Mbona alivyoshambuliwa mwanajeshi mstaafu kila kitu kiliwekwa wazi. Alitembelewa na huduma stahiki alipata, why Lisu iwe siri?Hongera Dr Mwigulu kwa kuweka wazi msimamo wa Mhe Rais/serikali punde tu baada ya Lissu kushambuliwa.Watu wanadhani kila hatua ya uchunguzi sharti iwekwe wazi kwa umma wakati kuna taratibu za kiintelijinsia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni hizo, Mungu hadhihakiwi