Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,106
- 9,213
So sad walale salama ndugu zetu.
Na sasa hivi Trump ndio keshachezea lifeban kule twitter kwahiyo issue za ajabu ajabu atakuwa anaquotiwa bwana jiweWe turned a world laughing stock.
Itakuwa ndio hao hao ma prof wa SUAMmh! Nipo Yombo lumo kuna msiba wa mtu na mume wake pia. Wamefariki kwa kupishana siku mbili. Ni watu wazima wote
Inawezekana ni mshtuko na depression, chanzo nini kwani?
Acheni hooooofu, tuchapeni kazi huku tukimtanguliza Mungu.
Msemaji wa serikali ameongea kitu kuhusu hii kitu?Sasa ni dhahiri haki sio shwari. Hii 19, inatakiwa serikalini useme neno otherwise tunakoelekea hata SGR itakosa wa kuipanda.
Umeshaandika usia? Joking mkuu..pole.sana jikaze kunywa Maji mengi utakuwa sawaJamani tutaisha. Mi wiki sasa mwili hauna nguvu, mchovu na juzi hata kupumua ilikuwa shida sana ila naendelea vema maana kidogo ni mtu wa mazoezi.
poleni huko LUMO aise.... nlisikia hii ni hapo kwa kina mangi siyo???Mmh! Nipo Yombo lumo kuna msiba wa mtu na mume wake pia. Wamefariki kwa kupishana siku mbili. Ni watu wazima wote
Aisee hio list kama ni kweli basi Mwenyezi Mungu tunusuru taifa letu. Taifa la kimaskini ambalo bado linaendeshwa kwa mfumo wa zama za kale.Morogoro. Miili ya wanandoa, Profesa Delphina Mamiro aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sokoine (Sua) na Dk Peter Mamiro imesafirishwa leo Alhamisi Februari 11, 2021 kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi...
Nenda US taifa tajiri kwa ambako hawafi na corona. Corona wao wanaisikia inaua Tanzania tu.Aisee hio list kama ni kweli basi Mwenyezi Mungu tunusuru taifa letu. Taifa la la kimskini ambalo bado linaendeshwa kwa mfumo wa zama za kale...
Nimonia kaliMorogoro. Miili ya wanandoa, Profesa Delphina Mamiro aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sokoine (Sua) na Dk Peter Mamiro imesafirishwa leo Alhamisi Februari 11, 2021 kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi...