Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
Yule bi mdogo mke wa balozi ,vipi ?Mpango atarudi kwenye kiti chake cabinet ijayo, pia Prof Kabudi, Ummy, Jenista Muhagama, Kamwele hawa watarudi kwenye nafas zao pia.
Yule bi mdogo mke wa balozi ,vipi ?Mpango atarudi kwenye kiti chake cabinet ijayo, pia Prof Kabudi, Ummy, Jenista Muhagama, Kamwele hawa watarudi kwenye nafas zao pia.
Anaitwa Obama Ntabaliba na mpaka sasa yupo Mikononi mwa TAKUKURU kwa tuhuma za RushwaMbunge wa sasa wa Huko ni nani ???
Kwani mbunge wa sasa kasema hagombei ?Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Hili Lisumkuma tu tena la nyangwaleWaziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Buhigwe si kuna mwanaccm mwezao yule CHAMIWaziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
KWa nini unaandika matusi krk jukwa la siasa? Haya ni mambo ya Jukwaa la mapenzi huko! Mbaya zaidi ni tusi kwa akina mama. Eti, unapewa likes!Nyege zinamsunbua. Ndo kawaida ya nyege za wamama walio kwenye menopozi
Anaitwa Obama Ntabaliba na mpaka sasa yupo Mikononi mwa TAKUKURU kwa tuhuma za Rushwa
Nitajie tusi lolote katika post yangu...KWa nini unaandika matusi krk jukwa la siasa? Haya ni mambo ya Jukwaa la mapenzi huko! Mbaya zaidi ni tusi kwa akina mama. Eti, unapewa likes!
Mod. tafadhari weka adabu kwa mtu kama huyu.
Ushindani atafanya na Nani?Kwa huyu naamini kutakuwa na ushindani mkali sana
Mama yako leo unaniita dadako? Stupid!Nitajie tusi lolote katika post yangu...
Acha kulialia dadaangu ... eti unawaita mods, unadhani wao hawajaiona hiyo post
Mi kugongewa like kumekuuma sana? Kameze kiwembe basi unikomoe mazima
Subiri taarifa ya Habari ndio vyanzo vyako, mie nakupa za motoSi kweli
Yeye alitengenezewa wizara Yake Hana haja ya kuminyana kwenye makampeni.Yule bi mdogo mke wa balozi ,vipi ?
Achana na hilo birianiWaziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.