Dkt. Ndugulile: Usiweke alama ya vidole zaidi ya mara moja unaposajili laini

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ametoa wito kwa wananchi kutoweka alama za vidole zaidi ya mara moja wanapokuwa wanasajili laini ili kuepuka kumsajilia mtu mwingine ambaye ana nia ovu.

Aidha amesema watatoa muda maalumu kwa kila mwananchi kuhakikisha namba ambazo zimesajiliwa kwa jina lake lakini hazitambui ili aweze kuzifuta.

Amesema hayo katika hatua za kupambana na uhalifu wa mtandaoni. Pia amesema ni kosa kisheria kumsajilia mtu namba ya simu.
 
Nimeshika sana maana kuna siku nasajiki laini niliweka kidole zaidi ya mara 6 na ilikataa ila nashangaa kila nikitaka kitambulisho hangu jamaa aliking'ang'ania akiniambia bado na baadae ndio ananiambia imekubali sasa ndio sijui alisajili kadhaa au laa
 
Nimeshka sana maana kuna siku nasajiki laini niliweka kidole zaidi ya mara 6 na ilikataa ila nashangaa kila nikitaka kitambulisho hangu jamaa aliking'ang'ania akiniambia bado na baadae ndio ananiambia imekubali sasa ndio sijui alisajili kadhaa au laa
Hajasajili nyingi kwa kukusudia inatokea kweli ni kweli system mawakala inawasumbua sana ni mara chache kukubali hapo hapo na yeye analinda ugali akikuacha wewe utaghairi atakosa kipato.

Alafu kuna wakati inatokea kwa bahati mbaya unakuta wakati upo inakataa lakini ukitoka yale bajaribio yote yanakubali hawezi kukutafuta inakuwa fursa kwake kuziuza zile laini kwa wateja wasio na vitambulisho.

Kujaribu kusajiri sim card zaidi ya moja pale inapogoma.
Angalizo siku ingine ukiitaji laini mwambie wakala asijaribi SIM CARD zaidi ya moja kukusajilia laini ili kama ikikubali akupatie iyo moja aliyojaribu mara 6 no more cards hapo itakuwa umedhibiti kusajilia watu wengine.
 
Hajasajili nyingi kwa kukusudia inatokea kweli ni kweli system mawakala inawasumbua sana ni mara chache kukubali hapo hapo na yeye analinda ugali akikuacha wewe utaghairi atakosa kipato...
Aalfu kama kasajili laini ingine huyo wakala si utaona ukienda kwenye menu itakuonesha namba zilizosajiliwa kwa kitambulisho chako.

Mimi nshaweka dole mara kibao lakini namba zilizosajiliwa kwa ID yangu ni zile zangu tu.

So sioni wizi wowote

Au pengine labda ile sio fanisi sana
 
Nimeshka sana maana kuna siku nasajiki laini niliweka kidole zaidi ya mara 6 na ilikataa ila nashangaa kila nikitaka kitambulisho hangu jamaa aliking'ang'ania akiniambia bado na baadae ndio ananiambia imekubali sasa ndio sijui alisajili kadhaa au laa

Piga *106# ukague line ulizosajili na namba yako ya NIDA
 
Nimeshka sana maana kuna siku nasajiki laini niliweka kidole zaidi ya mara 6 na ilikataa ila nashangaa kila nikitaka kitambulisho hangu jamaa aliking'ang'ania akiniambia bado na baadae ndio ananiambia imekubali sasa ndio sijui alisajili kadhaa au laa
Piga *106# utapata namba zote zilizosajiliwa kwa kutumiya kitambulisho chako cha Nida
 
Back
Top Bottom