Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
hali yako inaendeleaje now?Jamani tutaisha. Mi wiki sasa mwili hauna nguvu, mchovu na juzi hata kupumua ilikuwa shida sana ila naendelea vema maana kidogo ni mtu wa mazoezi.
hali yako inaendeleaje now?Jamani tutaisha. Mi wiki sasa mwili hauna nguvu, mchovu na juzi hata kupumua ilikuwa shida sana ila naendelea vema maana kidogo ni mtu wa mazoezi.
Namshukuru Mungu mkuu naendelea vema sasa.Tuchukue tahadhari ndugu zanguhali yako inaendeleaje now?
Sio uongo ni kweli na mtoto ameruhusiwa juzi amepona.Unaleta huu uongo ili umfurahishe nani!?
Ugonjwa mpya wa ' Bupiji Tusivae Barakoa ' unatumaliza kweli kweli Watanzania. Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie.Habari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe, Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter Mamiro na Profesa Delphina Mamiro walikuwa wanafundisha Chuo cha Kilimo Sokoine - SUA.
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kwamba siku chache zilizopita, Dkt. Peter na Profesa Delphina walitoka Kilimanjaro kuwazika wazazi wawili (Mchungaji Kessy na mkewe) wa Profesa Delphina ambao nao vifo vyao vilifuatana.
Inadaiwa baada ya kurudi Morogoro hali ikuwa mbaya mpaka umauti unawakuta.
Mwenyezi Mungu aipe nguvu na faraja familia hii inayopitia majaribu haya yote.
Pia soma: TANZIA - Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA) afariki dunia
umetumia dawa yoyote?Namshukuru Mungu mkuu naendelea vema sasa.Tuchukue tahadhari ndugu zangu
Wenyewe wanasema eti “changamoto ya upumuaji” inaweza kuletwa na BP issues (high or low), kisukari, UTI sugu, other infections za bacteria na virus, ikiwemo COVID19Kwa opinion yangu nadhani ni bora kama wangesema wanajua kinachotokea (COVID au lolote lile) kuliko wanajua sio COVID, sasa ni nini? Yaani ni bora kujua kinachotokea kuliko kutokujua, hence hata kukiepuka hauwezi.
Sio kweli bro...mm ni majiran zangu haoSio uongo ni kweli na mtoto ameruhusiwa juzi amepona.
Unamjua Boss? mie ni ndugu zangu haoSio kweli bro...mm ni majiran zangu hao
Hakuna kijana wao alolazwa mkuu...,Unamjua Boss? mie ni ndugu zangu hao
Haya mkuu tunaojua tunajua na kama wewe ni jirani mie ni ndugu yao tusiwafaidishe watu hapa kwa ubishani wetu. Cha muhimu uzimaHakuna kijana wao alolazwa mkuu...,
Hakuna anayethubutu kumwambia Mhsmiwa waagize chanjo ili watu wapone!!Deportivo!
Serikali ni kipofu Wala haimwon huyu Deportivo cha msingi tuchukue tahadhari lazivyo tutaisha.
Au nasema uongo ndg zangu?
Hapana..siko hapa kubishana kaka..maana haina faida..peaceHaya mkuu tunaojua tunajua na kama wewe ni jirani mie ni ndugu yao tusiwafaidishe watu hapa kwa ubishani wetu. Cha muhimu uzima