Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro amesema hadi sasa kuna askari 61 wamefukuzwa kazi baada ya kuthibitika kuwa wamekuwa wakiwatendea vibaya wananchi wanaoingia hifadhini
Amewataka watu wengine wenye ushahidi wa wananchi kutendewa vibaya na askari wa hifadhi wapeleke ushahidi ili askari husika wachukuliwe hatua
Kutokana na changamoto ya wananchi kupeleka mifugo yao hifadhini na kusababisha mapambano kati ya wananchi na polisi. Waziri amewataka viongozi kuwaelimisha wananchi ili waache tabia ya kupeleka mifugo hifadhini
Amewataka watu wengine wenye ushahidi wa wananchi kutendewa vibaya na askari wa hifadhi wapeleke ushahidi ili askari husika wachukuliwe hatua
Kutokana na changamoto ya wananchi kupeleka mifugo yao hifadhini na kusababisha mapambano kati ya wananchi na polisi. Waziri amewataka viongozi kuwaelimisha wananchi ili waache tabia ya kupeleka mifugo hifadhini