KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,156
“Tusijisahau kwamba ukoloni mamboleo bado upo na mabeberu bado wanaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha wanatunyonya, na kiongozi yeyote wa Afrika anayethubutu kuwazui hawezi kuwa rafiki wa hao ambao walikuwa wakinufaika kwa kutunyonya” amesisitiza Mhe. Dkt. Obasanjo.
Alifunga safari ndefu kuja kusema hayo maneno hapa ili waTanzania tuyasikie, au kuna jambo maalum lililomleta na wala halijadiliwi hapa?