

Ombi kwa waliopitia changamoto ya upumuaji kitaalamu

Dr. Philip Mpango (Mb), afahamu kuwa ugonjwa huu wa covid-19 unakongolosha, unakuletea uchovu mwilini ambao hukuwa nao kwa miezi kibao hata baada ya mgonjwa kuruhusiwa kutoka hospitali, yaani unakuletea makando kando kibao ikiwemo udhoofu wa maungo na viungo vingine vya ndani ya mwili.

Kubwa amevuka steji ya kwanza. Hivyo asikimbilie kuongea sana ktk conferences au kufanya kazi zake za kawaida za kiofisi ofisini au mtandaoni nyumbani. Apumzike apewe likizo ndefu akae nyumbani akiangalia afya yake.

COVID-19 (coronavirus): Long-term effects​

COVID-19 symptoms can sometimes persist for months. The virus can damage the lungs, heart and brain, which increases the risk of long-term health problems.
By Mayo Clinic Staff
Most people who have coronavirus disease 2019 (COVID-19) recover completely within a few weeks. But some people — even those who had mild versions of the disease — continue to experience symptoms after their initial recovery.

These people sometimes describe themselves as "long haulers" and the condition has been called post-COVID-19 syndrome or "long COVID-19."

Older people and people with many serious medical conditions are the most likely to experience lingering COVID-19 symptoms, but even young, otherwise healthy people can feel unwell for weeks to months after infection. The most common signs and symptoms that linger over time include:
  • Fatigue
  • Shortness of breath
  • Cough
  • Joint pain
  • Chest pain
Other long-term signs and symptoms may include:
  • Muscle pain or headache
  • Fast or pounding heartbeat
  • Loss of smell or taste
  • Memory, concentration or sleep problems
  • Rash or hair loss

Video: Long-term symptoms, complications of COVID-19​


Organ damage caused by COVID-19​

Although COVID-19 is seen as a disease that primarily affects the lungs, it can damage many other organs as well. This organ damage may increase the risk of long-term health problems. Organs that may be affected by COVID-19 include:
  • Heart. Imaging tests taken months after recovery from COVID-19 have shown lasting damage to the heart muscle, even in people who experienced only mild COVID-19 symptoms. This may increase the risk of heart failure or other heart complications in the future.
  • Lungs. The type of pneumonia often associated with COVID-19 can cause long-standing damage to the tiny air sacs (alveoli) in the lungs. The resulting scar tissue can lead to long-term breathing problems.
  • Brain. Even in young people, COVID-19 can cause strokes, seizures and Guillain-Barre syndrome — a condition that causes temporary paralysis. COVID-19 may also increase the risk of developing Parkinson's disease and Alzheimer's disease.

Blood clots and blood vessel problems​

COVID-19 can make blood cells more likely to clump up and form clots. While large clots can cause heart attacks and strokes, much of the heart damage caused by COVID-19 is believed to stem from very small clots that block tiny blood vessels (capillaries) in the heart muscle.

Other parts of the body affected by blood clots include the lungs, legs, liver and kidneys. COVID-19 can also weaken blood vessels and cause them to leak, which contributes to potentially long-lasting problems with the liver and kidneys.

Problems with mood and fatigue​

People who have severe symptoms of COVID-19 often have to be treated in a hospital's intensive care unit, with mechanical assistance such as ventilators to breathe. Simply surviving this experience can make a person more likely to later develop post-traumatic stress syndrome, depression and anxiety.

Because it's difficult to predict long-term outcomes from the new COVID-19 virus, scientists are looking at the long-term effects seen in related viruses, such as the virus that causes severe acute respiratory syndrome (SARS).

Many people who have recovered from SARS have gone on to develop chronic fatigue syndrome, a complex disorder characterized by extreme fatigue that worsens with physical or mental activity, but doesn't improve with rest. The same may be true for people who have had COVID-19.

Many long-term COVID-19 effects still unknown​

Much is still unknown about how COVID-19 will affect people over time. However, researchers recommend that doctors closely monitor people who have had COVID-19 to see how their organs are functioning after recovery.

Many large medical centers are opening specialized clinics to provide care for people who have persistent symptoms or related illnesses after they recover from COVID-19.

It's important to remember that most people who have COVID-19 recover quickly. But the potentially long-lasting problems from COVID-19 make it even more important to reduce the spread of the disease by following precautions such as wearing masks, avoiding crowds and keeping hands clean
 
Hizi siasa hatari sana mtu ulikuwa ICU kwenye koma situation siku unachomolewa oxygen unatoka mkuku kwenda kuongea na media bila hata kupumzisha misuli ili tu ku prove mtu wrong.

Huko kwenye press conference alikuwa amevaa Barakoa?
 
Mbona hajasema kama amejifukizia?Au ni mimi masikio yangu yana mushkeli?😄😄😄Nimesikia tu mambo ya mitungi ya gas.
 
Kwani taarifa si ilisema alikuwa anaumwa na Malaria??
Alikuwa na malaria kali sana mpaka akawekewa mashine ya kusaidia kupumua!!
 
Hivi hiyo mitungi inauzwa pesa ngapi mkubwa,halafu kumbe asingekuwa na mtungi wake wa oxygen sasa hivi angekuwa anacheza karata na akina Kijazi huko kuzimu kwa waiba kura
Daaaaah Mungu aibariki sana familia yako......hii kauli yako ya kishujaa ikusaidie maisha yako yote
 
Halafu bado hajafunika mdomo wake kwa barakoa? Wataambukizwa hao jamaa kama wanacheza na Covid 19 variant.
 
Kwa bahati nzuri wakati anaongea akili zilikuwepo zote zingeyumba kidogo ungesikia anamshukuru mheshimiwa Rais
 
Pole na Hongera.

Una nafasi nzuri sana kumfahamisha mteuzi wako..., mwambie asikaze shingo juu ya uhai wa wasaidizi wake. Asiwafanye muogope kujikinga kwa kuvaa barakoa mbele yake. Hiki ni kiburi kisichokuwa na manufaa kwa yeyote.
 
Back
Top Bottom