Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,314
- 5,982
Ku.ma.ma.yo.Chizi wewe, eti Hana mpango wakugombea 2025 , bilashaka we ndio huyo muuaji Nchemba
Ku.ma.ma.yo.Chizi wewe, eti Hana mpango wakugombea 2025 , bilashaka we ndio huyo muuaji Nchemba
Kwani mama atakaa milele nanyieNimeshituka sana kwa kweli Mama aae makin sana na huyu jamaa nachoona anajipanga kumtoa mama ikulu
Na ubaya kaweka sehemu nyeti ya kukusanyia hela ya kampeni
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.
Muda utasema
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.
Muda utasema
Nakubaliana na wewe. Mama asiwaache hawa wasaidizi wake wapandishe mabega.Kuna tatizo mahali, hata makamu ana act kama rais kamili
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.
Muda utasema
Anaaami kwamba watanzania ni "mazombie" hawajichagulii viongozi (voting is a gimic) hivyo hana habari na hisia zao (mazombie) anafanya waliyoyafanya viongozi wa sasa (bunge) na mtanguliziHuyu ndiye amemkamata bibi kichwa kwa sasa.