Dkt. Philip Mpango ajitafakari kwa aliyoyafanya akiwa Waziri wa Fedha na Mipango

SN.BARRY

JF-Expert Member
Oct 12, 2012
4,040
8,895
Alipokuwa Waziri wa fedha:

1. Alikuwa anachukua fedha za mazingira na kufanyia mambo mengine au kuzizuia kwa utashi binafsi yeye na Doto. Mh. Rais kalisema leo wakati wa uapisho wa maRAS.

2. Alitoa takwimu za uongo kuwa uchumi unakuwa kwa 7% kumbe ni 4%.

3. Kuna baadhi ya Wizara alikuwa anazipa chini ya 10% ya bajeti iliyopitishwa na bunge.

4. Unyang'anyi wa fedha za maduka ya kubadilisha fedha za kigeni.

5. Kumpotosha marehemu kuhusu mambo ya uchumi kwa makusudi kabisa. Mfano ununuzi wa ndege na miradi inayokula fedha ila haina faida yoyote.

N.k
 
Rais, VP, PM, Jaji Mkuu, Spika na Naibu wake wamejiwekea kinga ya kutoshitakiwa
... hatari sana hii kwa ustawi wa taifa! Rais kutoshtakiwa ni suala la kikatiba; ni haki ya kikatiba japo kwa katiba mbovu iliyopo. Na kwa kumbukumbu zangu, ukiacha Rais, hao wengine hawakuwa na kinga hiyo. Ni lini Katiba ya nchi ilibadilishwa wakaingizwa kundi kubwa hivyo?
 
... hatari sana hii kwa ustawi wa taifa! Rais kutoshtakiwa ni suala la kikatiba; ni haki ya kikatiba japo kwa katiba mbovu iliyopo. Na kwa kumbukumbu zangu, ukiacha Rais, hao wengine hawakuwa na kinga hiyo. Ni lini Katiba ya nchi ilibadilishwa wakaingizwa kundi kubwa hivyo?
Mwaka jana, mambo ya Ndugai hayo
 
Mkuu naweka kumbukumbu SAHIHI...

Mh.Rais SSH alisema "alitafuta fedha kwa DONORS na waziri wa fedha akazikalia miaka hiyo....".

Na ikumbukwe WAZIRI WA FEDHA ndiye mwenye mandate ya KUANGALIA HALI YA KIUCHUMI YA SERIKALI NA MGAWANYO WA FEDHA za Kodi na za kutoka kwa WAHISANI....

Hakuna sehemu mh.Rais SSH amesema ama imethibitika kuwa mh.Makamu wa Rais alizitumia hizo fedha na huyo waziri uliyemtaja.....

#KongoleAwamuYaSita
#KAZIIENDELEE
 
Back
Top Bottom