Uchaguzi 2020 Dkt. Philip Mpango atangaza nia kugombea Ubunge jimbo la Buhigwe

Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.

Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.

Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.

Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Kwani mbunge wa sasa kasema hagombei ?
 
Si ipendi CCM ila ningekuwa mkazi wa ilo jimbo. Kura yangu ingeeda kwake.

Ila ninauhakika 100% mipango kalazimishwa tu kugombea. Huyu waziri sio mwqnasiasa kabisa. Anafanya kazi yake kama ijavyomtaka.
 
Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.

Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.

Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.

Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Hili Lisumkuma tu tena la nyangwale
 
Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.

Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.

Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.

Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Buhigwe si kuna mwanaccm mwezao yule CHAMI
 
Nyege zinamsunbua. Ndo kawaida ya nyege za wamama walio kwenye menopozi
KWa nini unaandika matusi krk jukwa la siasa? Haya ni mambo ya Jukwaa la mapenzi huko! Mbaya zaidi ni tusi kwa akina mama. Eti, unapewa likes!

Mod. tafadhari weka adabu kwa mtu kama huyu.
 
KWa nini unaandika matusi krk jukwa la siasa? Haya ni mambo ya Jukwaa la mapenzi huko! Mbaya zaidi ni tusi kwa akina mama. Eti, unapewa likes!

Mod. tafadhari weka adabu kwa mtu kama huyu.
Nitajie tusi lolote katika post yangu...

Acha kulialia dadaangu ... eti unawaita mods, unadhani wao hawajaiona hiyo post

Mi kugongewa like kumekuuma sana? Kameze kiwembe basi unikomoe mazima
 
Nitajie tusi lolote katika post yangu...

Acha kulialia dadaangu ... eti unawaita mods, unadhani wao hawajaiona hiyo post

Mi kugongewa like kumekuuma sana? Kameze kiwembe basi unikomoe mazima
Mama yako leo unaniita dadako? Stupid!
 
Nitajie tusi lolote katika post yangu...

Acha kulialia dadaangu ... eti unawaita mods, unadhani wao hawajaiona hiyo post

Mi kugongewa like kumekuuma sana? Kameze kiwembe basi unikomoe mazima
Mama yako hajafikia Menopose?
 
Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.

Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.

Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.

Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Achana na hilo biriani
 
Back
Top Bottom