- Thread starter
- #41
Mwigulu ni mafya sana na hana huruma.huko Tunduma waziri wa fedha wapi na wapi,David Silinde achunguzwe ameshaingia kwenye kundi la kimafya na MadeluHivi presidential order of succession nchi hii ikoje, na waziri wa Fedha ni mtu wa ngapi? nalo lipo kwenye rasimu ya Warioba?in this age of biological warfare,unaweza shangaa tunakabidhi nchi kwa Kasheku Geita