Dkt. Mwigulu Nchemba anajipenyeza kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa Urais

Mama wa kambo urais wake ni wa kurithi, Mwigulu anajiona ndio mtoto anayestahili kuupata urais. Mama wa kambo hana la kusema kwa hawa Wabara, maana urais wa muungano sio wa wazanzibari tena bali ni wa wabara. Akina Mwigulu wanalazimisha kodi kubwa sijui za uzalendo ili wapate hela nyingi za kuhonga, na kulipa vikundi vya watu wasiojulikana kuua, na kuteka wote watakaozuia njia yake ya kuupata urais.
kwa hiyo mama anapangiwa vitu vyote na wabara lakini linapokuja swala la kukamata na kuwabambikia watu kesi hamuwalaumu wabara Ila mnamlaumu mama kuwa ni dikteta.😀😀😀😀😀😀
Rais wa kukamata wapinzani tu. But vitu vingine vyote wanafanya wabara.
 
Mwigulu anajiona ni Rais kabisa, ni hatari sana. Waziri ambaye majukumu yake ni ya ofisini tu anatengeneza sinema ili aonekane anakubalika, hatari sana.
Mwigulu na Ndungai, Mama asiposhituka mapema huko mbeleni itakuja mgarimu sana!!toka lini waziri wa fedha naye anakuwa na msafara kama huo, eti amesimamishwa na wananchi!!CCM , CCM!!!!
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Bado anauota Uraisi. Wakumdhibiti katangulia
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.vd-19
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Hapa ndipo huwa nashindwa kufahamu - labda tunaishi kwenye ulimwengu tofauti! Vipi mkusanyiko mkubwa hivyo au hakuna Covid-19 huko?
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
Huyu ndiye amemkamata bibi kichwa kwa sasa.
 
kwa hiyo mama anapangiwa vitu vyote na wabara lakini linapokuja swala la kukamata na kuwabambikia watu kesi hamuwalaumu wabara Ila mnamlaumu mama kuwa ni dikteta.😀😀😀😀😀😀
Rais wa kukamata wapinzani tu. But vitu vingine vyote wanafanya wabara.

Kukamata wapinzani ni jambo rahisi sana, ila linapokuja suala la maslahi, na maamuzi, mama ni mwepesi tu. Wabara ndio wanaamua kila kitu.
 
Mwigulu anajiona ni Rais kabisa, ni hatari sana. Waziri ambaye majukumu yake ni ya ofisini tu anatengeneza sinema ili aonekane anakubalika, hatari sana.
Analindwa na baadhi ya Waandamizi na Wastaafu ndani ya CCM na System pia ambao pia Mama nae anawaamini ila ndiyo hao hao watammaliza akifanya Mzaha nao kama walivyommaliza aliyejiamini na Kujisahau.
 
Gaidi huyu mtu hatari sana.

Mstaafu Mmoja alimtumia sana katika Kuwatesa Kimafia Maadui zake na anasifika kwa kuwa Mtu Katili na mwenye kutoa Adhabu za Kimateso kwa Watesi wa Chama na Serikali Kipindi hicho.
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
***** zao, wanatupiga kwenye tozo za miamala wakati wao wanazidisha matumizi ya kifisadi. Waziri wa fedha anasimama barabarani kuongea na wananchi kuhusu nini? Ni kipi anachokitafuta? Mama Samia angalia sana mtu huyu ambaye mama yake na dada zake wamekeketwa
 
Mwigulu na Ndungai, Mama asiposhituka mapema huko mbeleni itakuja mgarimu sana!!toka lini waziri wa fedha naye anakuwa na msafara kama huo, eti amesimamishwa na wananchi!!CCM , CCM!!!!
Anajua Mama anataka Kumtumbua hivyo anachokifanya sasa ni Kujitengenezea hayo Matukio ili Kumuhadaa Mama na aone anakubalika kisha asitishe hiyo nia yake.
 
Hivi presidential order of succession nchi hii ikoje, na waziri wa Fedha ni mtu wa ngapi? nalo lipo kwenye rasimu ya Warioba?in this age of biological warfare,unaweza shangaa tunakabidhi nchi kwa Kasheku Geita
 
Back
Top Bottom