LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Hawa ndio PhD holder tulio nao Tanzania.
Sishangai Msukuma anavyo watukana bungeni na wao kushangilia wakati wana tukanwa.
Hivi kuna logic gani kuandika mitandaoni kwamva amepona na ana rudi kazini?
Alipo umwa alisema mtandaoni?
Kweli class seven wana akili kuliko hawa wa siku masaa 48
Sishangai Msukuma anavyo watukana bungeni na wao kushangilia wakati wana tukanwa.
Hivi kuna logic gani kuandika mitandaoni kwamva amepona na ana rudi kazini?
Alipo umwa alisema mtandaoni?
Kweli class seven wana akili kuliko hawa wa siku masaa 48