kwa hiyo mama anapangiwa vitu vyote na wabara lakini linapokuja swala la kukamata na kuwabambikia watu kesi hamuwalaumu wabara Ila mnamlaumu mama kuwa ni dikteta.😀😀😀😀😀😀Mama wa kambo urais wake ni wa kurithi, Mwigulu anajiona ndio mtoto anayestahili kuupata urais. Mama wa kambo hana la kusema kwa hawa Wabara, maana urais wa muungano sio wa wazanzibari tena bali ni wa wabara. Akina Mwigulu wanalazimisha kodi kubwa sijui za uzalendo ili wapate hela nyingi za kuhonga, na kulipa vikundi vya watu wasiojulikana kuua, na kuteka wote watakaozuia njia yake ya kuupata urais.
Mwigulu na Ndungai, Mama asiposhituka mapema huko mbeleni itakuja mgarimu sana!!toka lini waziri wa fedha naye anakuwa na msafara kama huo, eti amesimamishwa na wananchi!!CCM , CCM!!!!Mwigulu anajiona ni Rais kabisa, ni hatari sana. Waziri ambaye majukumu yake ni ya ofisini tu anatengeneza sinema ili aonekane anakubalika, hatari sana.
Bado anauota Uraisi. Wakumdhibiti katanguliaBila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Hapa ndipo huwa nashindwa kufahamu - labda tunaishi kwenye ulimwengu tofauti! Vipi mkusanyiko mkubwa hivyo au hakuna Covid-19 huko?Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.vd-19
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Huyu ndiye amemkamata bibi kichwa kwa sasa.Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
kwa hiyo mama anapangiwa vitu vyote na wabara lakini linapokuja swala la kukamata na kuwabambikia watu kesi hamuwalaumu wabara Ila mnamlaumu mama kuwa ni dikteta.😀😀😀😀😀😀
Rais wa kukamata wapinzani tu. But vitu vingine vyote wanafanya wabara.
Kaenda wapi?MzenaHuenda ndiye Rais kwa sasa kwani wewe Samia unajua alipo?
Analindwa na baadhi ya Waandamizi na Wastaafu ndani ya CCM na System pia ambao pia Mama nae anawaamini ila ndiyo hao hao watammaliza akifanya Mzaha nao kama walivyommaliza aliyejiamini na Kujisahau.Mwigulu anajiona ni Rais kabisa, ni hatari sana. Waziri ambaye majukumu yake ni ya ofisini tu anatengeneza sinema ili aonekane anakubalika, hatari sana.
Labda awe Rais wa Sebuleni Kwako tu.Ukiangalia kwa makini pale ccm hakuna anaeweza kuwa rais zaidi ya mwigulu wait you see.
Gaidi huyu mtu hatari sana.
***** zao, wanatupiga kwenye tozo za miamala wakati wao wanazidisha matumizi ya kifisadi. Waziri wa fedha anasimama barabarani kuongea na wananchi kuhusu nini? Ni kipi anachokitafuta? Mama Samia angalia sana mtu huyu ambaye mama yake na dada zake wamekeketwaBila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Anajua Mama anataka Kumtumbua hivyo anachokifanya sasa ni Kujitengenezea hayo Matukio ili Kumuhadaa Mama na aone anakubalika kisha asitishe hiyo nia yake.Mwigulu na Ndungai, Mama asiposhituka mapema huko mbeleni itakuja mgarimu sana!!toka lini waziri wa fedha naye anakuwa na msafara kama huo, eti amesimamishwa na wananchi!!CCM , CCM!!!!
Chalamila typeAnajua Mama anataka Kumtumbua hivyo anachokifanya sasa ni Kujitengenezea hayo Matukio ili Kumuhadaa Mama na aone anakubalika kisha asitishe hiyo nia yake.
Mama kayataka Mwenyewe na atamuondoa kweli Kimafia kama asipomuwahi kwa Jamaa ameshaanza Kujijenga ndani ya Chama na System pia.Nimeshituka sana kwa kweli Mama aae makin sana na huyu jamaa nachoona anajipanga kumtoa mama ikulu
Na ubaya kaweka sehemu nyeti ya kukusanyia hela ya kampeni