Dkt. Mwigulu Nchemba anajipenyeza kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa Urais

Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?

Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?

Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.

Muda utasema
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?

Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?

Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.

Muda utasema
 
Mwigullu Rais, Ritz1 waziri mkuu come 2025,etc ...
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?

Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?

Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.

Muda utasema
 
Tatizo nchi yetu hatuna mfumo bora kwa kupata Rais wetu - hili ndilo linatughalimu sana sana, sasa ukiongezea na katiba tuliyonayo basi unakuta ni shughuli kweli kweli.

Kwa mfano, Watanzania wengi hawajui kwamba watu wasiozidi 6 tu ndiyo hutuchagulia Rais wetu.
 
Huyu ndiye amemkamata bibi kichwa kwa sasa.
Anaaami kwamba watanzania ni "mazombie" hawajichagulii viongozi (voting is a gimic) hivyo hana habari na hisia zao (mazombie) anafanya waliyoyafanya viongozi wa sasa (bunge) na mtangulizi
 
Back
Top Bottom