Professor kipuyuyu
Member
- Feb 11, 2018
- 48
- 63
Lissu anawachezesha kibao kata mbona na bado ngoja afike ICC ndo patakucha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mahojiano ya Mbunge wa Iramba, Dkt. Mwigulu Nchemba kupitia Kipindi cha Clouds 360 pale Clouds Tv kwa ufupi..
Maswali muhimu aliyoulizwa:
Kwanini tangu utenguliwe uwaziri wa Mambo ya Ndani na Rais Dkt. John Magufuli, umekuwa kimya sana?
"Unajua ukiwa kwenye nafasi ya uwaziri vipo vitu vingi vya kuvisemea (mambo mbalimbali yanayotokea nchini). Ndio maana sasa hivi nipo kimya. Nimebaki na vitu viwili tu vya kusemea; mambo ya jimboni kwangu na kazi nzuri inayofanywa na serikali yangu"
Kuna tofauti gani ya Uwaziri na Ubunge?
Hakuna tofauti na maisha yangu hayajabadilika. Nilipokuwa waziri kwenye msafara wangu sikutaka magari yasimamishwe ili nipite. Kwa sababu nilikuwa nafahamu kuna wengine walikuwa wanawahi ndege "airport', wengine wagonjwa na wengine makazini sikutaka kuwachelewesha. Nilikuwa mtu wa kawaida (Mtu wa Watu), ndio maana sioni tofauti na sasa nilivyobaki na ubunge pekee".
Rais Magufuli alivyokutumbua Ulijisikiaje? Ulikasirika?
"Nilisema nilipokuwa kwenye mkutano jimboni kwangu Iramba, nilimshukuru sana Rais wangu John Magufuli kwa kunipa nafasi hiyo ya uwaziri. Sisi ni wafugaji, siku baba akikwambia usiende kuchunga utakasirika? Huwezi".
Vipi kuhusu kugombea urais 2020?
"Kwa kazi nzuri anazofanya Rais wetu John Magufuli, kila mwanaCCM anajua na kufahamu. Kwa sasa nipo bize na jimbo langu, sina mpango wa kugombea URAIS".
Ishu ya "Askari'' aliyemtolea Nape bastola.
"Sikuwahi kusema sio askari. Nilisema sio Polisi. Nilimwelekeza IGP kuchukua hatua aliniambia yule jamaa sio polisi. Kuna utaratibu wa kuchukua hatua na sio kila hatua inatangazwa kwenye vyombo vya habari"
Wana-Singida wakikuuliza Tundu Lissu yuko wapi huwa unawajibu nini?
"Wanasingida wote wanajua kilichotokea na wanazo taarifa za maendeleo yake. Wanajua alipo. Tatizo lililopo ni ukinzani wa taarifa zinazosambazwa na kunyoosheana vidole hasa na chama chake. Mfano kwenye uchaguzi mdogo walikuwa wanasema msiwape kura hawa wamempiga mwenzetu. Jambo ambalo sio sawa.
"Tundu Lissu aliposhambuliwa, Rais Magufuli alinipigia simu akanipa maelekezo kuchukua hatua haraka sana na wahalifu wakamatwe haraka sana’’
Zaidi kuhusu ishu ya Lissu tazama kipande hiki;
Mkuu Kungoa CCTV camera baada ya shambulio sio kwamba huwezi pata matukio yaliotokea kabla ya kungoa camera.Walinzi walikuwa wapi na nani aling'oa CCTV baada ya shambulio?! Nashangaa maswali haya hayajibiwi na wanaowahoji hawaulizi maswali haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti afadhali! Hata likiwa kopo la chooni!jmushi1, afadhili MIE kichwa kopo kuliko WEWE BILA KICHWA
"Tulimumu, hii habari ya walinzi walikuwa wapi mbona ni ya kijinga- hivi nani aliwafungulia geti Mh. Lissu na DREVA wake? Na mlinzi wa Mh. LISSU naye alikuwa wapi?
Kumbe Mwigulu ndo aliyesababisha uchunguzi wa tukio hili usitishwe au umesitishwa na mrithi wake? Unapotaka kutetea udhalimu jipange Mwigulu.Hongera Dr Mwigulu kwa kuweka wazi msimamo wa Mhe Rais/serikali punde tu baada ya Lissu kushambuliwa.Watu wanadhani kila hatua ya uchunguzi sharti iwekwe wazi kwa umma wakati kuna taratibu za kiintelijinsia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mwigulu anajua alichosema siyo kweli.Wewe mwenye kujua tuwekee wazi hapa hatua za kiuchunguzi zilivyo.Upinzani wa Bongo bwana yaani ni kupinga kila kitu hata chenye ukweli ili mradi aliyesema awe CCM tu.Lakini mtu huyo huyo akizungumza maneno yale yale akiwa upinzani atasapotiwa kwa nguvu zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maswali ya kinoko hayawezi kupata jibu piga UA...kwa hiyo walinzi walikuwepo?!
..Na unasema ndio waliofungua geti.
..Je waliwahoji washambuliaji ni kina nani na wamemfuata nani Area D?
..Je, walinzi walishuhudia shambulio?
..Washambuliaji walitoka vipi ktk eneo la area D?
..Je, walifunguliwa geti na walinzi?
JokaKuu, unautando kwenye ubongo- ebu tuanze upya..kwa hiyo walinzi walikuwepo?!
..Na unasema ndio waliofungua geti.
..Je waliwahoji washambuliaji ni kina nani na wamemfuata nani Area D?
..Je, walinzi walishuhudia shambulio?
..Washambuliaji walitoka vipi ktk eneo la area D?
..Je, walifunguliwa geti na walinzi?
JokaKuu, HII NDIYO SHIDA YAKO - UNAHISIA KUWA KUNA WATU WANATETEA SERIKALI WAKATI SIYO KWELI ILA WANAJADILI HOJA..kuna watu wanadhani wanaitetea serekali kumbe ndiyo wanaidhalilisha.
..bora hata wangesema walinzi wote walikuwa msalani kwa haja kubwa, ndipo tukio likatokea.
..lakini hii ya kusema walinzi walikuwepo na walifunguliwa geti ni mbaya kwa upande wa serekali.
JokaKuu, unautando kwenye ubongo- ebu tuanze upya
makazi ya Mh. Lissu kama alivyojaribu kutuaminisha yanalindwa na hii pengine inamaana ya kusema kuwa pana geti linalokuwa limefungwa mda wote na hufunguliwa pale mtu au gari linapoingia na kutoka. Sasa yametolewa maelezo au hoja ya kwanini walinzi waliondolewa. kama waliondolewa inaamana hata mfunga na mfungua geti hakuwepo. SWALI. NANI ALIWAFUNGULIA GETI AKINA MH. LISSU?
JokaKuu, nakubaliana na wewe kabisa; na kwa vile nakubaliana na wewe USIKATAE KUKUBALINA NA MIMI KUWA HOJA YENU KUWA WALINZI WALIONDOLEWA HAINA MASHIKO..na ni nani aliwafungulia geti washambuliaji wakati hawahusiki kuingia area D.
..na nani aliwafungulia geti washambuliaji wakati wanaondoka?
..je, walinzi walichukua hatua gani baada ya kuona Mh.Lissu anashambuliwa?
..Je, walinzi hawana dhamana na usalama wa TL? JE, wameelekezwa kulinda viongozi wa serekali tu, na siyo vyama vya upinzani?
HATUA ZA HARAKA ULIZOCHUKUA NI PAMOJA NA KUONDOA CCTV CAMERA, HONGERAkuchukua hatua haraka sana na wahalifu wakamatwe haraka sana’’